fungi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 2,539
- 4,672
P0211/0224Jamani naomba mniangalizie matokeo ya mdogo wangu namba p 0211/0224
CIV - 'D' HIST - 'D' LIT ENG - 'C
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
P0211/0224Jamani naomba mniangalizie matokeo ya mdogo wangu namba p 0211/0224
Marian wanatisha
Wanatisha saana hasa ukizingatia idadi ya wanafunzi waoMarian wanatisha
Mama uko fastaaa.hatare.P1602/0011
IV.32
CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'D' KISW - 'D' ENGL - 'D' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
P1602/0011
IV.32
CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'D' KISW - 'D' ENGL - 'D' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
Now pia wameingia katika kundi la wafanya biashara...wamepunguza mzuka sana siku hizi wanasema wanatufundisha vizuri tena kwa ada nafuu alafu tunakimbia upadre[emoji28][emoji28][emoji28]....kama ukifuatilia siku hizi ada zao ziko juu sana na ile seriousness ya malezi imepungua kwa kiasi fulani...labda tumewakatisha Tamaaa. .... wazungu nao wamepunguza misaada basi full stress....Seminary cku hizi hazifaulishi tena kama zawani
Maua,Uru, St James, USA Seminary......sizikiii tena, What went wrong? ....................................................What went What? What went Wrong
Vipi ametusua?Amina.
Naomba unichekie na mm mkuu.mahida sec 0813/0038P0211/0224
CIV - 'D' HIST - 'D' LIT ENG - 'C
Sababu nikukabidhi kizee cha miaka ya ukoloni kuwa kwenye kitengo cha IT pale necta ameshindwa kuendana na kasi ya digital.Kwangu inakataa kabisa na mpaka sasa sijajua sababu!!!
View attachment 465934 Napata majibu hivi
S0813/0038Naomba unichekie na mm mkuu.mahida sec 0813/0038
Mtandao haufunguki
Aisee tuna kazi kweli kukomboa hii nchi.. ww unajua historia ya huyo raisi WA uturuki??Hivi hizi feza ndo zile za gaidi wa uturuki zilizochunguzwa na rais na kuzifuata hapo juzi na kwamba anazifunga?
Katusua wapi!!kapata 32 hapa nafikiria sijui nimfanyeje..na kurudia stakiVipi ametusua?