Matokeo ya kidato cha nne 2012: Turudie kutazama ugumu wa Elimu. Re-visiting the old grave

Matokeo ya kidato cha nne 2012: Turudie kutazama ugumu wa Elimu. Re-visiting the old grave

Kuna mwanangu nilikuwa nategemea awe TO kwa mwaka huo, nilivyoskia matokeo yametoka kabla hata sijaangalia ya kwangu nikampigia kwanza kumuuliza yeye vipi, alijibu kinyonge sana kwamba amekula 1.9 nilikata tamaa ya kujiangalia mimi.
 
Matokeo ya form two tuliishangaza kanda yetu kwa kuwa wa kwanza kikanda , tulitandaza A nyingi za 90+ na mtu wa mwisho kidarasa alikuwa na wastani wa 65.

Baada ya kufanya mitihani ile ya form four darasa letu la 2012 tukaanza kujiamini kuwa tutalishangaza taifa kuwa tutakuwa na division one nyingi za single digit. Lakini baada ya matokeo kutoka sikuamini macho yangu pamoja na kwamba nilikuwa nimefaulu.
 
Habari wanajukwaa!

Nimeyaangalia matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2012, aisee! Kwa wote waliofaulu mwaka huo nawapa heshima yenu.

Nimeyaangalia matokeo ya mara ya kwanza (Original) na ya mara ya pili (Re-Scored), hivi shida ilikuwa ni nini iliyopelekea matokeo kurudiwa?

Hii screenshoot ya shule moja ya Arusha Secondary.View attachment 3143198
Unacheza na Ndalichako nini
 
Huu mtihani..ullipelekwa bungen na walimu wenyewe wali feli 2012mtihan mgumu ..walio faulu maisha wanetusua
 
Habari wanajukwaa!

Nimeyaangalia matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2012, aisee! Kwa wote waliofaulu mwaka huo nawapa heshima yenu.

Nimeyaangalia matokeo ya mara ya kwanza (Original) na ya mara ya pili (Re-Scored), hivi shida ilikuwa ni nini iliyopelekea matokeo kurudiwa?

Hii screenshoot ya shule moja ya Arusha Secondary.View attachment 3143198
Haya ni matokeo ya kaskazini tunakoambiwa kuwa wanaithaminì mno elimu😆😆😆😆😆
 
Vijana wengi waliozaliwa 2000+ wamekua na utandawazi na wazazi wao wengi ni wahanga wa kukosa elimu, wazazi wamekuwa makini kuhakikisha watoto wao hawafanyiwi makosa ya kuikosa elimu kama walivyofanyiwa wao.

Mtihani ni mtihani tu Hakuna mtihani rahisi.
Kizazi cha 2000+ wazazi wao wanajitahidi katika maswala ya kuwapa elimu watoto wao.
Lakin pia kukua kwa technology imesaidia sana kwenye kuiongezea elim nafasi ya kueleweka kwa wanafunzi na mambo kuwa marahisi kiasi.
 
Matokeo ya form two tuliishangaza kanda yetu kwa kuwa wa kwanza kikanda , tulitandaza A nyingi za 90+ na mtu wa mwisho kidarasa alikuwa na wastani wa 65.

Baada ya kufanya mitihani ile ya form four darasa letu la 2012 tukaanza kujiamini kuwa tutalishangaza taifa kuwa tutakuwa na division one nyingi za single digit. Lakini baada ya matokeo kutoka sikuamini macho yangu pamoja na kwamba nilikuwa nimefaulu.
mlijiamini sana, yaani matokeo ya kidato cha pili mlifikiri yanaweza kuakisi matokeo ya kidato cha Nne?
 
Haya ni matokeo ya kaskazini tunakoambiwa kuwa wanaithaminì mno elimu😆😆😆😆😆
Hali ilikuwa mbaya sana, kwa shule hii ya Arusha Sekondari wanafunzi walikuwa zaidi ya 400! Fikiri walimu wanafundishaje darasa kama hili?
 
Umeona ya 2009? Call it ya kawaida? 2006 call it ya kawaida
Paper ya 2008 ya Physics nimeipitia ni ya kawaida, sijapata wasaa wa kupitia mtihani wa Physics wa mwaka 2009.
 
Nilipiga pepa tisa izo
Alie faulu sana alikua na tatu
Shule ni yakata
Hivyo basi
Waliopata divisions 1 hadi 3 walikua watano tuuh
Four zilikua arobaini naa izo zero sasa miambili plus...
Inshallah maisha yaliendelea.
 
SAHIHI 2009_ backwards kweli ulikua mchujo mkali SANAA.
Dr am 4 real PhD Detective J miaka ya 2009 Rudi nyuma mtu ukipata div 1 ya point 7 form 4, Yani wewe kweli ni kidume, na ukiwa na div 1 ya 7 kuna uwezekano upo top 10 ya kitaifa..

Nakumbuka 2009, mwanangu mmoja wa majengo secondary ya moshi anaitwa wolfgang seiya, form 4 alikuwa mtu wa 3 kitaifa..alienda soma international school of moshi kwa scholarship, baada ya hapo akapata scholarship ya kwenda duke university USA, sijui sahivi Yuko wapi
 
Kama watu wanafeli Hesabu, Physics, Chemistry na Biology tegemea uozo mkubwa kwenye nyakati zijazo na zilizopo.

Mhimili wa dunia kwasasa NI science, kama huna wanascience aka technologists basi utaishia kuwa na umati wa machawa mitaani.

Kutokuwa na wanascience wengi katika Taifa ni dalili za umbumbu katika Taifa.
 
2012 na 2011 ndio ilio badirisha mtazamo wa elimu ya form 4 hadi serikali ikabdi upunguze ukali wa mitihan
Hakuna mitihani pale walikuwa vilaza tu. Mtihani ninaouheshimu mimi ni form six 2007 tu! Wewe tafuta ile mitihani halafu angalia maswali especially ya science ni copy and paste kwenye vitabu.
 
Hali ilikuwa mbaya sana, kwa shule hii ya Arusha Sekondari wanafunzi walikuwa zaidi ya 400! Fikiri walimu wanafundishaje darasa kama hili?
Ila tuliaminishwa humu kuwa kaskazini wapo vizuri sana kwenye elimu sasa hayo yakutokuwepo japo division ll kwakweli inasikitisha mno😆😆😆😆
 
Habari wanajukwaa!

Nimeyaangalia matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2012, aisee! Kwa wote waliofaulu mwaka huo nawapa heshima yenu.

Nimeyaangalia matokeo ya mara ya kwanza (Original) na ya mara ya pili (Re-Scored), hivi shida ilikuwa ni nini iliyopelekea matokeo kurudiwa?

Hii screenshoot ya shule moja ya Arusha Secondary.View attachment 3143198
Mabroo ndo mlirudiaga paper? Naona sekii hapo 😂😂 mliburuza kweli kweli sasa vipi ka lemara, sinoni, kaloleni?

Naskia mlipewa option lakini ya kurudia paper? Au ni tetesi tu?
 
Back
Top Bottom