kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Hamna kitu hapo..mwambie aachane na mambo ya shule.Kuna mdogo wng kapata History C, Kiswahili E na English F vipi anaweza kupata chuo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna kitu hapo..mwambie aachane na mambo ya shule.Kuna mdogo wng kapata History C, Kiswahili E na English F vipi anaweza kupata chuo?
Atapata! Cut points ni kuanzia nne, na yeye ana nne. Angalia prospectors za vyuo mbalimbali ambavyo vinaweza kumchukua Kwa ufaulu wake huo na kozi anayoweza somea.Kuna mdogo wng kapata History C, Kiswahili E na English F vipi anaweza kupata chuo?
Sifa anayo, minimum pts ni 4...achague kozi kwa umakini, atapataKuna mdogo wng kapata History C, Kiswahili E na English F vipi anaweza kupata chuo?
Mtu mwenye kazi zake hawezi kuwa busy na matokeo hivi we utakuwa joblessMatokeo ya mwaka huu ni michosho, shule za special kwa wasichana hakuna 1 ya 3,
Huko private, km Mazinde Juu upande wa science sijaona maajabu kabisaa, aaaah.
Acha ushamba wewe kuongoza kwa elimu ndio nini? Mtu aliyefaulu kafaulu tu haijalishi kashika nafasi ya ngapiKilimanjaro bado inaendelea kuongoza kwa elimu, hawa wachaga kuna la kujifunza kwao.
Hizo elimu za kukariri hazitatui changamoto yoyote kwenye jamii yetu.
Mazingira ya kusomea yamekuwa rafiki na rahisi.Dah Madogo siku hizi wanafaulu Kinoma Yaani 1 za kufikia tu
Anapata, amekidhi vigezo.Kuna mdogo wng kapata History C, Kiswahili E na English F vipi anaweza kupata chuo?
Tena jobless mzoefu.Mtu mwenye kazi zake hawezi kuwa busy na matokeo hivi we utakuwa jobless
chaiKunae Dogo alihama kutoka Private school na kwenda special school ya GVT alikopangiwa, leo tokeo limetoka kapiga 1 ya 5.
Mtoto ana furaha na shangwe, ila wazazi hawafurahi, kisa shule aliyohama 1 za 3 na 4 ziko bwereree, ko huenda nayeye angekua miongoni mwa hao.
Mtoto alichagua furaha yake. Lol
HapatiKuna mdogo wng kapata History C, Kiswahili E na English F vipi anaweza kupata chuo?
Ulikimbia mziki wa pcb sio?Madogo na one zao ..ntapata chuo kweli na diploma yangu ya C.O
😀😀😀😀Hawa Gen Z hata Isaac Newton akasome...
Shule niliyosoma hawakuvunja record ya matokeo yangu six Consecutive years ila kwa sasa naonekana kilaza mmoja alipitaga paleDah Madogo siku hizi wanafaulu Kinoma Yaani 1 za kufikia tu
Hapo hapati bora hiyo kiswahili ingekuwa D na history DAtapata! Cut points ni kuanzia nne, na yeye ana nne. Angalia prospectors za vyuo mbalimbali ambavyo vinaweza kumchukua Kwa ufaulu wake huo na kozi anayoweza somea.