Matokeo ya CO mwaka wa pili yashikiliwa NACTE Tanzania nzima

Matokeo ya CO mwaka wa pili yashikiliwa NACTE Tanzania nzima

Ukipitia conversation yote kwenye uzi huwez kuona lugha mbaya kwa mtu tofaut na ww, wajua n kwann? Wote walioshiriki hapa it's either ni MD , Specialist au CO's .. ndio maana huon hata hoja zikipingana sana , sehem wanaafikiana sehem hatuafikian

Sasa ww sio mmoja wetu , ndio maana badala ya kuweka hoja mezani unaweka kichwa kilicho kitupu , mada yangu nawe imeishia hapa
bwana mdogo uelewa wako ni mfinyu sana,lecturer gani au professor gani apoteze muda wake kufundisha CO , CO wanafundishwa na MD Tanzania nzima.
Kama hujui vitu uliza tukueleweshe usiongee ujinga hapa. na kwa taarifa yako kuna vyuo CO wanafundishwa na AMO [emoji1787][emoji1787][emoji1787] , nchi ngumu sana hii.
 
bwana mdogo uelewa wako ni mfinyu sana,lecturer gani au professor gani apoteze muda wake kufundisha CO , CO wanafundishwa na MD Tanzania nzima.
Kama hujui vitu uliza tukueleweshe usiongee ujinga hapa. na kwa taarifa yako kuna vyuo CO wanafundishwa na AMO [emoji1787][emoji1787][emoji1787] , nchi ngumu sana hii.
Nakuambia sababu nimepita huko

Hakuna AMO mwenye uwezo wa kumfundisha CEO , Hata MD n mmoja mmoja sana

Kwanza I think Nina module ya Anatomy.. ngoja nikupipigie picha uone walio iandaa, nikifika tu home, i think ipo
 
MD=general practitioner...hana tofaut na CO ..GP kaz yake kuandika referral kwenda kwa specialist.... kama MD unataka respect au kucompete na CO au kujifanya bora... kasome specialization...Over
MD ni degree inayojitosheleza na sio lazima MD asome medical specialist.....MD anaweza soma master yeyote ya science na akapractise chochote nje ya medicine....ndio mana akaitwa MD......unclassified degree
 
Yaan nyie mnaojiita madaktar ndio mliofanya figisu hadi degree ya clinical Officer ikafutwa Tanzania nyie....chuki tuu zimewajaa
Degree ya clinical officer haipo popote duniani....kuna sheria na miongozi ya kuanzisha degree.....waulizwe TCU
 
Ni nani? Na kwann ofisi yake iitwe ofisi ya Daktari?
CO kwa kiswahili no mganga,MD anaweza pia kua mganga(clinician).
Duniani ili uwe daktari.
1.Lazima usomee MD
2.upewe phD ya heshima kutoka chuo kikuu.
3.Usomee phD,.....baada ya kusoma degree nyingine mbili, tofauti na MD,na BVM
 
Degree ya clinical officer haipo popote duniani....kuna sheria na miongozi ya kuanzisha degree.....waulizwe TCU
I think alikosea, kulikua na mchakato huo, watu wa CO walitaka iwepo degree yao, wanaona n dharau kuungwa na watu wa MD kusoma upya
 
Hakuna Tofaut yeyote kati ya MD na CO kwenye kufanya kazi

Wote ni watu wa kaunta , anachofanya CO kwenye zahanat au kituo cha afya n hicho hicho anafanya MD hospital au kituo cha afya, kazi zao ni general

Diagnosis ya Malaria atakayo kufanyia MD n hiyo hiyo anayokufanyia CO , na Jambo ambalo litashindikana kwa CO n nadra sana MD kua na ujanja nalo , yanapilitiza moja kwa moja kwa wenye uwezo wao
Clinician/utabibu ni sehemu ya masomo ya MD,.....MD anaweza kua researcher,programme manager wa public health issues,scientist.....etc......CO yeye ni typical pure clinical officer......bado hujaona tofauti?
 
CO kwa kiswahili no mganga,MD anaweza pia kua mganga(clinician).
Duniani ili uwe daktari.
1.Lazima usomee MD
2.upewe phD ya heshima kutoka chuo kikuu.
3.Usomee phD,.....baada ya kusoma degree nyingine mbili, tofauti na MD,na BVM
Unafahamu Mganga kwa kizungu ni Physician?? Na mwenzako kule juu alisema CO ni non- Physician ? [emoji23][emoji23][emoji23]..

Kila mtu anavuta kwakwe, n kukubal kutokukubaliana
 
Kitu kikimshinda CO ... most likely MD nae hafanyi kitu, hawa watu wamesoma general tu , hawana u specialist wowote

Labda ukute kaongeza vikoz vidogo vidogo vile
MD hasomi ili asishindwe na kitu[emoji16][emoji16][emoji38].......hio ni complete packaje inayopatikana baada ya miaka 6 ya kumaliza masomo........na wala kua specialist si bora kuliko MD,.....ipo kwa ajili ya kutatua changamoto fulani,mfano ENT surgery hatibu BP,ila MD anatibu vizuri tu......hakuna ulinganisho wa kozi.
Na hii maana yake ni kua CO sio Daktari.......haimaanishi CO sio muhimu kuliko MD
 
Shida ni digrii miaka mi5 ndio kinawatesa watu..na kujiona superior..wakati kazi ni zile zile..utadhani co kazi yake ni kuua watu.

#MaendeleoHayanaChama
CO hasomi psychiatry, eg.kazi zinawezaje kua zile zile.......hujawahi ona matangazo ya kazi kuona majukumu ya MD na CO.........MD anaweza soma hata master ya journalism [emoji16][emoji16]......kitu ambacho hata kwa mtu mwenye degree ya maabara hawezi......ndio itakua CO?
 
Clinician/utabibu ni sehemu ya masomo ya MD,.....MD anaweza kua researcher,programme manager wa public health issues,scientist.....etc......CO yeye ni typical pure clinical officer......bado hujaona tofauti?
Tutafute mtu wa tatu asaidie

Majukum hayo hata CO anafanya

Kimsingi kwenye utendaji hakuna tofaut , utofaut uliopo ni kwenye elimu ,mmoja anaelimu zaid ya mwenzie

Lkn elimu hiyo inabak kua ni general haina u specialist wowote , ndio maana wote n watu wa kaunta
Screenshot_20211027-135955.jpg
 
C.O ni daktari wa ngazi ya diploma,acha kukariri majina mzee.

C.O na M.D tofauti yao ni maarifa lakini wanatambulika katika dhima ile ile ya kutibu.
Hamna Diploma ya udaktari......udaktari hauna shortcut......ni lazima uwe MD au phD.........kuna Diploma ya utabibu.......utabibu ni moja ya kozi daktari ambazo anazisoma chuoni
 
Mkuu watu wanaosema hivyo ni wajinga waliotunukiwa elimu.

Kama ambavyo kuna diploma ya pharmacy na ualimu basi ndivyo hivyo kwenye udaktari kuna diploma yake ambayo ndio hiyo clinical medicine
Huwezi fananisha ualimu,pharmacy na MD.....hizo ni fani tofauti zenye malengo tofauti.........mtu mwenye bachelor ya MD anaitwa doctor tayari,wakati education hadi uwe na PhD ndio uwe doctor
 
C.O anafanya kazi gani tofauti na M.D ?

Zingatia nazungumzia kazi sizungumzii kiwango cha elimu,kwa sababu m.D atakuwa na kiwango kikub2a cha elimu kuliko C.O.

Ninachotaka kujua kwamba C.O katika kituo anasimama kufanya kazi gani ?
Kama hujui kazi ya MD na CO hadi sasa,ni veme ukajifunza,ubishi hautakusaidia
 
Tena C.O akiwa mjanja mjanja wa kujisomea na kukuza ufahamu na akawa ni mtu anayeelewa sana concept katika masomo anayosoma na akawa anajifunza vitu vipya basi anaweza kuwa vizuri sana akadiagnose magonjwa ambayo hata mtu wa MD atashindwa.

BTW nakubali kwamba MD unasoma mambo mengi kuliko CM hiyo ipo wazi.
Kuwa na uwezo wa kufanya hata operation ya kuunga nerves,hakumfanyi CO awe MD........wapo MD kibao hawajui hata kukamua jipu............
 
WEWE UNAONEKANA NI MFAMASIA AMBAYE HAPENDI KUONA MA CO KUITWA MADAKTARI ..TOFAUTI KUBWA YA MD/NA CO NI KATIKA KUINGIA DEEP KWENYE KUSOME , ,MD WANASOMA DEEP ZAIDI KULIKO CO ILA VITU NI VILE VILE NDIO MAANA WOTE NI MADAKTARI TOFAUTI NI LEVEL ZA ELIMU
Tofauti ya kwanza..........MD ni daktari,CO ni tabibu
 
CO hasomi psychiatry, eg.kazi zinawezaje kua zile zile.......hujawahi ona matangazo ya kazi kuona majukumu ya MD na CO.........MD anaweza soma hata master ya journalism [emoji16][emoji16]......kitu ambacho hata kwa mtu mwenye degree ya maabara hawezi......ndio itakua CO?
Mkuu itakua umesoma zaman sana

Psychiatric CO wanasoma , again big difference kati ya CO na MD ipo kwenye "wanasoma kwa kiwango gani" hii hata nursing wanasoma , tunajua MD anasoma kiundani zaid, hata nurses wanasoma deep sana hii
 
Nakushauri nenda kasome utaona utofauti.
Hata mimi nilipokuwa CO niliona hakuna utofauti,ila baada ya kwenda shule dah.! Tofauti kubwa sana.
Now,napambania MMed iishe.
Utofaut wa Kielimu mbona tushakubaliana huko juu zamani tu

Ila wote n watu wa kaunta
 
Ina maana hatuwezi kujua tofauti ya C.O na MD mpaka kuwe na tofauti kati ya mchungaji na katekista ?

Kama tofauti ya MD na C.o ipo katika dhima ya kutibu kwa nini ije mifanyo mingine sasa [emoji3][emoji3].

Kama kuna tofauti ya engineer na technician hiyo haifanyi kuwe na tofauti kati ya C.o na MD katika dhima ya kutibu(sio wingi wa maarifa)

Katika ishu ya kutibu hawa wote wanastahiki kuitwa madaktari.

Lakini katika utofauti wa maarifa MD anakuwa amesoma mambo mengi kuliko CO
MD haitwi,daktari sababu anatibu.......ni sababu amesomea hio fani.........doctor ni awarded unclassified degree.......
 
Back
Top Bottom