Kwaiyo tunamwita Kwa neno moja maana tunajua majukumu yake hebu tufafanulie usiishie kudefine tu pengine unajua zaidi!!???
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mambo mengi sana CO anayasoma akiyazingatia haswaa na akajiongeza na akawa anawaza nje ya box na kujiuloza kwa nini hiki kinakuwa hivi na kisiwe vile,akiwa na akili hii basi anakuwa yuko njema saaana katika utabibu wake na wagonjwa watampenda sana na kuelekezana waende kwake pale wanapoumwa.
Haya mambo tunayashuhudia sana
Kinachpwafanya watu waone Co NI sawa na daktari ni kwa sababu ya lengo lao na sio njia wanazotumia kufikia lengo hilo.Lakini tukubaliane kwamba hawa watu wanatofautina sana kimaarifa na mazoezi. Tunaweza tukawa tunatibu ugonjwa sawa lakini tukatumia mbinu tofauti kulingana na hali ya mgonjwa na dawa zilizopo hospitali.
Haya ni mambo ya kimfumo tu mkuu.Unadhani kama dhima ilikuwa ni kutibu tu na hakuna tofauti, basi CO asingekuwa ana uwezo wa kwenda specialization yeyote pasipo hata kupitia MD, wakati MD huwa anaunganisha tu kwenye specialization.
Lakini pia kama wanafanana kwa unavyodai, kwa nini mtu aliyetoka form six akienda kusoma MD atapiga miaka 5 na mmoja tena wa internship, na vivyohivyo kwa mtu wa CO hana added advantage kwenda kusoma anacukua na yeye miaka 5 na mmoja wa internship. Ni kama vile vyuo vikuu havioni utofauti wa form six na huyu CO
Sijasema wanafanana nimesema wote ni madaktari japokuwa wanatofautiana maarifa,nisome tena mkuu wangu.Lakini pia kama wanafanana kwa unavyodai,
Kwani mwalimu wa diploma akitaka kwenda kusoma degree akipiga miaka mitatu ile ile bila kujali kama ana diploma je hiyo itamfanya yeye wakati ana diploma asiitwe mwalimu ?kwa nini mtu aliyetoka form six akienda kusoma MD atapiga miaka 5 na mmoja tena wa internship, na vivyohivyo kwa mtu wa CO hana added advantage kwenda kusoma anacukua na yeye miaka 5 na mmoja wa internship.
Mtu ana div one ya point 3 anataka kuwa CO,unadhani atapewa tu cheti cha uCO kwa kuwa kapita form six ?Ni kama vile vyuo vikuu havioni utofauti wa form six na huyu CO,
Nakazi akwamba WANAFANANA KATIKA LENGO LAO KWA MGONJWA na lengo ni kutoa muongozo na kutibu.lakini wewe hapa upo hapa kutuaminisha kwama MD na CO wanafanana!.😳😳😳
Utofauti wa maarifa haufanyi kuwepo na utofauti wa lengo.Kikubwa wote lengo letu ni kutibu wagonjwa na kutengeneza pesa pia, lakini haitufanyi tusione utofauti baina yetu
Sasa hiyo ndio nayo ipo katika udaktari ipo hivyo hivyo kwamba MD na CO wote ni madaktari kwa sababu kazi yao kimuundo inafanana kwa asilimia kubwa sanaNa hii kitu ipo kwenye kada zote, Kuna mwalimu wa primary na mwalimu wa chuo wote ni 'WAALIMU' japo kazi yao wote kimuundo zinafanana kwa asilimia kubwa,
Sasa hizi ni njia ndizo zinaleta utofauti,lakini wote lengo lao ni kufundisha.lakini tofauti zipo kuanzia njia za ufundishaji, wanafunzi , mitaala na kadhalika.
Unaweza kuwa umesoma lakini hujaelimika bado, utakapoelimika utaelewe vizuri nini maana ya professions.MD ni CO aliyechangamka..full stop..zingine ni mbwembwe zisizo natija wala faida kwa wagonjwa zaidi ya kuwatibu.
#MaendeleoHayanaChama
Kichwa chako kina shida. Wenzako tulishapita huko hata kuudharau udaktari wenyewe.Hayo mambo yako wapi wewe? Daktari amuonee wivu Pharmacist? Pharmacist yupi huyo anagombana na daktari? Kwanza utayafahamiana wapi hayo wakati ulipo huoni interaction ya daktari na pharmacist.
Shida ni nyie ambao mliingia kwenye afya mkidhani mtafanana na wenzenu waliosoma masomo ya juu. Mnajitutumua kwa vitu msivyovijua. Ushauri wa bure mkasomee udaktari. Msijitie moyo kwamba ninyi ni madaktari. Shauri yako.
Hizo mbwembwe hazina msaada kwa wagonjwa..ingia night shift ukatibu wagojwa..MD ni CO aliyechangamka..unless mmoja awe anaua...ndio tutawatofautisha.Unaweza kuwa umesoma lakini hujaelimika bado, utakapoelimika utaelewe vizuri nini maana ya professions.
Medicine doctor tunasoma miaka mitano kuna baadhi ya vitu CO anakuwa hafahamu mpaka na yeye akasome miaka mingine mitano... Vitu vingi sio vichache... Ingawa experience ya kazi huwa inawabeba ma co wengi hupata experience ya kazi.. Unafahamu kwamba baadhi ya manesi wakongwe wanaweza kufanya oparesheni kabsa ambayo kijana mbichi wa Md hajaizoea.... Kozi za afya ni kutegemeanaHakuna Tofaut yeyote kati ya MD na CO kwenye kufanya kazi
Wote ni watu wa kaunta , anachofanya CO kwenye zahanat au kituo cha afya n hicho hicho anafanya MD hospital au kituo cha afya, kazi zao ni general
Diagnosis ya Malaria atakayo kufanyia MD n hiyo hiyo anayokufanyia CO , na Jambo ambalo litashindikana kwa CO n nadra sana MD kua na ujanja nalo , yanapilitiza moja kwa moja kwa wenye uwezo wao
C. O ana shallow knowledge kwenye baadhi ya vitu mfano parasitology, medical microbiology.. Pathology huo ni mfano tu C. O anahtaji miaka sita tena kusoma BachelorKuna mambo mengi sana CO anayasoma akiyazingatia haswaa na akajiongeza na akawa anawaza nje ya box na kujiuloza kwa nini hiki kinakuwa hivi na kisiwe vile,akiwa na akili hii basi anakuwa yuko njema saaana katika utabibu wake na wagonjwa watampenda sana na kuelekezana waende kwake pale wanapoumwa.
Haya mambo tunayashuhudia sana
Sahihi mkuu nakubaliana na wewe katika hili kwamba MD lazima awe na maarifa mengi kuliko COC. O ana shallow knowledge kwenye baadhi ya vitu mfano parasitology, medical microbiology.. Pathology huo ni mfano tu C. O anahtaji miaka sita tena kusoma Bachelor
C. O ana uwezo wa kutibu lakini uwezo wake hautofanana na MD, utofauti wao utakuja pale ambapo CO atakua amefanya kazi muda mrefu... Na more experience kuliko new MD...
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Unazungumzia jina au maarifa?Ngoja turahisishe hivi.
Ualimu kuna ualimu ngazi ya certificate diploma na degree.
Je mwalimu mwenye diploma hastahiki kuitwa mwalimu kwakuwa ana diploma ?
Serious kwenye nini wakati kuna vitu CO yuko limited kufanyaWakati mwengine tena CO’s akiwa sereous na shule huyo MD akasome tena
Unazungumzia lengo au uwezo wa kufikia diagnosis?Kwani lengo ni hizo steps ama lengo ni kutibu hiyo typhoid ?
Hizo steps ni njia tu ya kufikia diagnosis na kutibu tatizo lenyewe,lengo hasa ni kujua ugonjwa na kuutibu.
Kwa mantiki hiyo CO na MD wana lengo moja la kutibu na huo ndio udaktari wemyewe
factMedicine doctor tunasoma miaka mitano kuna baadhi ya vitu CO anakuwa hafahamu mpaka na yeye akasome miaka mingine mitano... Vitu vingi sio vichache... Ingawa experience ya kazi huwa inawabeba ma co wengi hupata experience ya kazi.. Unafahamu kwamba baadhi ya manesi wakongwe wanaweza kufanya oparesheni kabsa ambayo kijana mbichi wa Md hajaizoea.... Kozi za afya ni kutegemeana
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mimi sijafanya kazi hospital lakini malezi yangu na hospitali huwezi kuyatenganisha, Nilikuwa nikimtembelea mzazi wodini(kazini) nikimkuta busy namsaidia kazi, nafahamu umuhimu wa nesi katika kutibu wagonjwa, Dakitari anapita round kwa masaa, nesi yuko na mgonjwa wakati wote, Hiyo night shift unayoisema najua ladha yake, Nesi ana kazi KUBWA kuliko hata huyo CO na MD.Hizo mbwembwe hazina msaada kwa wagonjwa..ingia night shift ukatibu wagojwa..MD ni CO aliyechangamka..unless mmoja awe anaua...ndio tutawatofautisha.
#MaendeleoHayanaChama