Sasa imebaki mikutano nayo wakisusa sijui itakuwaje Lumumba, yaani uchaguzi utadhani aligombea Dovutwa
Tutamsikia mh J akitangaza asilimia 97.8 Wamejitokeza !
Buguruni wasimizi wanauchapa usingizi hadi saa tisa View attachment 1271249
Hongera sista kwa kupiga kura.Sisi tumepiga kura
Nyie keyboard worries mmeishiwa hoja na wala sio wapiga kura
Ukisusa wenzio wala !
Watanzania halisi wamefanya kitu cha maana sana, wameomesha jinsi wanavyoipenda nchi yao kuliko chama chenu cha maigizo. Waliopiga kura katika mitaa/vijiji vingi hawazidi 30. Pikeni takwimu za wapiga kura ili mjifurahishe, lakini meseji imefika.Ukisusa wenzio wala !
Kweli watu wa Babati wanajielewa. Nimewasikia Channel ten taarifa ya habari wakisema kwenye katiba ya CHADEMA hakuna kifungu hata kimoja kinachosema chama kitagomea uchaguzi.
Ndio maana wao wameenda kupiga kura.