Matokeo ya kidato cha nne 2012: Turudie kutazama ugumu wa Elimu. Re-visiting the old grave

Matokeo ya kidato cha nne 2012: Turudie kutazama ugumu wa Elimu. Re-visiting the old grave

Habari wanajukwaa!

Nimeyaangalia matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2012, aisee! Kwa wote waliofaulu mwaka huo nawapa heshima yenu.

Nimeyaangalia matokeo ya mara ya kwanza (Original) na ya mara ya pili (Re-Scored), hivi shida ilikuwa ni nini iliyopelekea matokeo kurudiwa?

Hii screenshoot ya shule moja ya Arusha Secondary.View attachment 3143198
Kwa nini umechagua sample ya Arusha secondary wakati shule zilikuwa nyingi
 
Habari wanajukwaa!

Nimeyaangalia matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2012, aisee! Kwa wote waliofaulu mwaka huo nawapa heshima yenu.

Nimeyaangalia matokeo ya mara ya kwanza (Original) na ya mara ya pili (Re-Scored), hivi shida ilikuwa ni nini iliyopelekea matokeo kurudiwa?

Hii screenshoot ya shule moja ya Arusha Secondary.View attachment 3143198
Na bado Kuna watu walipata Div 1 ya saba
 
Zile habari za kuwa mtihani ulikuwa ikitungwa na wanafunzi wa chuo cha udsm au baraza kwa kubadilisha mwaka na mwaka ni za kweli? Maana tulikuwa tunasema kama mwaka jana walifunga udsm basi si mwaka huu ni Baraza ,huku ya baraza ikiwa rahisi
 
Aisee! Wahusika wa huu mtihani wa mwaka 2012 wanalaani kila kitu, NECTA, watunzi, wasahishaji, wasimamizi, waliowapuna credits zao na kila mtu anayepita kati yao anapewa za uso. Shukuru Mungu haukuufanya huu mtihani
Dah pole yao
 
Haya Matokeo yalifichwa.
Ww unayatoa Wapi!?
 
Na balehe nayo inakuwa imechochea kweri kwerii
Watoto walikua hawasomi Wana syllabus nyingi.

Mitihani ya mwisho konki ulikua 2009 backwards..

Mimi nimesoma mwenyewe kwa kutumia syllabus ukiweza ku cover syllabus yote ikawa KICHWANI huwezi ku fail kidato Cha nne.

O-level hakunaga mitiani migumu period!

SEMA wanafunzi hawasomi na wanamambo mengi mitiani maswali yote yapo ndani ya SYLLABUS.

ACHA KUTETEA UZEMBE NA UJINGA KWA HAO WANAFUNZI UCHWARA.
 
Alhamdulillah nilipata ka two ka 18 ...baadae kakawa one ya 14........

By the way nipo Nanyumbu huku najumua korosho ........🙌
Kuna jamaa mkeka ulippgeuzwa na kuletwa mpya alilaani na anaendelea kulaani hadi leo, mkeka ulimtoa kutoka Div II na kumtupia kwenye Div IV ya uswesede.
 
Back
Top Bottom