Matokeo: Vodacom Premier League, Prisons 2 - 0 Yanga SC uwanja wa Sokoine Mjini Mbeya

Goooooaaal Goooooaaal Goooooaaal.. Tanzania Prisons wanapata bao la pili

Tanzania Prisons 2-0 Yanga SC
 
Usikariri kila kitu ni kugoma imelekwa timu B ili kuacha wengine kwenye maandalizi.
Moja ya mikakati ya kimichezo wakati mwengine ndio maana watu wanawaita mbumbumbu
 
Siiiimbaaaaa hahahahaha kama namuona Manara vile
 
88' Tanzania Prisons 2-0 Yanga SC.. Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya
 
Golikipa Kakolanya anapewa kadi ya njano kwa kubishana na mwamuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…