Matokeo Kidato cha Nne 2016 yatoka, Feza Boys yaongoza!

Matokeo Kidato cha Nne 2016 yatoka, Feza Boys yaongoza!

Heee nenda kaangalizie karibu na hospitali manake ukiambiwa umezungusha unaweza zimia...tehe tehe
...wew niambie tuuu dada yangu maana huyo ni mdogo wangu sasa yupo home kijijin huko hakuna network access zaidi ya sms tuu na kupiga simu ...inshot ww niambie tuu
 
maswa kwetu nao wameibuka na ile ile ya necta mwamo tuhttp://41.188.136.77:8080/matokeo/2016/csee/index.htm
BARAZA WEKA SEVRAL LINKS !!!! ACHENI KUPANDISHA PRESHA ZA WATU HAPA ( WATAHINIWA, WAZAZI, WALEZI N,K
 
Baraza wanawekavipi link moja tu? Nimehangaika zaidi ya saa moja sasa bila mafanikio.
 
398dc076723dafb4d2c9649372d8715b.jpg
Shamsiye Secondary School.
 
Nitakuletea Top 100.... Nafikiri 90%ni shule za Kanisa Katoliki..

Tumsifu Yesu Kristo
Haina shida [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Ila usisahau..st marys ya rwakatale na st mathews sijui st ana maria hizo zinamilikwa na watu binafsi si za wakatoliki..kwahiyo ukileta list yako uwe sure nayo....si tu uone st ukurupuke[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Je katika wanaomiliki 80% ya uchumi hapa bongo ni wakatoliki?, wanaomiliki sheli na masupermarket makubwa ni wakatoliki?, wanaomiliki mabasi ni wakatoliki?............ weka list yamatajiri mia hapa bongo kama wakatoliki watafika hata kumi, lengo langu sio ofensive kwa wakatoliki(wanisamehe), ila tu ninkukuonesha kichwa chako jinsi kilivyojaa kamasi, Miaka kumi iliyopita MARIAN na shule nyingine zinajitahidi kutoa division one wanaoishia kufanya kazi kwa wahindi tu........ Highly stupidity

MAISHA MAZURI NI ZAIDI YA KUPATA DIVISION ONE.
Nenda kafuge majini huko....
kichwa chako nawe kimejaa mavi..tunaongelea elimu...sio utajiri shwain
 
Haina shida [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Ila usisahau..st marys ya rwakatale na st mathews sijui st ana maria hizo zinamilikwa na watu binafsi si za wakatoliki..kwahiyo ukileta list yako uwe sure nayo....si tu uone st ukurupuke[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nipo makini sana...Hao kenge wanaodandia msafara wa Kanisa Katoliki nawafahamu wote
 
Huyu kasifia Shule za Kanisa Katoliki...Mambo ya matajiri yametoka wapi..?
Muulize huyu shemeji yako ....hlf in a real sense hatuko kutakanana hapa ni chalenging tu...ukisikia paaah ujue limemgonga.
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji257]
 
Nenda kafuge majini huko....
kichwa chako nawe kimejaa mavi..tunaongelea elimu...sio utajiri shwain
Sasa unasoma unadegree unamiliki vitz mwenzako hajasoma amekuajiri na anamiliki yard ya vitz nani kichwa chake kimejaa mavi hapo?
 
umenena vema wakatoliki huwa hatuna kawaida ya kujisifia, huyo kateleza sisi kwetu elimu ni kama afya tu, ukiwa na afya njema huwezi mcheka aso na afya bali kumuombea awe na afya
Ila jirani siku moja moja kujisifia sio dhambi....
japo nao wajitambue next tym wanyanyuke[emoji23] [emoji23]
Ht mwanao akikosea lzm umwambie ukweli na yule aliyefanya vema una haki ya kumpomgeza ili aongeze molari...
Wamezoea kutusema sema wakatoliki hovyo..na tunakaaga kimya..upole ndio jadi yetu...
Leo nimefurahi tu sio mbaya
 
Back
Top Bottom