Matokeo ya CO mwaka wa pili yashikiliwa NACTE Tanzania nzima

Matokeo ya CO mwaka wa pili yashikiliwa NACTE Tanzania nzima

MD anafanya procesure nyingi kubwa kuliko C.O (ila sio kuliko specialist) mfano MD anafanya caesarean section CO hafanyi.
Kwani kua specialist ni kufanya procedure nyingi?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji38]...........what about psychiatrist,pediatrician,community medicine..............the same as MD kua daktari na CO kua tabibu sio suala la kutibu .......MD ni fani kongwe na ina mizizi yake,..........
 
Umegonga point mkuu

MD kwa elimu wako nondo zaid ila kwa utendaji kazi ni kitu kimoja
MD anafanya kazi tofauti tofauti na nyingi zaidi ya CO........purpose ya kuanzishwa MD si kushindana na CO
 
Mkuu sote humu tunakubali humu kwamba MD lazima kuna mambo ya ziada anayajua kuliko C0.

Lakini katika dhima lao ni moja,wote watafanya kumsikiliza mgonjwa,watafanya diagnosis na watakuandikia dawa utaenda pharmacy kuchukua.

MD na CO katika hospitali hizo ni katika kazi zao huwezi kuwatofautisha katika yale wanayoyafanya pamoja.

Udaktari una diploma na degree,kama zilivyo kozi zingine za ualimu n.k

Huwezi kuniambia mwalimu wa diploma anayefundisha tusimuite mwalimu eti kwa kuwa bado ana diploma wakati anafanya kazi ile ile ya kuwafundisha wanafunzi.

Hhivyo mwalimu wa diploma na wa degree wanaofundisha shuleni wote wapo katika dhima moja ya kufundisha wanafunzi.

Watatofautiana maarifa tu lakini wadhifa wao ni mmoja katika jamii.
Udaktari hauna Diploma.......wewe kutokuja haina maana kua ni sahihi.
Ili mtu awe doctor(daktari),duniani ni lazima awe na MD au PhD fullstop.....sasa utakuja useme siku nyingine PhD ina Diploma,[emoji38][emoji38]
 
Siwezi soma ujinga kama huo mimi mkuu. Niambie daktari gani mwenye hela hapa Tanzania.
Mimi labda nisome uchumi, siasa, uhasibu au sheria au teknolojia za computer huko. Wasomi waliosomea hizi ndio watu wenye hela Tanzania.
Hivi nikiwa daktari nitaiba mashuka ya wagonjwa au vibox vya panadol. Mwenzako anakua meneja wa shirika la ndege, shirika lina hold billions of moneys mwenzangu namimi unahold thousands of patients. [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Wanaosomea hizo issue za UCO na Udaktari ni wale wenye njaa ili wapate kazi haraka wapunguze ukali wa maisha wenye akili zao wanapiga political science huko ndio wanaongoza nchi.
Daktari hasomi ili ajilinganishe na fani ingine anasoma kwa matakwa yake binafsi......MD anaweza asiwe na hela lakini anaweza kua na pesa pia kama mtu anayeponda MD wakati alishindwa kusoma hio akaishia fani nyingine kujifariji,na akatoboa ama akaferi pia.
Ni ngumu sana kumkuta MD serikalini analipwa chini ya M,ila ni rahisi sana kukuta watu wa fani ingine serikalini wenye degree wana mshahara chini ya milioni ........yah MD ni masikini[emoji38][emoji38][emoji38]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wenzako wanapoteza billions of money bandarini huko, mwingine Anapoteza vibox vya panadol hahahaaa. Wenzako wanachomoa noti kwenye shirika wanajenga maghorofa Masaki mwenzangu unachomoa vibox vya dawa unafungua kifamasi mtaani. Wenzako vikoti vyeupe tumevaa sana Maabara za physics tukiwa sekondari huko.
Ni MD wengi sana wameajiria mara elfu yawafanyakazi wa Bandarini........hata Bandarini,jeshini,B.O.T ,internation agencies MD wapo ......hio haifuti hoja kua CO sio daktari
 
Ukweli mchungu...daktari ni pesa ya kula na kuvaa.
Doctor of medicine is among the high paying job in America and Tanzania.
Muajiri mkubwa Tanzania ni TAMISEMI..........ni rahisi sana kumkuta MD anakula milioni TAMISEMI kuliko mtu wa degree nyingine walioajiriwa sawa .........
 
MD hafanyi upasuaj, anaefanya ni hawa wa MBBS
MD,MBSS ni kitu kimoja kulingana na nchi na chuo............all are medical doctor........kuna haja ya kusoma sana kabla ya kuonesha ukilaza hapa jukwaani[emoji38][emoji38][emoji16]
 
Huo utofauti ni kwa sababu ya level ya elimu.

Lakini kazi yao ni moja tu wote
Watu wanaweza kufanya kazi ile ile kwa matokeo tofauti na hii ndio maana ya kua CO sio daktari[emoji16][emoji16][emoji38]
 
MD,MBSS ni kitu kimoja kulingana na nchi na chuo............all are medical doctor........kuna haja ya kusoma sana kabla ya kuonesha ukilaza hapa jukwaani[emoji38][emoji38][emoji16]
Hiyo taaluma ya MBBS isingekuwepo hapa nchini kama ingekua n kitu kimoja
 
Na mshahara ni mmoja etii???[emoji23]
Wengi wanaochangia kusupport huu ujinga either ni wajinga ama watoto sana.........serikalini hata mshahara wa CO uzidishe mara mbili bado,atakua anadaiwa zaidi ya laki 3 na MD[emoji16][emoji16][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205].......na hii ni kwasababu CO sio daktari
 
Bro,unajua ulichokiandika ama ilimradi tu?! Unaweza nipa tofauti ya MD na MBBS?!
Wajinga wengi humu wanaobisha hawajui wakifanyacho.........[emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji205][emoji205]
 
Mkuu, nina uhakika kwa asilimia 90, watakao elewa hiyo ni wachache.
Wengi ni vilaza hawaelewi kitu[emoji38][emoji16][emoji16][emoji16]
Tuwasaidie hapa,MD ni degree pekee ambayo baada ya mtu kumaliza degree ya kwanza hupewa heshima ya kua doctor bila kusoma master wala phD..........wao wanajua udaktari ni kazi ya kutibu[emoji38][emoji205][emoji205]
 
Wengi wanaochangia kusupport huu ujinga either ni wajinga ama watoto sana.........serikalini hata mshahara wa CO uzidishe mara mbili bado,atakua anadaiwa zaidi ya laki 3 na MD[emoji16][emoji16][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205].......na hii ni kwasababu CO sio daktari
Sasa hizi ni pumba
Labda wazidiane kutokana na miaka ya kazi au cheo lakini sio hyo
Yani uzidishe mshahara wa Co mara mbili na bado azidiwe laki 3 ... mhhh ???
 
Vita ya MD na CO haitokuja kuisha mpaka kiama....yaaaani MD munawachukia saaana CO


Na ndio maana vyuo vya serikali huko munawatesa sana chuki zenu zinafanya munawapa marks za chuki chuki hususan clinicals.....not fair
MD hawezi kumchukia CO .....ila CO kujifananisha na MD ndio anaanzisha chuki[emoji38][emoji38][emoji16][emoji16]
 
MD akitaka kumtibu mtu wa malaria na CO akitaka kumtibu mtu wa malaria kutokea kumchukua history mpaka kumfanyia diagnosis na kumuandikia dawa kuna tofauti yeyote ?
Watu hawewezi kua na elimu sawa sababu wanafanya kazi sawa elewa hili[emoji16][emoji38][emoji38]............
MD ni doctorate degree anayopewa mtu baada ya kumaliza kozi ya doctor of medicine........MD anaweza kufanya kazi ya utabibu na hakuna kazi ya udaktari duniani
 
Shida ni digrii miaka mi5 ndio kinawatesa watu..na kujiona superior..wakati kazi ni zile zile..utadhani co kazi yake ni kuua watu.

#MaendeleoHayanaChama
[emoji23][emoji23] we jamaa nimecheka sana, eti kazi yake kuua watu.
 
MD na CO wanatibu malaria tofauti au ni ile ile?
MD hawi MD sababu anatibu malaria ni sababu amequalify kuitwa MD[emoji16][emoji38][emoji38][emoji205][emoji205]
 
Back
Top Bottom