Matokeo ya CO mwaka wa pili yashikiliwa NACTE Tanzania nzima

Matokeo ya CO mwaka wa pili yashikiliwa NACTE Tanzania nzima

Ni sawa na kusema aliyesoma Chemistry ya O-level anafanana na Magufuli aliyesoma Chemistry hadi Chuo Kikuu. Atajiita Mkemia. Ni ujinga tu na uelewa wa ki clinical officer kufananisha basic clinical medicine ya CO na MD. Hivi ninyi mna shida gani? Najua clinical officers wengi walienda kusoma hiyo course wakidhani watakuwa madaktari, ila baada ya kufika huko wanashangaa hawajafikia level hiyo. Sasa huwa mnataka kulazimisha.

Yaan nyie mnaojiita madaktar ndio mliofanya figisu hadi degree ya clinical Officer ikafutwa Tanzania nyie....chuki tuu zimewajaa
 
IMG_8932.jpg

Madokta wetu hawa..[emoji2][emoji2]
 
Ni sawa na kusema aliyesoma Chemistry ya O-level anafanana na Magufuli aliyesoma Chemistry hadi Chuo Kikuu. Atajiita Mkemia. Ni ujinga tu na uelewa wa ki clinical officer kufananisha basic clinical medicine ya CO na MD. Hivi ninyi mna shida gani? Najua clinical officers wengi walienda kusoma hiyo course wakidhani watakuwa madaktari, ila baada ya kufika huko wanashangaa hawajafikia level hiyo. Sasa huwa mnataka kulazimisha.
Ujinga wako n ujinga wa kipekee
 
Ni sawa na kusema aliyesoma Chemistry ya O-level anafanana na Magufuli aliyesoma Chemistry hadi Chuo Kikuu. Atajiita Mkemia. Ni ujinga tu na uelewa wa ki clinical officer kufananisha basic clinical medicine ya CO na MD. Hivi ninyi mna shida gani? Najua clinical officers wengi walienda kusoma hiyo course wakidhani watakuwa madaktari, ila baada ya kufika huko wanashangaa hawajafikia level hiyo. Sasa huwa mnataka kulazimisha.
Hakuna Tofaut yeyote kati ya MD na CO kwenye kufanya kazi

Wote ni watu wa kaunta , anachofanya CO kwenye zahanat au kituo cha afya n hicho hicho anafanya MD hospital au kituo cha afya, kazi zao ni general

Diagnosis ya Malaria atakayo kufanyia MD n hiyo hiyo anayokufanyia CO , na Jambo ambalo litashindikana kwa CO n nadra sana MD kua na ujanja nalo , yanapilitiza moja kwa moja kwa wenye uwezo wao
 
CO sio Daktari,acheni kurahisisha mambo..huku mitaani hata Wale wa certificate Co nao hujiita Daktari.. very sad
Hakuna Tofaut yeyote kati ya MD na CO kwenye kufanya kazi

Wote ni watu wa kaunta , anachofanya CO kwenye zahanat au kituo cha afya n hicho hicho anafanya MD hospital au kituo cha afya, kazi zao ni general

Diagnosis ya Malaria atakayo kufanyia MD n hiyo hiyo anayokufanyia CO , na Jambo ambalo litashindikana kwa CO n nadra sana MD kua na ujanja nalo , yanapilitiza moja kwa moja kwa wenye uwezo wao
 
Hakuna Tofaut yeyote kati ya MD na CO kwenye kufanya kazi

Wote ni watu wa kaunta , anachofanya CO kwenye zahanat au kituo cha afya n hicho hicho anafanya MD hospital au kituo cha afya, kazi zao ni general

Diagnosis ya Malaria atakayo kufanyia MD n hiyo hiyo anayokufanyia CO , na Jambo ambalo litashindikana kwa CO n nadra sana MD kua na ujanja nalo , yanapilitiza moja kwa moja kwa wenye uwezo wao
Shida ni digrii miaka mi5 ndio kinawatesa watu..na kujiona superior..wakati kazi ni zile zile..utadhani co kazi yake ni kuua watu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kuna watu wakisoma MD wanaona wengine waliosomea afya ni takataka..leo hii et C.O si daktari sijui yeye hajasoma hizo anatomy,physiology na pharmacology na zinginezo..ili kutibu magonjwa..acheeni roho mbaya za chuki..wote mnajenga nyumba moja mbona ku nyanganyana fito..kisa digrii.

#MaendeleoHayanaChama
Mkuu watu wanaosema hivyo ni wajinga waliotunukiwa elimu.

Kama ambavyo kuna diploma ya pharmacy na ualimu basi ndivyo hivyo kwenye udaktari kuna diploma yake ambayo ndio hiyo clinical medicine
 
Clinical Officer (CO) ni non clinician physician. Si daktari. Daktari ni yule aliyesoma Bachelor of Medicine and Bachelor of Surgery (MBBS) au Doctor of Medicine (MD).
C.O anafanya kazi gani tofauti na M.D ?

Zingatia nazungumzia kazi sizungumzii kiwango cha elimu,kwa sababu m.D atakuwa na kiwango kikub2a cha elimu kuliko C.O.

Ninachotaka kujua kwamba C.O katika kituo anasimama kufanya kazi gani ?
 
Back
Top Bottom