Matokeo Kidato cha Sita 2024 yatoka. Ufaulu wapanda kwa asilimia 0.26

Matokeo Kidato cha Sita 2024 yatoka. Ufaulu wapanda kwa asilimia 0.26

Yatoka,.... Wapanda....
Upemba ni mwingi jioni ya leo😎
 
Hapo hapati bora hiyo kiswahili ingekuwa D na history D
Kinachoangaliwa ni cut points au D ngapi?
Kuingia chuo ni point 4 Kwa masomo mawili; au wamebadilisha?

D = 2 points (2+2 = 4)

C = 3 points; E = 1 point
(3 + 1 = 4)

Cha msingi atafute prospectors za vyuo mbalimbali ili Aone ni kozi gani anaweza kuchaguliwa kulingana na ufaulu wake huo.
 
Shule niliyosoma hawakuvunja record ya matokeo yangu six Consecutive years ila kwa sasa naonekana kilaza mmoja alipitaga pale
C'mon necta ebu rudisheni ile mitihani tulikuwa tunasweat kweli 2007, 2012 nk.
Minnashangaa sana
 
Kinachoangaliwa ni cut points au D ngapi?
Kuingia chuo ni point 4 Kwa masomo mawili; au wamebadilisha?

D = 2 points (2+2 = 4)

C = 3 points; E = 1 point
(3 + 1 = 4)

Cha msingi atafute prospectors za vyuo mbalimbali ili Aone ni kozi gani anaweza kuchaguliwa kulingana na ufaulu wake huo.
Principal pass siku hizi ni D and above
Yaani kuingia kusoma degree lazima ziwe Principal pass mbili
 
Principal pass siku hizi ni D and above
Yaani kuingia kusoma degree lazima ziwe Principal pass mbili
Duh! Kumbe wamebadilisha. Sikujua Hilo. Nilidhani E bado inachukuliwa kama principal pass yenye point 1.

Kweli maisha yanaenda kasi sana.
 
Principal pass siku hizi ni D and above
Yaani kuingia kusoma degree lazima ziwe Principal pass mbili
Ulichojibu ni tofauti na kilichopo TCU 👇👇
TCU GUIDE.png
Tangazo Hilo bado ni relevant.

C & E ✔️👍
3 + 1 = 4 ✔️
 
Kunae Dogo alihama kutoka Private school na kwenda special school ya GVT alikopangiwa, leo tokeo limetoka kapiga 1 ya 5.

Mtoto ana furaha na shangwe, ila wazazi hawafurahi, kisa shule aliyohama 1 za 3 na 4 ziko bwereree, ko huenda nayeye angekua miongoni mwa hao.

Mtoto alichagua furaha yake. Lol
Furaha na shangwe connection na watu wenye akili zao kichwani ni kubwa amevijua vitu vingi kuliko angesoma huko private big up kwake sana shule za serikali hasa special zinafundisha vingi sana
 
Back
Top Bottom