Matokeo ya CO mwaka wa pili yashikiliwa NACTE Tanzania nzima

Matokeo ya CO mwaka wa pili yashikiliwa NACTE Tanzania nzima

Hakuna Tofaut yeyote kati ya MD na CO kwenye kufanya kazi

Wote ni watu wa kaunta , anachofanya CO kwenye zahanat au kituo cha afya n hicho hicho anafanya MD hospital au kituo cha afya, kazi zao ni general

Diagnosis ya Malaria atakayo kufanyia MD n hiyo hiyo anayokufanyia CO , na Jambo ambalo litashindikana kwa CO n nadra sana MD kua na ujanja nalo , yanapilitiza moja kwa moja kwa wenye uwezo wao
Tena C.O akiwa mjanja mjanja wa kujisomea na kukuza ufahamu na akawa ni mtu anayeelewa sana concept katika masomo anayosoma na akawa anajifunza vitu vipya basi anaweza kuwa vizuri sana akadiagnose magonjwa ambayo hata mtu wa MD atashindwa.

BTW nakubali kwamba MD unasoma mambo mengi kuliko CM hiyo ipo wazi.
 
C.O anafanya kazi gani tofauti na M.D ?

Zingatia nazungumzia kazi sizungumzii kiwango cha elimu,kwa sababu m.D atakuwa na kiwango kikub2a cha elimu kuliko C.O.

Ninachotaka kujua kwamba C.O katika kituo anasimama kufanya kazi gani ?
Jiulize kati ya engineer vs technician, mchungaji na katekista, n.k.
 
Nyie ma CO mkasome. Ukijua kuhubiri hakukufanyi kuwa mchungaji.
WEWE UNAONEKANA NI MFAMASIA AMBAYE HAPENDI KUONA MA CO KUITWA MADAKTARI ..TOFAUTI KUBWA YA MD/NA CO NI KATIKA KUINGIA DEEP KWENYE KUSOME , ,MD WANASOMA DEEP ZAIDI KULIKO CO ILA VITU NI VILE VILE NDIO MAANA WOTE NI MADAKTARI TOFAUTI NI LEVEL ZA ELIMU
 
Jiulize kati ya engineer vs technician, mchungaji na katekista, n.k.
Ina maana hatuwezi kujua tofauti ya C.O na MD mpaka kuwe na tofauti kati ya mchungaji na katekista ?

Kama tofauti ya MD na C.o ipo katika dhima ya kutibu kwa nini ije mifanyo mingine sasa 😀😀.

Kama kuna tofauti ya engineer na technician hiyo haifanyi kuwe na tofauti kati ya C.o na MD katika dhima ya kutibu(sio wingi wa maarifa)

Katika ishu ya kutibu hawa wote wanastahiki kuitwa madaktari.

Lakini katika utofauti wa maarifa MD anakuwa amesoma mambo mengi kuliko CO
 
C.O anafanya kazi gani tofauti na M.D ?

Zingatia nazungumzia kazi sizungumzii kiwango cha elimu,kwa sababu m.D atakuwa na kiwango kikub2a cha elimu kuliko C.O.

Ninachotaka kujua kwamba C.O katika kituo anasimama kufanya kazi gani ?
MD anafanya procesure nyingi kubwa kuliko C.O (ila sio kuliko specialist) mfano MD anafanya caesarean section CO hafanyi.
 
Ina maana hatuwezi kujua tofauti ya C.O na MD mpaka kuwe na tofauti kati ya mchungaji na katekista ?

Kama tofauti ya MD na C.o ipo katika dhima ya kutibu kwa nini ije mifanyo mingine sasa [emoji3][emoji3].

Kama kuna tofauti ya engineer na technician hiyo haifanyi kuwe na tofauti kati ya C.o na MD katika dhima ya kutibu(sio wingi wa maarifa)

Katika ishu ya kutibu hawa wote wanastahiki kuitwa madaktari.

Lakini katika utofauti wa maarifa MD anakuwa amesoma mambo mengi kuliko CO
Umegonga point mkuu

MD kwa elimu wako nondo zaid ila kwa utendaji kazi ni kitu kimoja
 
MD anafanya procesure nyingi kubwa kuliko C.O (ila sio kuliko specialist) mfano MD anafanya caesarean section CO hafanyi.
Unafaham siku hz vituo vya afya wanafanya haya? Mkuu, jitahd kua updated kidogo

Na mtu aliesoma CO before 2018 sio sawa na hawa wa post 2018 , vituo vya afya vimewezeshwa sana mkuu , kuna baadhi ya vitu ilikua n lazima ufanyie hospital za wilaya+ saiv kwenye vituo vya afya unafanya , mambo yanabadilika , kituo cha afya saiv unaweza dhan n hospital ya wilaya
 
MD anafanya procesure nyingi kubwa kuliko C.O (ila sio kuliko specialist) mfano MD anafanya caesarean section CO hafanyi.
Mkuu sote humu tunakubali humu kwamba MD lazima kuna mambo ya ziada anayajua kuliko C0.

Lakini katika dhima lao ni moja,wote watafanya kumsikiliza mgonjwa,watafanya diagnosis na watakuandikia dawa utaenda pharmacy kuchukua.

MD na CO katika hospitali hizo ni katika kazi zao huwezi kuwatofautisha katika yale wanayoyafanya pamoja.

Udaktari una diploma na degree,kama zilivyo kozi zingine za ualimu n.k

Huwezi kuniambia mwalimu wa diploma anayefundisha tusimuite mwalimu eti kwa kuwa bado ana diploma wakati anafanya kazi ile ile ya kuwafundisha wanafunzi.

Hhivyo mwalimu wa diploma na wa degree wanaofundisha shuleni wote wapo katika dhima moja ya kufundisha wanafunzi.

Watatofautiana maarifa tu lakini wadhifa wao ni mmoja katika jamii.
 
Matokeo yake mnazalisha vijana wanajiita madokta uchwara huku mtaani. Utakuta kijamaa kipo kwenye dispensali yenye jengo moja nacho kinajiita dokta.
Kasome mkuu, wivu wa nn

N miaka mitatu tu, unasahau bata kwa miaka mitatu unapata tittle
 
Kasome mkuu, wivu wa nn

N miaka mitatu tu, unasahau bata kwa miaka mitatu unapata tittle
Siwezi soma ujinga kama huo mimi mkuu. Niambie daktari gani mwenye hela hapa Tanzania.
Mimi labda nisome uchumi, siasa, uhasibu au sheria au teknolojia za computer huko. Wasomi waliosomea hizi ndio watu wenye hela Tanzania.
Hivi nikiwa daktari nitaiba mashuka ya wagonjwa au vibox vya panadol. Mwenzako anakua meneja wa shirika la ndege, shirika lina hold billions of moneys mwenzangu namimi unahold thousands of patients. 😜😜😜😜😜😜😜😜😜
Wanaosomea hizo issue za UCO na Udaktari ni wale wenye njaa ili wapate kazi haraka wapunguze ukali wa maisha wenye akili zao wanapiga political science huko ndio wanaongoza nchi.
 
Siwezi soma ujinga kama huo mimi mkuu. Niambie daktari gani mwenye hela hapa Tanzania.
Mimi labda nisome uchumi, siasa, uhasibu au sheria au teknolojia za computer huko. Wasomi waliosomea hizi ndio watu wenye hela Tanzania.
Hivi nikiwa daktari nitaiba mashuka ya wagonjwa au vibox vya panadol. Mwenzako anakua meneja wa shirika la ndege, shirika lina hold billions of moneys mwenzangu namimi unahold thousands of patients. [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Wanaosomea hizo issue za UCO na Udaktari ni wale wenye njaa ili wapate kazi haraka wapunguze ukali wa maisha wenye akili zao wanapiga political science huko ndio wanaongoza nchi.
[emoji23][emoji23][emoji23] kwamba utaiba mashuka, sawa
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kwamba utaiba mashuka, sawa
😂😂😂😂😂😂Wenzako wanapoteza billions of money bandarini huko, mwingine Anapoteza vibox vya panadol hahahaaa. Wenzako wanachomoa noti kwenye shirika wanajenga maghorofa Masaki mwenzangu unachomoa vibox vya dawa unafungua kifamasi mtaani. Wenzako vikoti vyeupe tumevaa sana Maabara za physics tukiwa sekondari huko.
 
MD=general practitioner...hana tofaut na CO ..GP kaz yake kuandika referral kwenda kwa specialist.... kama MD unataka respect au kucompete na CO au kujifanya bora... kasome specialization...Over
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Siwezi soma ujinga kama huo mimi mkuu. Niambie daktari gani mwenye hela hapa Tanzania.
Mimi labda nisome uchumi, siasa, uhasibu au sheria au teknolojia za computer huko. Wasomi waliosomea hizi ndio watu wenye hela Tanzania.
Hivi nikiwa daktari nitaiba mashuka ya wagonjwa au vibox vya panadol. Mwenzako anakua meneja wa shirika la ndege, shirika lina hold billions of moneys mwenzangu namimi unahold thousands of patients. [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Wanaosomea hizo issue za UCO na Udaktari ni wale wenye njaa ili wapate kazi haraka wapunguze ukali wa maisha wenye akili zao wanapiga political science huko ndio wanaongoza nchi.
Ukweli mchungu...daktari ni pesa ya kula na kuvaa.
 
C.O anafanya kazi gani tofauti na M.D ?

Zingatia nazungumzia kazi sizungumzii kiwango cha elimu,kwa sababu m.D atakuwa na kiwango kikub2a cha elimu kuliko C.O.

Ninachotaka kujua kwamba C.O katika kituo anasimama kufanya kazi gani ?
Kuna kazi CO hawezi fanya isipokuwa MD mfano upasuaji na nyinginezo.
Wanatofautiana katika viwango kutokana na ngazi ya kimasomo kama ilivyo kwa Mwalimu wa shule ya msingi ambae aliishia elimu ya kufundisha shule ya msingi na Mwalimu wa sekondari au high school.
 
Back
Top Bottom