Matokeo ya kidato cha nne 2012: Turudie kutazama ugumu wa Elimu. Re-visiting the old grave

Matokeo ya kidato cha nne 2012: Turudie kutazama ugumu wa Elimu. Re-visiting the old grave

Watu mnajua kujitetea tuu ..et ooh mara material mara nini...

Show ilikua kali madude yalikua yanawakanda mabloo...
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Angalia swali la 6c blood ..
Nimeliona, hapa ningedumbukia na option moja tu kwamba oil drop ilikuwa spherical in shape.
Baada ya hapo natumia kanuni ya volume ya sphere, vingine ningepunwa mapema.πŸ‘Ώ
 
Nimeliona, hapa ningedumbukia na option moja tu kwamba oil drop ilikuwa spherical in shape.
Baada ya hapo natumia kanuni ya volume ya sphere, vingine ningepunwa mapema.πŸ‘Ώ
Na volume ya sphere wamekupa kule juu kama costaΓ±t sio..?

Hili swali kama la surface tension ujue
 
Tism nili opt aiseee an formula zote zile..
Alafu projectile usiichukulie poa...
Ushawahi ona projectile ya mgote wewe
Mara ya kwanza kukutana na pamphlet ya Mgote nilielewa kitu kimoja, sikuwa nimesoma chochote kuhusu projectile. Ukitoa definition na kanuni kuu tatu za Hmax, Tf, H.R, hapo nilianza kula pindi upya.
 
Hakuna mtihani mgumu nyie mlikosa rasilimali wakati wenu.

Sema ndo hivyo mnapenda kujilinganisha na wa sasa ili mjisikie vizuri kuhusu hali zenu.

Halikuwa kosa lenu, uwezeshaji wa elimu nchini kwenu ulikuwa mbovu, hata mpaka sasa kwenye shule za serikali.
 
Watoto walikua hawasomi Wana syllabus nyingi.

Mitihani ya mwisho konki ulikua 2009 backwards..

Mimi nimesoma mwenyewe kwa kutumia syllabus ukiweza ku cover syllabus yote ikawa KICHWANI huwezi ku fail kidato Cha nne.

O-level hakunaga mitiani migumu period!

SEMA wanafunzi hawasomi na wanamambo mengi mitiani maswali yote yapo ndani ya SYLLABUS.

ACHA KUTETEA UZEMBE NA UJINGA KWA HAO WANAFUNZI UCHWARA.
Form one hadi four ni elimu rahis sana
Sanaaa kuwai kutokea
Sema wanafunzi wanamambo meingi mnooo
Mimi nilifaulu masomo ya o level kwenye mazingira magumu sana
Nilikua naweza kutumia silabasi nikaoanisha na vitabu na nikasoma
Nimesoma masaini huko ndani ndani
Ila baada ya kukutana na elimu ya advance na chuo nakiri tena
Elimu ya o level ni rahis sana
ningepata walimu wanaojituma kama sasa
Kama nisingekua TO basi one of the top stiudent in Tanzania
Yaani ni simple tu SOMA
Sikuhizi wanafunzi wana silabasi kama 6 kichwani
1.masomo
2.mikeka/kubeti
3.tamthilia za huba
4.yanga na simba
5.ps magemu
6.kokoro la mchina
7,ugoro
8.picha za pillau
9.nitapata wapi simu kwa watoto wa kike
10.bodaboda kwa watoto wa kike
11.shisha ya umeme wanaingia nayo hadi mabwenini

Aiseee TULIO WAZAZI TUANGALIE SANA
 
Kwasasa watu wanapata Division
Hakuna mtihani mgumu nyie mlikosa rasilimali wakati wenu.

Sema ndo hivyo mnapenda kujilinganisha na wa sasa ili mjisikie vizuri kuhusu hali zenu.

Halikuwa kosa lenu, uwezeshaji wa elimu nchini kwenu ulikuwa mbovu, hata mpaka sasa kwenye shule za serikali.
I za kutosha, hakuna "shida" tena.
 
Kuna mwanangu nilikuwa nategemea awe TO kwa mwaka huo, nilivyoskia matokeo yametoka kabla hata sijaangalia ya kwangu nikampigia kwanza kumuuliza yeye vipi, alijibu kinyonge sana kwamba amekula 1.9 nilikata tamaa ya kujiangalia mimi.
Chai
 
hivi shida ilikuwa ni nini iliyopelekea matokeo kurudiwa?
Kuanzia 2010, 2011 mpaka 2012 walimu walikua na Visasi vyao na Serikali na Wanafunzi sasa kulipa machungu ni kuhakikisha idadi kubwa ya Wanafunzi wanafeli ili Serikali ilipe stahiki za Walimu, kwa hio waliomaliza kuanzia 2010-2012 waliipata sio form 4 sio form 6 na pia kulikua na reform walimu wale waliokua wakisahisha zamani mitihani wote waliondolewa kuanzia 2010 wakaingizwa wapya ambao hawakuwahi kusahisha NECTA kwa hio kilichofuata maumivu tu
 
Watu mnajua kujitetea tuu ..et ooh mara material mara nini...

Show ilikua kali madude yalikua yanawakanda mabloo...
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Unasoma lakini sehemu pekee ya kupata vitabu ni maktaba ya mkoa. Mwalimu yupo ila anapiga pindi zito moja mnakutana mwezi wa saba baada ya kuwaacha tangu January.
 
Mara ya kwanza kukutana na pamphlet ya Mgote nilielewa kitu kimoja, sikuwa nimesoma chochote kuhusu projectile. Ukitoa definition na kanuni kuu tatu za Hmax, Tf, H.R, hapo nilianza kula pindi upya.
Alafu mgote ile projectile yake kama hujui trig vizuri uwezi toboa..

Ndo mana wana wa kusoma biology walikua wanahenyeka sana na yale maswala ya prove (#:$&-$-$-37#) is Time of flight....

Alafu unakutana na parabolic equation ya mgote zipo zaidi ya saba πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Unasoma lakini sehemu pekee ya kupata vitabu ni maktaba ya mkoa. Mwalimu yupo ila anapiga pindi zito moja mnakutana mwezi wa saba baada ya kuwaacha tangu January.
Sijawahi kwenda library kusoma..
Zaidi zaidi tukiwa zamu ya kufanya usafi kule..

Ila kuna wahuni unawakuta kule wana solve vitabu flan vya phs an vina maswali magumuuuu..

Alafu vipimo vyake sasa hovyo kabisa unakuta mzigo haupo kwa system ya Si unit ile ya sasa
 
Kuna ya form six 2013 nayo yalikuwa ya kipekee sana
Kuanzia 2010 ndio balaa lilipoanzia hapo 2013 kidogo machungu walikua wamepunguziwa kwa hio matokeo hayakua mabaya kivile ila 2010-2012 angalia matokeo ya form 6 utadata
 
Back
Top Bottom