Matokeo ya kidato cha nne 2012: Turudie kutazama ugumu wa Elimu. Re-visiting the old grave

Matokeo ya kidato cha nne 2012: Turudie kutazama ugumu wa Elimu. Re-visiting the old grave

Alafu mgote ile projectile yake kama hujui trig vizuri uwezi toboa..

Ndo mana wana wa kusoma biology walikua wanahenyeka sana na yale maswala ya prove (#:$&-$-$-37#) is Time of flight....

Alafu unakutana na parabolic equation ya mgote zipo zaidi ya saba πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nilishukuru Mungu kuiotea option ya Additional kipindi nilipokuwa O- level, la sivyo Advanced Mathematics, Physics na Upande wa Chemistry kwenye baadhi ga Derivation ningedhalilika.

Mnaanza ku-derive mapema sana mwalimu anakuambia hii (1 +x)^-2 tunaweza kui-expand vizuri tu!

Japo Additional ilikuwa ikitunyoosha lakini ilinisaidia sana advance
 
Hakuna mtihani mgumu nyie mlikosa rasilimali wakati wenu.

Sema ndo hivyo mnapenda kujilinganisha na wa sasa ili mjisikie vizuri kuhusu hali zenu.

Halikuwa kosa lenu, uwezeshaji wa elimu nchini kwenu ulikuwa mbovu, hata mpaka sasa kwenye shule za serikali.
Ndo maana nakupendaga kwa kumwaga nondo.

Mbona mimi nilipata DIVISHENI FOO lakini nimetulia tu sina kiherehere.
 
Daah mlikuwa vilaza aisee.
Nipo standard 7 failure mmoja hapa anajibu comment kwa kuwaita wenzie vilaza wakati yeye hata form 1 anaisikia kwenye bomba la kutolea mvuke wa chooni
 
Hakuna mtihani mgumu nyie mlikosa rasilimali wakati wenu.

Sema ndo hivyo mnapenda kujilinganisha na wa sasa ili mjisikie vizuri kuhusu hali zenu.

Halikuwa kosa lenu, uwezeshaji wa elimu nchini kwenu ulikuwa mbovu, hata mpaka sasa kwenye shule za serikali.
Vipi certificate ya Home cooking and husband care inaendeleaje hapo CUcoM?
 
Sisi wa Paper la 1994 tuseme nini? Paper lilivuja wakatubadilishia rangi za karatasi ya mtihani zikawa coloured. Tukachanganyikiwa.
 
Nilishukuru Mungu kuiotea option ya Additional kipindi nilipokuwa O- level, la sivyo Advanced Mathematics, Physics na Upande wa Chemistry kwenye baadhi ga Derivation ningedhalilika.

Mnaanza ku-derive mapema sana mwalimu anakuambia hii (1 +x)^-2 tunaweza kui-expand vizuri tu!

Japo Additional ilikuwa ikitunyoosha lakini ilinisaidia sana advance
Oaa kuna hii moja unaikuta kwenye heat na gravitation...

Kuna mzigo unashuka alafu unafika sehemu inabidi u expand by nini sijuiii kmmke oaa weee mi nilikua selewi an

Nilikua nasema siku wakitoa swali la derivation watajua wenyewe .
Na derivation za hovyo zipo kwa ile topic ya rigid body..

Chem... Na bios mi ilikua kama mishangazi tuu nilikua naipiga mpaka naipanda kabisa... Hili atakuja kusema zaidi DIVISHENI FOO

Ila physics kila siku ilikua inataka kunizalilizsha bila ya kukaza aaaah πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nipo standard 7 failure mmoja hapa anajibu comment kwa kuwaita wenzie vilaza wakati yeye hata form 1 anaisikia kwenye bomba la kutolea mvuke wa chooni
Nakumbuka miaka yetu ni vitabu tu , past papers ni kwa manati sana ila mtu bado unapasua tu.

O level nilikuwa Academic Prefect mshkaji wangu alikua HP.

HP alikuwa na ofisi jirani na walimu.

Tulikua tunaitumia kusomea muda wowote.

Kitabu kinapigwa sio poa yaani.

Hakuna Google wala nini. Ni kumeza tu vitabu. Kama kusoma tulisoma mno.
 
Oaa kuna hii moja unaikuta kwenye heat na gravitation...

Kuna mzigo unashuka alafu unafika sehemu inabidi u expand by nini sijuiii kmmke oaa weee mi nilikua selewi an

Nilikua nasema siku wakitoa swali la derivation watajua wenyewe .
Na derivation za hovyo zipo kwa ile topic ya rigid body..

Chem... Na bios mi ilikua kama mishangazi tuu nilikua naipiga mpaka naipanda kabisa... Hili atakuja kusema zaidi DIVISHENI FOO

Ila physics kila siku ilikua inataka kunizalilizsha bila ya kukaza aaaah πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kuna kijana alinifuata nimuelekeze Topic ya Differentiation, tupo mwanzoni kabisa katika kufanya maswali ya First principle ikafika sehemu ya kutafuta f'(x) ya equation hii f(x)=sin x, tumeenda nikamuambia bwana hee, tukifika hapa tutatumia concept ya small angle...alibaki ananotazama tu..maskini kijana hata Trig hakuwa amesoma, ndio kwanza alikuwa ana miezi 3 tangu ajiunge na Advance.

Elimu ya Advance kwenye hizi PCM, PGM, na PCB mambo yapo inter-woven, unatumia concept ya Math ya mbele huko na hapo ndo unaanza kusoma Physics au Chemistry mapema sana.
 
Kuna kijana alinifuata nimuelekeze Topic ya Differentiation, tupo mwanzoni kabisa katika kufanya maswali ya First principle ikafika sehemu ya kutafuta f'(x) ya equation hii f(x)=sin x, tumeenda nikamuambia bwana hee, tukifika hapa tutatumia concept ya small angle...alibaki ananotazama tu..maskini kijana hata Trig hakuwa amesoma, ndio kwanza alikuwa ana miezi 3 tangu ajiunge na Advance.

Elimu ya Advance kwenye hizi PCM, PGM, na PCB mambo yapo inter-woven, unatumia concept ya Math ya mbele huko na hapo ndo unaanza kusoma Physics au Chemistry mapema sana.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mimi kusema kweli nilisoma phys for funny tuuu...
Nilikua nikishika dancan angu safi nachek mapicha picha..

Ukija maswali mi yangu ya conceptual tuu napita hv..

Hizo trig na differ wala skusumbuka nazo mi nilikua na vipengere vyangu...

Ile life acha tuu aiseeee πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Bard la njombe lile unaweza sema unaonewa hvi dadek
 
Mabroo ndo mlirudiaga paper? Naona sekii hapo πŸ˜‚πŸ˜‚ mliburuza kweli kweli sasa vipi ka lemara, sinoni, kaloleni?

Naskia mlipewa option lakini ya kurudia paper? Au ni tetesi tu?
No hatukurudia ni matokeo ndo yalikuja version two.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mimi kusema kweli nilisoma phys for funny tuuu...
Nilikua nikishika dancan angu safi nachek mapicha picha..

Ukija maswali mi yangu ya conceptual tuu napita hv..

Hizo trig na differ wala skusumbuka nazo mi nilikua na vipengere vyangu...

Ile life acha tuu aiseeee πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Bard la njombe lile unaweza sema unaonewa hvi dadek
Hapo unakutana na mdau wako ambaye anakuambia "Hii Roger Muncaster nimemaliza, nikimaliza T.Duncan mwezi wa tatu naamia kwenye Nelkon", unajicheki unakuja kugundua wewe ni ng'o
 
Back
Top Bottom