Je katika wanaomiliki 80% ya uchumi hapa bongo ni wakatoliki?, wanaomiliki sheli na masupermarket makubwa ni wakatoliki?, wanaomiliki mabasi ni wakatoliki?............ weka list yamatajiri mia hapa bongo kama wakatoliki watafika hata kumi, lengo langu sio ofensive kwa wakatoliki(wanisamehe), ila tu ninkukuonesha kichwa chako jinsi kilivyojaa kamasi, Miaka kumi iliyopita MARIAN na shule nyingine zinajitahidi kutoa division one wanaoishia kufanya kazi kwa wahindi tu........ Highly stupidity
MAISHA MAZURI NI ZAIDI YA KUPATA DIVISION ONE.