cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Matokeo ya mwaka huu ni michosho, shule za special kwa wasichana hakuna 1 ya 3,Tutaona mengi kwa kweli.
Huko private, km Mazinde Juu upande wa science sijaona maajabu kabisaa, aaaah.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matokeo ya mwaka huu ni michosho, shule za special kwa wasichana hakuna 1 ya 3,Tutaona mengi kwa kweli.
Itapunguza ushindani wa kuingia chuo kikuu hasa kwenye fani za afya.Matokeo ya mwaka huu ni michosho, shule za special kwa wasichana hakuna 1 ya 3,
Huko private, km Mazinde Juu upande wa science sijaona maajabu kabisaa, aaaah.
Itakuwa mitihani imelegezwa aiseeMadogo Ni majiniaz au mitihani imelegezwa?
Madogo Ni majiniaz au mitihani imelegezwa?
Bora tuwe na taifa la masikini wanye elimu kuliko taifa la masikini wasio na elimuWimbi la wasio na ajira litazidi kuongezeka
Bora tuwe na taifa la masikini wanye elimu kuliko taifa la masikini wasio naWimbi la wasio na ajira litazidi kuongezeka
Ndo watu gani hao!?Kila la kheri warahiniwa Wote
A-level wameruhusiwa kutumia simu?Youtube na internet kwa ujumla imerahisisha maisha sana. Siku hizi kuelewa topic hutumii nguvu. Na kila swali jibu lake lipo google
Noma sana mkuuSalesian Seminary hamjaniangusha wadogo zangu.
Kilimanjaro bado inaendelea kuongoza kwa elimu, hawa wachaga kuna la kujifunza kwao.Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya kidato cha sita mwaka 2024, leo Jumamosi Julai 13, 2024 katika ofisi za Baraza hilo Zanzibar.
Kuangalia matokeo bonyeza hapa: Matokeo Kidato cha Sita 2024
Jumla ya watahiniwa 113,504 walifanya mtihani wa kidato cha sita, mwaka huu ambapo ulifanyika kwenye jumla ya shule 931 na vituo vya watahiniwa wa kujitegemea 258
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (Necta), Dk Said Mohamed amesema ufaulu kwa ujumla mwaka huu umepanda kwa asilimia 0.26 ukilinganisha na mwaka uliopita.
Kuangalia matokeo ya Mtihani wa Ualimu (DSEE) 2024 bonyesha hapa
Aidha, amesema matokeo kwa masomo yote ufaulu wake upo zaidi ya asilimia 90.
Kuangalia matokeo ya Mtihani wa Ualimu (GATCE) 2024 bonyeza hapa
Kilimanjaro bado inaendelea kuongoza kwa elimu, hawa wachaga kuna la kujifunza kwao.
Tena 'AI' ndio imerahisisha Kila kitu..Youtube na internet kwa ujumla imerahisisha maisha sana. Siku hizi kuelewa topic hutumii nguvu. Na kila swali jibu lake lipo google
Wamejitahidi, ila kumbuka hii ni special school, hapo wenyeji hawafiki 5%
Mwaka huu walaa, sijaelewa matokeo kwa kweli.Itapunguza ushindani wa kuingia chuo kikuu hasa kwenye fani za afya.
Kuna mdogo wng kapata History C, Kiswahili E na English F vipi anaweza kupata chuo?Wanafaulu but reasoning ability or capacity iko chini sana, they are taught to answer exam only..!! But new curriculum will treat that weakness..!!