dogman360
Senior Member
- Oct 15, 2018
- 144
- 226
Hamna AMO skuizi nataka nijiunge tu na degree nilipata 4.0 kipindi kile ila saivi naskia madogo wanapasua 5 tu cha serikali ntapata kweliCO huko zamani sio sasa.....pambana utafute AMO utachinaas
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna AMO skuizi nataka nijiunge tu na degree nilipata 4.0 kipindi kile ila saivi naskia madogo wanapasua 5 tu cha serikali ntapata kweliCO huko zamani sio sasa.....pambana utafute AMO utachinaas
Wee omba, vigezo umekidhi, kikubwa pambania nafasi.Nilipataga 4.0 ila naskia skuizi madogo wanapasua 5 tu
Kweli nimeona mkuu nayapitia hapa.
Haya poaa!!Kweli nimeona mkuu nayapitia hapa.
Ilboru sikuhizi imeshuka watu wanapata hadi div 4 PCB kweli?Haya poaa!!
Wee omba, vigezo umekidhi, kikubwa pambania nafasi.
Usitake tyuuh Muhas, angalia vyuo vingine hasa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Gen Z.Ilboru sikuhizi imeshuka watu wanapata hadi div 4 PCB kweli?
Yess jaribu huko pia.Embu nijaribu UDOM nione
Tutaona mengi kwa kweli.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Gen Z.
Bro kunywa maji mengi kama huna 5 endelea kutoa PCM hapo mtaani😁😁.Madogo na one zao ..ntapata chuo kweli na diploma yangu ya C.O
Kaomba direct private ila Gvt hutoweza kupata boss kwa MD. Na hata huko gvt ikipita round one hujaomba round zinazofuata hutapataNilipataga 4.0 ila naskia skuizi madogo wanapasua 5 tu
Haha ni hatari huku tunavumilia dharau. Nyingi sana kwa vihela vidogo vidogBro kunywa maji mengi kama huna 5 endelea kutoa PCM hapo mtaani😁😁.
HongereniAidha, amesema matokeo kwa masomo yote ufaulu wake upo zaidi ya asilimia 90.
Noma sanaHaha ni hatari huku tunavumilia dharau. Nyingi sana kwa vihela vidogo vidog