Pole njoo nikupe farajaHahahaaaa. Huruma mlitia nyie Mtani misimu mitano hola.
Ndio sababu baadhi ya mashabiki wenu wanakaribia kuwehuka sababu utakuta toka waanze kuipenda Simba hawajui nini maana ya Ubingwa. Koh koh koh.
KiulainiiiiiiiiHuo hapo mguuni mzee wa bucket
WoyooooooooooooooooooooooooKiulainiiiiiiii
Nimejipa holiday hadi jumatatuWoyoooooooooooooooooooooooo
mkuu na mimi najipa likizo hadi tarehe 23[emoji23]Nimejipa holiday hadi jumatatu
Nakubaliana na wewe mkuu.usiwapendelee Yanga.....kimataifa haijawahi kufanya vizuri hata siku moja. Wacha ife tu wao na Simba kwani ndiyo wanaoua mpira wetu hapa Tanzania.
Si kazi ndogomkuu na mimi najipa likizo hadi tarehe 23[emoji23]
Nimeipenda sana hii maana imekaa kama walivyo mashabiki wa Arsenal!Mbali na yote tunayopitia bado sikati tamaa. Kila la kheri timu yangu pendwa Yanga.
"DAIMA MBELE NYUMA MWIKO"
Kabisa kaka...Pamoja mkuu tusherekee ubingwa
Huo hapo mguuni mzee wa bucket
WoooooooooozeeeeeeerNimejipa holiday hadi jumatatu
Khaaaa kaka jamani aibu naona mm mdogo wakohuu ubingwa umenifanya nijianike hewani kwamba simba damu, hahahaha mama eeeee
WoyoooooooooooThis is Simba Brother View attachment 772651
Yani yanga ilichonifanya juzi na leo hali vile wamenikera xnNi aibu sana kwa Yanga lakini ndivyo mpira ulivyo, wacha Simba watangaze tu ubingwa leo baada ya matokeo haya ya Yanga na Prisons ya Mbeya. Huu msimu siyo wa Yanga na hili lilionekana tokea mwanzo kabisa. Simba walikuja msimu huu wakiwa wamejipanga vizuri sana kuliko Yanga. Iliyobakia ni Yanga kuanza kujipanga kwa msimu ujao tu maana hata kwenye mashindano ya kimataifa wanayoshiriki hawavuki raundi ya pili; hali yao ni mbaya sana.