Matokeo ya Kidato cha Nne, cha pili na darasa la nne mwaka 2019 yatangazwa

Matokeo ya Kidato cha Nne, cha pili na darasa la nne mwaka 2019 yatangazwa

Hizi data vipi? Form four walikuwa 1.6M lakini kidato cha pili wapo 0.5M. Hizi ni data za nchi yetu kweli?

Napata wasiwasi kuamini kuwa enrolment ilishuka sana kiasi hiki.
 
Wale tunaosubiria LINK kwa ajili ya La nne tuko wangapi,,, kuna mwamba leo ndiyo atatapika hela zote za tuition, visheti, asikirimu alizokuwa anapokea akienda skuli.LETENI LINK aliyefanikiwa kuipata kitu Darasa la nne,mbona sirudi home leo pasina kujua yaliyojili.
 
Matokeo ya Kidato cha Nne, Kidato cha Pili na Darasa la Nne yametangazwa leo Baraza la Mitihani la Taifa (Necta)

Muda si mrefu yatapandishwa kwenye tovuti ya baraza hilo, hivyo tuendelee kuwa na subira.

Nitarejea kuleta updates
View attachment 1316881
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania Dkt Charles Msonde akitangaza matokeo ya Mitihani ya Kidato cha Nne na Upimaji wa Kitaifa wa Darasa la Nne na Kidato cha Pili iliyofanyika 2019. Matokeo hayo yanapatikana kwenye tovuti ya NECTA.

Matokeo ya Kidato cha nne

Sent using iPhone

===

Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) nchini Tanzania limetangaza matokeo ya mtihani wa upimaji darasa la nne, kidato cha pili na kidato cha nne.

Katika matokeo hayo yaliyotangazwa leo Alhamisi Januari 9, 2020 na Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Charles Msonde amesema ufaulu katika mtihani wa upimaji wa darasa la nne umeongezeka kwa asilimia 26.21.

>>Matokeo Darasa la nne haya hapa
Jumla ya watahiniwa 1,531,120 kati ya wanafunzi 1,665, 863 wamepata alama A,B,C na D ikilinganishwa na wanafunzi 1,213, 132 waliofaulu mwaka 2018.

Katika mtihani wa upimaji kidato cha pili, wanafunzi 514,251 sawa na asilimia 90.04 kati ya wanafunzi 571,137 wamefanya vizuri katika mtihani huo na kuwawezesha kuingia kidato cha tatu.
Matokeo kidato cha pili haya hapa
MKUU FORTALEZA ASANTE SANA,HII SHULE YA ARUSHA CATHOLIC WAMENIFURAHISHA SANA
 
Wale tunaosubiria LINK kwa ajili ya La nne tuko wangapi,,, kuna mwamba leo ndiyo atatapika hela zote za tuition, visheti, asikirimu alizokuwa anapokea akienda skuli.LETENI LINK aliyefanikiwa kuipata kitu Darasa la nne,mbona sirudi home leo pasina kujua yaliyojili.
La nne hamna kufeli, link imewekwa juu hapo, hautaamini hata kama alikuwa kilaza utakuta kapasua vibaya sana 😝😝
 
Hawa jamaa sio kabisa wamejipanga wakapangika wameweza kuwa bora kwa miaka yote

Wanawatoto 6 /10 ya bora

Mungu ibariki shule hii na mwanagu atoke namba 1 mwaka 2022


Screenshot_20200109-142744.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale tunaosubiria LINK kwa ajili ya La nne tuko wangapi,,, kuna mwamba leo ndiyo atatapika hela zote za tuition, visheti, asikirimu alizokuwa anapokea akienda skuli.LETENI LINK aliyefanikiwa kuipata kitu Darasa la nne,mbona sirudi home leo pasina kujua yaliyojili.
mkuu na mm niko naangaika nayo apa Ukipata unichek na mm
 
Hii shule inaongoza toka ninasoma mpaka leo ninasomesha.
Heko kwao lakini cha ajabu wanafunzi wao tulikutana nao darasani Advance shule zetu za serikali tunawaburuta hatari.
Na wengi hao hawatoboi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanasema ajira hakuna! Ajira hakuna kama ufaulu wako ni wa kuungaunga! Ukiwa na ufaulu wa juu unapata kazi hata kabla ya graduation ceremony
 
Wanafunzi 10 waliofanya vizuri zaidi matokeo ya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2019:

1. Joan Ritte
2. Denis Kinyange
3. Erick Mutasingwa
4. Rosalia Mwidege
5. Domina Wamara
6. Mvano Cabangoh
7. Agatha Mlelwa
8. Sarah Kaduma
9. Shammah Kiunsi
10. Lucy Magashi
 
mkuu naangaika na link ya matokeo ya darasa la nne nimekosa nasubil badae kidogo ila bado mkuu akitinyanga Kaz ntapata kesi Leo
Sawa mkuu kila la kheri ila usimuumize mtoto.
Kama hakufanya vizuri nitafute PM nikupe ushauri flani jinsi ya kumsaidia asome vipi na mengineyo nina uhakika utaona mabadiliko makubwa sana.
 
Hapana mimi si kusoma hapo nilisoma serikali.
Lakini advance serikali pia nikakutana na wanafunzi waliosoma happ O level walikuwa darasani wapo 5, na maua seminary 6.
Ila wote hao hawakutoboa vyuo vya serikali.
Lakini wengine wameajiriwa wengine wamejiajiri.
Umesomea hapo? Ulipata changamoto za kupata ajira baada ya graduation za vyuo au ukufika?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom