Matokeo ya Kidato cha Nne, cha pili na darasa la nne mwaka 2019 yatangazwa

Matokeo ya Kidato cha Nne, cha pili na darasa la nne mwaka 2019 yatangazwa

Hongereni wazazi mliofaulisha Watoto wenu. Na pia kwa mliofelisha msikate tamaa Kuna vyuo vya ufundi pia vinaweza saidia kuwapeleka Watoto wenu huko.

Pia naomba kutoa ushauri kwa wazazi ambao mnauwezo wa kipesa na Watoto wenu wamefaulu vizuri(div 1&2) msiwapeleke Watoto wenu advance badala yake muwapeleke Diploma za Maana kufupisha msafara wa elimu usio kuwa na Maana.
Ila Kama hujiwezi kiuchumi muache mtoto aende advance akatafute ticket ya kupata mkopo wa chuo ili afikie malengo yake.
 
Mwaka huu wanafunzi wengi naona wameanguka sana somo la Physics, nini yaweza kuwa tatizo. Hongera kwa wadada waliomaliza st. francis hakika moto wao sio wa nchi hii ingawa wamekuwa wa pili kitaifa ila one za saba wamezipiga kwelikweli.

Bila shaka hata tanzania one atakuwa katoka hapa
 
Top 10 ni zip?
Mwaka huu wanafunzi wengi naona wameanguka sana somo la Physics, nini yaweza kuwa tatizo. Hongera kwa wadada waliomaliza st. francis hakika moto wao sio wa nchi hii ingawa wamekuwa wa pili kitaifa ila one za saba wamezipiga kwelikweli.

Bila shaka hata tanzania one atakuwa katoka hapa
?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matokeo ya Kidato cha Nne, Kidato cha Pili na Darasa la Nne yametangazwa leo Baraza la Mitihani la Taifa (Necta)

Muda si mrefu yatapandishwa kwenye tovuti ya baraza hilo, hivyo tuendelee kuwa na subira.

Nitarejea kuleta updates
View attachment 1316881
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania Dkt Charles Msonde akitangaza matokeo ya Mitihani ya Kidato cha Nne na Upimaji wa Kitaifa wa Darasa la Nne na Kidato cha Pili iliyofanyika 2019. Matokeo hayo yanapatikana kwenye tovuti ya NECTA.


Sent using iPhone

===

Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) nchini Tanzania limetangaza matokeo ya mtihani wa upimaji darasa la nne, kidato cha pili na kidato cha nne.

Katika matokeo hayo yaliyotangazwa leo Alhamisi Januari 9, 2020 na Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Charles Msonde amesema ufaulu katika mtihani wa upimaji wa darasa la nne umeongezeka kwa asilimia 26.21.

>>Matokeo Darasa la nne haya hapa
Jumla ya watahiniwa 1,531,120 kati ya wanafunzi 1,665, 863 wamepata alama A,B,C na D ikilinganishwa na wanafunzi 1,213, 132 waliofaulu mwaka 2018.

Katika mtihani wa upimaji kidato cha pili, wanafunzi 514,251 sawa na asilimia 90.04 kati ya wanafunzi 571,137 wamefanya vizuri katika mtihani huo na kuwawezesha kuingia kidato cha tatu.
Matokeo kidato cha pili haya hapa
Mkuu link ya darasa la nne 2019 hamna nisaidie kuipata
 
Shule gani imeongoza kitaifa? majina ya wanafunzi vipanga wa Taifa
 
Sisi QT sugu tunayasubilia kwa hamu,wayaweke faster tujue mwaka huu tunaanza kureseat somo gani tena
 
Wewe ni nani?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
1.png
Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato cha nne na kidato cha pili kwa mwaka 2019.


Bofya hapa kutazama motokeo ya kidato cha nne 2019
 
Back
Top Bottom