Matokeo ya CO mwaka wa pili yashikiliwa NACTE Tanzania nzima

Matokeo ya CO mwaka wa pili yashikiliwa NACTE Tanzania nzima

Vita ya MD na CO haitokuja kuisha mpaka kiama....yaaaani MD munawachukia saaana CO


Na ndio maana vyuo vya serikali huko munawatesa sana chuki zenu zinafanya munawapa marks za chuki chuki hususan clinicals.....not fair
 
Vita ya MD na CO haitokuja kuisha mpaka kiama....yaaaani MD munawachukia saaana CO


Na ndio maana vyuo vya serikali huko munawatesa sana chuki zenu zinafanya munawapa marks za chuki chuki hususan clinicals.....not fair
Umeongea ukweli mtupu
 
.
IMG-20211025-WA0057.jpg
 
Mwalimu wa shule ya msingi wa diploma ana dhima sawa(kufundisha)na mwalimu wa shule ya sekondari mwenye degree ana dhima ile ile ya kufundisha wanafunzi japokuwa maarifa yametofautiana.

Unakubali unakataa ?

Kwani mwimu wa chuo kikuu na mwalimu wa shule ya msingi si wanatambika kama wpte ni waalimu japokuwa level zao za elimu tofauti ?
Maarifa yanafanana au hayafanani?


Kama maarifa hayafanani, mjadala na ufungwe
 
MD akitaka kumtibu mtu wa malaria na CO akitaka kumtibu mtu wa malaria kutokea kumchukua history mpaka kumfanyia diagnosis na kumuandikia dawa kuna tofauti yeyote ?
kaka ni sawa unachokiongea kabisa, watafanana kufanya diagnosis na hata prescriptions.

Lakini tukubaliane kwamba hawa watu wanatofautina sana kimaarifa na mazoezi. Tunaweza tukawa tunatibu ugonjwa sawa lakini tukatumia mbinu tofauti kulingana na hali ya mgonjwa na dawa zilizopo hospitali.

Unadhani kama dhima ilikuwa ni kutibu tu na hakuna tofauti, basi CO asingekuwa ana uwezo wa kwenda specialization yeyote pasipo hata kupitia MD, wakati MD huwa anaunganisha tu kwenye specialization.

Lakini pia kama wanafanana kwa unavyodai, kwa nini mtu aliyetoka form six akienda kusoma MD atapiga miaka 5 na mmoja tena wa internship, na vivyohivyo kwa mtu wa CO hana added advantage kwenda kusoma anacukua na yeye miaka 5 na mmoja wa internship. Ni kama vile vyuo vikuu havioni utofauti wa form six na huyu CO, lakini wewe hapa upo hapa kutuaminisha kwama MD na CO wanafanana!.😳😳😳

Kikubwa wote lengo letu ni kutibu wagonjwa na kutengeneza pesa pia, lakini haitufanyi tusione utofauti baina yetu. Na hii kitu ipo kwenye kada zote, Kuna mwalimu wa primary na mwalimu wa chuo wote ni 'WAALIMU' japo kazi yao wote kimuundo zinafanana kwa asilimia kubwa, lakini tofauti zipo kuanzia njia za ufundishaji, wanafunzi , mitaala na kadhalika. Tena waalimu wa chuo wameenda mbali zaidi na kuiija 'LECTURER' huku yule wa primary wanaitwa 'TEACHER'
 
Ni sawa mtu wa diploma ya uhandisi ajiite engineer! Ni kitu ambacho hakiwezekani!

Kama una hamu ya kuitwa MD kwanza acha wizi wa pepa then rudi chuoni ukagongwe mvua 6 chuoni!

Ukimaliza hapo ndio utajua kwanini CO hawezi kuwa MD.
Uhandisi una level zake kama udaktari tu ...MIMI NILIONA KWENYE AJIRA PORTAL C.O WANAITWA MATABIBU
 
MD akitaka kumtibu mtu wa malaria na CO akitaka kumtibu mtu wa malaria kutokea kumchukua history mpaka kumfanyia diagnosis na kumuandikia dawa kuna tofauti yeyote ?
Unajua steps unazopitia mpaka kufikia DX ya malaria, au unafikiri unamuona mgonjwa then unataka kumtibu malaria straight, kwanini sio typhoid, relapsing fever, septicemia, dengue and so so....hiyo reasoning/clinical skills inayopelekea mpaka kupata differential diagnosis to diagnosis, ndiyo tofauti ya MD na CO, otherwise kama issue ni kuandika dawa ya malaria basi hakuna tofauti kati ya physician/internal medicine specialist na clinical assistant(certificate), maana wote wanandika dawa sawa za malaria, tena utakuta ACO/CO/AMO wakaandika artesunate au artemether injection ila specialist akaandika ALU tabs, afu utasema specialist yuko shallow au sawa na hao paramedics kumbe ni kama marekani na makambako.
 
Hayo mambo yako wapi wewe? Daktari amuonee wivu Pharmacist? Pharmacist yupi huyo anagombana na daktari? Kwanza utayafahamiana wapi hayo wakati ulipo huoni interaction ya daktari na pharmacist.

Shida ni nyie ambao mliingia kwenye afya mkidhani mtafanana na wenzenu waliosoma masomo ya juu. Mnajitutumua kwa vitu msivyovijua. Ushauri wa bure mkasomee udaktari. Msijitie moyo kwamba ninyi ni madaktari. Shauri yako.
MD na CO wanatibu malaria tofauti au ni ile ile?
 
Wivu tu..si anatibu na dakitari anatibu sasa tofauti ni nini..?

#MaendeleoHayanaChama

Tanzania​

In Tanzania, MD is the first awarded degree and takes 5 years of medical school, plus a sixth-year internship, students are awarded the degree of Doctor of Medicine (MD). The popular medical school in country includes Muhimbili University of health and allied sciences (MUHAS), The University of Dodoma- School of Medicine and Dentistry (UDOM) and Catholic University of health and allied sciences (CUHAS)

After undergraduate studies the students then pursue residency or termed as Master of Medicine for 3 or 4 or 5 depending on the speciality they are interested after that the students is awarded Master of Medicine degree which they can further go on to do Superspecialities for 2 more years and after that do fellowship
 

Tanzania​

In Tanzania, MD is the first awarded degree and takes 5 years of medical school, plus a sixth-year internship, students are awarded the degree of Doctor of Medicine (MD). The popular medical school in country includes Muhimbili University of health and allied sciences (MUHAS), The University of Dodoma- School of Medicine and Dentistry (UDOM) and Catholic University of health and allied sciences (CUHAS)

After undergraduate studies the students then pursue residency or termed as Master of Medicine for 3 or 4 or 5 depending on the speciality they are interested after that the students is awarded Master of Medicine degree which they can further go on to do Superspecialities for 2 more years and after that do fellowship
MD ni CO aliyechangamka..full stop..zingine ni mbwembwe zisizo natija wala faida kwa wagonjwa zaidi ya kuwatibu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Unajua steps unazopitia mpaka kufikia DX ya malaria, au unafikiri unamuona mgonjwa then unataka kumtibu malaria straight, kwanini sio typhoid, relapsing fever, septicemia, dengue and so so....hiyo reasoning/clinical skills inayopelekea mpaka kupata differential diagnosis to diagnosis, ndiyo tofauti ya MD na CO, otherwise kama issue ni kuandika dawa ya malaria basi hakuna tofauti kati ya physician/internal medicine specialist na clinical assistant(certificate), maana wote wanandika dawa sawa za malaria, tena utakuta ACO/CO/AMO wakaandika artesunate au artemether injection ila specialist akaandika ALU tabs, afu utasema specialist yuko shallow au sawa na hao paramedics kumbe ni kama marekani na makambako.
Ngoja turahisishe hivi.

Ualimu kuna ualimu ngazi ya certificate diploma na degree.

Je mwalimu mwenye diploma hastahiki kuitwa mwalimu kwakuwa ana diploma ?
 
MD ni CO aliyechangamka..full stop..zingine ni mbwembwe zisizo natija wala faida kwa wagonjwa zaidi ya kuwatibu.

#MaendeleoHayanaChama

Wakati mwengine tena CO’s akiwa sereous na shule huyo MD akasome tena
 
Unajua steps unazopitia mpaka kufikia DX ya malaria, au unafikiri unamuona mgonjwa then unataka kumtibu malaria straight, kwanini sio typhoid, relapsing fever, septicemia, dengue and so so....hiyo reasoning/clinical skills inayopelekea mpaka kupata differential diagnosis to diagnosis, ndiyo tofauti ya MD na CO, otherwise kama issue ni kuandika dawa ya malaria basi hakuna tofauti kati ya physician/internal medicine specialist na clinical assistant(certificate), maana wote wanandika dawa sawa za malaria, tena utakuta ACO/CO/AMO wakaandika artesunate au artemether injection ila specialist akaandika ALU tabs, afu utasema specialist yuko shallow au sawa na hao paramedics kumbe ni kama marekani na makambako.
Kwani lengo ni hizo steps ama lengo ni kutibu hiyo typhoid ?

Hizo steps ni njia tu ya kufikia diagnosis na kutibu tatizo lenyewe,lengo hasa ni kujua ugonjwa na kuutibu.

Kwa mantiki hiyo CO na MD wana lengo moja la kutibu na huo ndio udaktari wemyewe
 
Wakati mwengine tena CO’s akiwa sereous na shule huyo MD akasome tena
Kuna mambo mengi sana CO anayasoma akiyazingatia haswaa na akajiongeza na akawa anawaza nje ya box na kujiuloza kwa nini hiki kinakuwa hivi na kisiwe vile,akiwa na akili hii basi anakuwa yuko njema saaana katika utabibu wake na wagonjwa watampenda sana na kuelekezana waende kwake pale wanapoumwa.

Haya mambo tunayashuhudia sana
 
Back
Top Bottom