M2mwembamba
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 2,491
- 1,095
Dah!
link haifunguki
link haifunguki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAHAHAH
Usiwe na wasiwasi, nijibu kwanza hilo la kwanza mkuuMbona ujaniuliza kuhusu mbasi ya abood, shabiby, tahmeed au?
Sent from my HTC Desire 626GPLUS dual sim using JamiiForums mobile app
.... katika ubora wako.Kama kwenye TopTen hakuna shule za Kiislam kuna namna hapo
Ndakichako atumbuliwe
Jibu unalo ama unadhani hayo mafuta yanatoka vaticanUsiwe na wasiwasi, nijibu kwanza hilo la kwanza mkuu
mpk mm nimeuliza hapa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] japo si mmakondeMlitutukana sana. Wamakonde...haya sasa...zamu yenuuu
Hivi wakuu wameandika na majina ya wanafunzi au ni namba tu?
Yaani mkuu sisi enzi zetu mtu akijua jina la shule unayosoma ni kosa ila watoto wa siku hizi hata ukijua shule, bado una kazi ya kujua namba.Namba tu[emoji23][emoji23]
Mdogo wangu sijamuangalizia bado hivyo naomba mwenye link nyingine naomba aweke mana link hiyo juu haifunguki kabisa
za kata zote hizo zipo manispaa ya ilala na kinondonihizi shule za dar ni za kata, mbona hakuna hata 1 ninayoifahamu