Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Hamna kufeli mara 2. Uwa tunafeli mara1 tu kisha tunashtuka🤣🤣🤣😂😂😂 zion pale mie ndo mwalimu mkuu wenu wa chuo, ole wako ufeli tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna kufeli mara 2. Uwa tunafeli mara1 tu kisha tunashtuka🤣🤣🤣😂😂😂 zion pale mie ndo mwalimu mkuu wenu wa chuo, ole wako ufeli tena
Akili zako zina akili? Huoni hapo hiyo ni shule sio centre ya mtihani?Hao watakuwa QT...wanafunzi wawili tena wa kike?
Ndo nilicho shangaa mie hapo tyuuhIli darasa liitwe darasa linatakiwa liwe na wanafunzi wangapi?
Ninashangaa shule hii Ina wanafunzi 2 na wamefanya mitihani wa Taifa.
HapanaSio Transgender?
Haina kabisa ndio maana sielew wamekuaje wanafunz wawil wazazAkili zako zina akili? Huoni hapo hiyo ni shule sio centre ya mtihani?
Hii shule si kituo cha kufanyia mitihani kwa private candidates. Vituo vyote vya kufanyia mitihani kwa watahiniwa binafsi huanza na herufi P (private candidates). Hivi vya sekondari vinaanza na herufi S. Ila shule inaweza kuwa na kituo cha watahiniwa binafsi na pia wale wanafunzi wa kawaida. Kinachowatofautisha ni Ile herufi ya kwanza P au S ikifuatiwa na namba ya kituo husika.Walikuwa wanatest mitambo 😅😅😅ila **** center kweli kuna watu hawan kismart cha kusoma wanafeli sana hizo center
Wametisha kinoma😅😅Hii shule si kituo cha kufanyia mitihani kwa private candidates. Vituo vyote vya kufanyia mitihani kwa watahiniwa binafsi huanza na herufi P (private candidates). Hivi vya sekondari vinaanza na herufi S. Ila shule inaweza kuwa na kituo cha watahiniwa binafsi na pia wale wanafunzi wa kawaida. Kinachowatofautisha ni Ile herufi ya kwanza P au S ikifuatiwa na namba ya kituo husika.
| sex | I | II | III | IV | 0 |division 0. Unaonekana kilaza sana wewe!