Matokeo Kidato cha Nne 2016 yatoka, Feza Boys yaongoza!

Matokeo Kidato cha Nne 2016 yatoka, Feza Boys yaongoza!

Nionavyo mimi;
Shule nyingi za kiislamu hazifanyi vizuri kwa sababu zifuatazo;
1) Hazichuji wanafunzi, wanapokea tu vilaza ili mradi uwe na ada, shule za kikatoliki au kanisa nyingi zinapokea cream yaani bila kifaulu interviews zao hupokelewi. Shule pekee za kiislam zinazochuja ni Feza schools
2) Shule nyingi za kikatoliki zipo katika uangalizi wa taasisi mfano kanisa lakini Islamic schools zinaanzishwa tu yaani mtu anaamua kuanzisha shule yake na kuiita ya kiislam, wengi hawana support kutoka taasisi yoyote ile hivyo hata uwekezaji wao ni mdogo.

Huo ni mtazamo wangu,napokea marekebisho au mawazo tofuti
 
Leo January 31 2017 Baraza la mitihani Tanzania ‘NECTA’ limetangaza matokeo ya kidato cha nne ‘CSEE 2016’ na matokeo ya mtihani wa maarifa (QT) 2016

Unaweza kutizama matokeo ya Kidato cha nne 2016 kwa haraka zaidi Bofya >>>>HAPA<< Au >>>>>HAPA<<<<<

Naona link hazifunguki mkuu
 
Ombi langu kwa necta matokeo waandike majina ya wanafunzi nina mifano hai mingi sana mtoto akishajiona kafeli tu hasemi namba yake nyumbani wazazi mnahangaika mtoto anataja namba kibao zote zake jamani tusaidieni kama miaka ya nyuma kidogo tuone majina aya watoto wetu na majirani zetu piaa maana utakuta mzazi mwanae kafeli ila jumuiya anasema mwanae kafaulu
 
84990628.jpg

hiyo shamsiye ni shule ya kiislamu
Wooow big congrats to them.....
 
shule za kikatoliki.....wapwan wanao soma ktk hizo shule ni wa kuhesabu. ungewekwa utaratiba wenyeji wapewe vipaumbele ktk hizo shule
Ni sawa hata kama wakipewa "scholarship" wasome bure bado vyuoni watakwama maana kwa kusoma hizo shule wanatoa mikopo watawachukulia wanatoka katika familia zenye uwezo
 
Kunywa maji muache na presha zake...anadhani range l ndio maisha mjini....tunapita barabara moja....
Cha muhimu uzima
Sasa we una division one unatembelea sijui spacio wenye zero wanasukuma mikebe ya maana, halafu unaanza kujisifia mbele ya wanaume ambao wakiuza site mirror ya mikebe yao tu wananunua spacio unayotembelea.

Sent from my HTC Desire 626GPLUS dual sim using JamiiForums mobile app
 
MUNGU kaionaaaaa mbeyaaaa yeeeeetu mweee jaaaamaniiiiii


nyie wa "......" muendeleee kuongeza shule mkoani kweeetuuu wajameeen
 
Hivi wakuu wameandika na majina ya wanafunzi au ni namba tu?
 
Mmmmhhhh kuna mdogo angu alikuwa anasoma Popatlal ya Tanga.! Mmmhhh sidhani kama katoboa hii ngwe[emoji47] [emoji22]
 
Back
Top Bottom