Weka list ya matajiri kumi hapa mkuu, nenda kahesabu magorofa , masheli, malori, wenye assets za maana namaanisha............ KAGERA ndio tumaanishwa kuwa wamesoma sana maafa ymetokea watu wanalia lia njaa ushawahi kusikia zanzibar, pemba , Dar na Tanga wanalia njaa?Huu utafiti wa msikitini huu. Ila mkasahau kufanya tathmini ya kwanini kuna 'matajiri' wengi Mtwara, Tunduru, Pwani, Kigoma, Wilaya za mkoa wa Tanga nk. (kwenye waislamu wengi).