Matokeo ya kidato cha nne 2012: Turudie kutazama ugumu wa Elimu. Re-visiting the old grave

Matokeo ya kidato cha nne 2012: Turudie kutazama ugumu wa Elimu. Re-visiting the old grave

Habari wanajukwaa!

Nimeyaangalia matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2012, aisee! Kwa wote waliofaulu mwaka huo nawapa heshima yenu.

Nimeyaangalia matokeo ya mara ya kwanza (Original) na ya mara ya pili (Re-Scored), hivi shida ilikuwa ni nini iliyopelekea matokeo kurudiwa?

Hii screenshoot ya shule moja ya Arusha Secondary.View attachment 3143198
😥😥Mimi ni miongoni mwa waliofanya mtihani mwaka huo shule moja ya kata jijini arusha,, aise sitaki hata kukumbuka,, shuleni kwetu walio fanikiwa kuendelea mbele ni wanafunzi wanne tuu kati ya wanafunzi 541 tulio fanya mtihani shuleni hapo
 
😂😂😂😂 Mimi kusema kweli nilisoma phys for funny tuuu...
Nilikua nikishika dancan angu safi nachek mapicha picha..

Ukija maswali mi yangu ya conceptual tuu napita hv..

Hizo trig na differ wala skusumbuka nazo mi nilikua na vipengere vyangu...

Ile life acha tuu aiseeee 😂 😂 😂 😂
Bard la njombe lile unaweza sema unaonewa hvi dadek
Watu wana guts za ajabu, jamaa mwaka mzima analia na Tranter tu 😂😂😂😂
 
Hapo unakutana na mdau wako ambaye anakuambia "Hii Roger Muncaster nimemaliza, nikimaliza T.Duncan mwezi wa tatu naamia kwenye Nelkon", unajicheki unakuja kugundua wewe ni ng'o
Ahahaha Roger jau sana..
Kule unakutana na concept hata chand hawana...

Nelkon nayo ya kibabe kiasi
Ila duncan mapicha picha alafu kuna vi topic mule nilikua nafatilia sana kama astronomy
 
Ahahaha Roger jau sana..
Kule unakutana na concept hata chand hawana...

Nelkon nayo ya kibabe kiasi
Ila duncan mapicha picha alafu kuna vi topic mule nilikua nafatilia sana kama astronomy
Kuna muda unahisi umerogwa na watu wa kijijini kwenu kwani kila unapomeza madude yanaamua kuchanua wakati wa mtihani unagandisha mkono hewani dakika kadhaa haujui uandike nini.
 
Kuna muda unahisi umerogwa na watu wa kijijini kwenu kwani kila unapomeza madude yanaamua kuchanua wakati wa mtihani unagandisha mkono hewani dakika kadhaa haujui uandike nini.
Hapo unakuta ni double ..
Yaan asubhi umepiga phsy 1 alafu jioni ni chem 2 manina 😂😂😂
 
Oaa kuna hii moja unaikuta kwenye heat na gravitation...

Kuna mzigo unashuka alafu unafika sehemu inabidi u expand by nini sijuiii kmmke oaa weee mi nilikua selewi an

Nilikua nasema siku wakitoa swali la derivation watajua wenyewe .
Na derivation za hovyo zipo kwa ile topic ya rigid body..

Chem... Na bios mi ilikua kama mishangazi tuu nilikua naipiga mpaka naipanda kabisa... Hili atakuja kusema zaidi DIVISHENI FOO

Ila physics kila siku ilikua inataka kunizalilizsha bila ya kukaza aaaah 😂😂😂😂
Acha kudeka.
 
Kwa upande wa Hisabati mambo hayakuwa magumu sana, sijapitia mitihani mingine.
pitia Physics advance 2013 aliyeongoza alipata C,
sikuwahi kuona mtihani mgumu kama ule umejaa matangopoli nasoma maswali ghafla nikapata tumbo la kuhara,

Toka nianze shule sukuwahi kwenda haja kubwa huku mtihani unaendelea ule ndo ilikuwa mara yangu ya kwanza,
 
Back
Top Bottom