Matokeo ya kidato cha nne 2012: Turudie kutazama ugumu wa Elimu. Re-visiting the old grave

Matokeo ya kidato cha nne 2012: Turudie kutazama ugumu wa Elimu. Re-visiting the old grave

Japo haikunipitia ila Mathematics haikuwa na maajabu.
Nimeona matching items pale...
Ule mzigo wote wa motion in straight line..

Ukija swali la ngapi pale sijui ni hydrometer reading ile aaaah
 
Oa weee mbona kama kuna mizigo ya mechanics humu mkuu.. na fluid dynamics 😂😂😂😂😂😂
Japo inaonekana Physics ilikuwa ngumu ila nisingepunwa aisee, Tism, Projectile, Heat, Current Electricity, Measurement imenyooka kabisa. 😂😂😂
 
Nimeona matching items pale...
Ule mzigo wote wa motion in straight line..

Ukija swali la ngapi pale sijui ni hydrometer reading ile aaaah
Kuna mwalimu aliwahi kutufundisha, age yake ilikuwa imeenda. Akifanya swali mara ya kwanza na yapili, ukidai hujaelewa anaishia kusema "Uwenda haukuzaliwa kwa ajili ya Physics, anyway kaza. Necta watakagua mavuno" baada ya hapo anatua chaki na ndo imeisha hiyo, hakuna maelezo zaidi ya hayo. Huyu mwalimu alikuwa nondo mno alisoma PM tu kwa ngazi ya Advance!
 
Nakumbuka siku moja kabla ya paper nilienda zangu town kula ulabu na nyama choma.. Ile paper sikuifanya...
 
Hakunaga mtihani Mgumu bhana nivile watu hawasomi tu Ila respect kwa watu waliofanya Pepa kuanzia 2010 kurudi nyuma ... sisi wa 2013 unamaliza papaer unajua kabisa hapa nimepita
 
Hakunaga mtihani Mgumu bhana nivile watu hawasomi tu Ila respect kwa watu waliofanya Pepa kuanzia 2010 kurudi nyuma ... sisi wa 2013 unamaliza papaer unajua kabisa hapa nimepita
Kuna baadhi ya pepa za miaka ya nyuma zilikuwa zinaeleweka.
 
Upatikanaji wa materials pia ulikuwa mgumu kwa kipindi hicho cha miaka ya 2009 kurudi nyuma.
Ilikuwa ukiwa na past papers au vitini(pamphlates) basi wewe ndio superstar maana kila mwanafunzi atakuja kuazima.
Asilimia kubwa kwa wale tuliosomea shule za kata tulikuwa tunamtegemea mwalimu kwa asilimia kubwa.
Kwa sasa mwanafunzi ana namna mbalimbali za kupata materials ya kusoma na pia walimu ni wengi. Ni rahisi sana mwanafunzi kufanya vizuri miaka hii kuliko miaka ya nyuma.
 
Kuna baadhi ya pepa za miaka ya nyuma zilikuwa zinaeleweka.
Pamoja na hivyo waliosoma zamani walikuwa na mazingira magumu . Smartphone revolution huenda zimerahisisha watu kufaulu miongoni mwa mwambo mengine. Kwasasa hata shule za kata mnafaulu busy ya Darasa. Sisi tulikuwa 35, tukifaulu 15😅 shule ya kata
 
Mambo yamekuwa marahisi and so predictable. Walio maliza 2009- kurudi nyuma pepa zilikuwa tight sana, alie pita kweli alikuwa jembe
nashangaa mtu anakuja kusema pepa la 2012.mwaka naanza ajira yangu.sisi tulipga pepa 2006 ukliza sasa.kwanza tulikua tunasoma na madogo wa mchikichin.tuko f 2 tumeshajua kuderive keplers law .mchiki down pind sh 100 naul ya bas hamsin. watto wa leo naskia et mtu ana one
 
Japo inaonekana Physics ilikuwa ngumu ila nisingepunwa aisee, Tism, Projectile, Heat, Current Electricity, Measurement imenyooka kabisa. 😂😂😂
Tism nili opt aiseee an formula zote zile..
Alafu projectile usiichukulie poa...
Ushawahi ona projectile ya mgote wewe
 
Back
Top Bottom