Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Kwakweli hapa hata mimi kiroho kimenidunda. Nawaonea sana huruma madogokiroho kimedunda utadhani ni yangu....madogo ninao wengi walio maliza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli hapa hata mimi kiroho kimenidunda. Nawaonea sana huruma madogokiroho kimedunda utadhani ni yangu....madogo ninao wengi walio maliza
hahahah kweli hii ni zamu ya Panya Road kuchukua nafasi.Mlitutukana sana. Wamakonde...haya sasa...zamu yenuuu
Ndio hoja hujibiwa kwa hoja..Sasa kama ni jukwaa huru kwa nini unishangae mimi kuchangia uzi wa mtu?, ukute na wewe ni waliopata division one huku ukishuhudia range rover barabarani zinavosukumwa na walioapata zero
Acha uongo ww si nlikuona pale kwa sadala unakula hiyo kituNile nguruwe mie mgalatia kama nyie?
Yes na hata kama mutaandika upuuzi lazima tuseme......... Unapata one unaenda kusoma marketing UDBS unakuja kuajiriwa na aliopata zero anamiliki kampuni ya usafirishajiNdio hoja hujibiwa kwa hoja..
Kama umetoka nje ya mada lazima tuseme
MATOKEO KIDATO CHA 4:
Matokeo yote yapo hapa > http://41.188.136.77:8080/matokeo/2016/csee/index.htm
baraza huwa wanatoa link nyingi lakini safari hii moja tu basi hata haiconnect!!!!!Mtandao ume shindwa kabisa!!
watu wamejaa kule
!!!
Heee nenda kaangalizie karibu na hospitali manake ukiambiwa umezungusha unaweza zimia...tehe tehe.............jombaaa nisaidie kuangalia hii namba S.3278/0041
Ok! Basi sawa..Yes na hata kama mutaandika upuuzi lazima tuseme......... Unapata one unaenda kusoma marketing UDBS unakuja kuajiriwa na aliopata zero anamiliki kampuni ya usafirishaji
Weka picha tuamini. Vinginevyo ni uzushi tu huo.Acha uongo ww si nlikuona pale kwa sadala unakula hiyo kitu
Waliangalie hilibaraza huwa wanatoa link nyingi lakini safari hii moja tu basi hata haiconnect!!!!!
dahhh..... top ten ni private schools tupuMATOKEO KIDATO CHA 4
Baraza la Mitihani nchini(NECTA) latangaza matokeo ya kidato cha nne kwa mwaka 2016. Wavulana wafaulu kwa 73.26% na Wasichana 67%.
- Feza, St. Francis na Kaizerege zaendelea kutamba kileleni, Dar yaburuza mkia.
Wanafunzi 277,283 (asilimia 70.09) waliofanya mtihani 2016 wafaulu.
Shule za Dar zaongoza washika mkia matokeo ya kidato cha Nne.
Matokeo yote yapo hapa >> http://41.188.136.77:8080/matokeo/2016/csee/index.htm
Hili limenikera kiukweliNECTA IT yao inabidi wajiongeze. Huwezi kuweka link moja watu wote kuangalia matokeo hapo..bandwidth lazima izidiwe!!
Kwani ccm ilikuwa inamaliza form 4, unaangalia nini?Waliangalie hili
nimejaribu kwa saa sasa haifunguki kabisa
And Shamsiye at # 7.Feza Boys top ten.
Ficha upumbavu wakoKwani ccm ilikuwa inamaliza form 4, unaangalia nini?
Kwa kifupi shule 6 kati ya top 10 ni za katoliki...
watu woooooooooyoooooo
Watashindana lkn hawatoshinda...
wapige majungu tena.......
TUMSIFU YESU KRISTU..
MILELE AMINA...
KRISTU ....TUMAINI LETU[emoji119]