Matokeo Kidato cha Nne 2016 yatoka, Feza Boys yaongoza!

Elimu ina umuhimu sana ndio manake kwa miongo kadhaa tumeona shule za madhehebu zikifanya vizuri hata baada ya shule nyingi za madhehebu kutaifishwa wakati wa awamu ya kwanza bado kuliendelea kuibuka uanzishwaji wa hizi shule ni wakati muafaka wa kwenda kujifunza kwa hizi shule wanavyofanya kazi na mazingira ya elimu inayotolewa.
 
Je katika wanaomiliki 80% ya uchumi hapa bongo ni wakatoliki?, wanaomiliki sheli na masupermarket makubwa ni wakatoliki?, wanaomiliki mabasi ni wakatoliki?............ weka list yamatajiri mia hapa bongo kama wakatoliki watafika hata
Huyu kasifia Shule za Kanisa Katoliki...Mambo ya matajiri yametoka wapi..?
 
umenena vema wakatoliki huwa hatuna kawaida ya kujisifia, huyo kateleza sisi kwetu elimu ni kama afya tu, ukiwa na afya njema huwezi mcheka aso na afya bali kumuombea awe na afya
 


Barafu shkamoo....halafu hapohapo ulipo geuka kushoto au kulia ukion BAR au Restaurant agiza kinywaji mi nipo nakuja mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…