Matokeo ya hii shule ni ya ajabu zaidi kuwahi kuyaona ni private school

Matokeo ya hii shule ni ya ajabu zaidi kuwahi kuyaona ni private school

Mwekezaji ukifikia hatua hii, unatakiwa kukubali tu kunyoosha mikono yako juu. 🙌 Maana yake umeshindwa kuendesha hiyo ptoject; na hivyo unatakiwa kuwaachia wenye uwezo.
 
Ili darasa liitwe darasa linatakiwa liwe na wanafunzi wangapi?

Ninashangaa shule hii Ina wanafunzi 2 na wamefanya mitihani wa Taifa.
 
Mwekezaji ukifikia hatua hii, unatakiwa kukubali tu kunyoosha mikono yako juu. 🙌 Maana yake umeshindwa kuendesha hiyo ptoject; na hivyo unatakiwa kuwaachia wenye uwezo.
Miaka ya 90 mwishoni na mwanzoni mwa 2000 hiyo shule ilikuwa na wanafunzi wengi sana ingawa wengi wao ni rejects wa shule za maana. Michael Kadeghe alipiga pesa sana enzi zile, pia tulipata sana mademu hapo
 
Book you must read
Huwa anaanza na "The "
The book you must read.
Ole wako usinunue. Kwanza ana register ya wale walionunua na hawa walionunua hasa wale engineering huwa hawafeli. Sasa wewe jifanye mbishi, hununui then upate kimeo chake. Alikuwa anawafanyai sana wa Coet hizi mambo.
 
Ilikuwa inapiga matangazo hadi ITV kwa sauti ya kazi ya mzee Masako.
 
Hao watakuwa QT...wanafunzi wawili tena wa kike?
 
aisee nimetizama matokeo yao

watoto wamefaulu somo la kiswahili tuh kwa daraja D (dhahifu) hii ikiwa watoto wote wawili wamesoma masomo saba pekee inasikitisha kwa kweli

hayo madarasa nibora wafuge kuku kuliko kuichezea elimu namna hii..hawa wanapaswa kufunguliwa mashitaka na uchunguzi ufanyike
 
Back
Top Bottom