Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Hapana sisemei muhas hapo najua hawezi pata maana mi nlsoma miaka hyo na ilkua ni best students tukwa matokeo hayo MD sidhani, maana muhimbili mwaka jana almost waliopata mwisho 1.6 angalau ndo waliweza kupenya UDOM baadhi waliokuwa na 1.7 walipata bahati zao.
Ila sijajua kwa mwaka huu maana kuna kuna chuo kingine UDSM mbeya campus nahisi hadi za 1.8 zinaweza kupata mwanya.
Kwani udom mwaka jana mwisho walchukua ngapikwa matokeo hayo MD sidhani, maana muhimbili mwaka jana almost waliopata mwisho 1.6 angalau ndo waliweza kupenya UDOM baadhi waliokuwa na 1.7 walipata bahati zao.
Ila sijajua kwa mwaka huu maana kuna kuna chuo kingine UDSM mbeya campus nahisi hadi za 1.8 zinaweza kupata mwanya.
Hapo mzee hawez pata MD maana kwasasa vyuo karibia vyote wanatumia vigezo sawa kudahiri na pia ukizingatia na competition. But ajaribu tu hata vyuo vya nje anapata kiurahis kabisa bongo siasa nyingiKuna dogo kapata
Physics B
Chem C
Bios C
Anaweza pata chuo cha udaktari bongo ukitoa muhimbili cha serikali , sijui hata admissions zmekaaje miaka hiki
Msaada tafadhali
Ungewafungulia uzi wao special ndio ingekuwa vizuri ..huku hawawezi onaMkuu yaani huwezi kuamini, kule NACTE ambapo viana wetuwanaomba nafasi za Masomo, kuna namba za simu zaidi ya 11 lakini hakuna anayepoke. Matokeo ya Kidayp cha sita yaliyotoka leo NACTE hawana na ukiingiza namba wanasema
"Error! Provided Index/Registration number and Examination/Graduation Year not found in our database, check them and try again or Contact the your institution and advice them to submit your details to NACTE (Code 4001)"
Tulitarajia wao wawe wa kwanza kuwa nayo ili iwe rahisi sisi kuomba lakini ndugu wapo tu wanakula shushu wala mtu hapokei. Namba zenywewe hizo hapo chini. Pigeni muone. Labda watazipokea wakijiona hapa.
"For any enquiries please call NACTE on +255 22 2780077, +255 22 2780312, +255 719 222 846, +255 787 050 389, +255 768 614 045 or write to admissions@nacte.go.tz
Zonal Contacts: Northern Zone - 0658444556/0658444557, Central Zone - 0658444558/0658444559, Lake Zone - 0658444560/0658444562"
Pigeni mnisaidie.
Nani kaongoza mwaka huu
Huyo anaenda chuo kabisa sababu amekidhi viwango vya TCU ..kuwa na principal pass mbili(Yaani kuwa na D Mbili na kuendelea) hivyo mwambie aanze kuomba mkopo wa chuo kikuu ..maana dirisha limeshafunguliwa la kuomba mkopoHawa madogo nao wamalize kusoma... Dingi niko anti-book tunachanganyana akili tu.
Huyu vipi huyu... Niandae pesa au nimkabidhi mtaji.
General studies - E.
History - S
Kiswahili - D
Language - D
Ni dvsn 3 ya 14.
Kuna dogo kapata
Physics B
Chem C
Bios C
Anaweza pata chuo cha udaktari bongo ukitoa muhimbili cha serikali , sijui hata admissions zmekaaje miaka hiki
Msaada tafadhali
Kwa serikali kwa kozi ya md hapo inakua ngumu kwa hayo matokeo.labda ajaribu kozi zingine kama hizi hapa chiniHapana achana na MUHAS
vyuo vingine vya serikali
NACTE wameshafungua zamani sana fatilia mkuuPia NACTE kwa sasa bado hawajafungua dirisha la maombi. Matokeo ndio yametoka leo itabidi mifumo iwekwe sawa ili isomane ni jambo linachukua muda kidogo the same apply to vyuo chini ya TCU na HESLB
Kama anajiweza economically aende Bugando.Kuna dogo kapata
Physics B
Chem C
Bios C
Anaweza pata chuo cha udaktari bongo ukitoa muhimbili cha serikali , sijui hata admissions zmekaaje miaka hiki
Msaada tafadhali
Competition hapa itamzuia japo ka'qualify.Huyo anaenda chuo kabisa sababu amekidhi viwango vya TCU ..kuwa na principal pass mbili(Yaani kuwa na D Mbili na kuendelea) hivyo mwambie aanze kuomba mkopo wa chuo kikuu ..maana dirisha limeshafunguliwa la kuomba mkopo
Hapana sisemei muhas hapo najua hawezi pata maana mi nlsoma miaka hyo na ilkua ni best students tu
Sema nauliza kwa vyuo vya serikali kwanza kama anaweza kupata !
Pemba Kusini na Pemba Kaskazini masikini wana shule nne nne tu lakini ndiyo wameshika mkia dah [emoji24][emoji24]Ripoti ya 2019 sijaiona
Ila ya 2018 kilimanjaro tulikuwa wa 6 wakati kagera mlikuwa 14
Pia tunaongoza kwa kuwa na shule nyingi both advance na ordinary
WAITU NYEGERA View attachment 1151177
Wanatumia vigezo vipi na kwa nini akose ?? !Hapo mzee hawez pata MD maana kwasasa vyuo karibia vyote wanatumia vigezo sawa kudahiri na pia ukizingatia na competition. But ajaribu tu hata vyuo vya nje anapata kiurahis kabisa bongo siasa nyingi
Haya wasalimie japani....tumeishajua ulipo.Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) nchini Tanzania leo Alhamisi Julai 11, 2019 limetangaza matokeo ya kidato cha sita ya mwaka 2019
Katika matokeo hayo yaliyotangazwa na Katibu Mtendaji wa Necta mjini Unguja Zanzibar, Dk Charles Msonde amesema ufaulu umeongezeka kutoka asilimia 97.58 mwaka 2018 hadi kufikia asilimia 98.32 mwaka 2019 ikiwa ni sawa na asilimia 0.74.
Dk Msonde amesema mtihani huo uliofanyika kati ya Mei 6 hadi 23 mwaka 2019, watahiniwa 91,298 walisajiliwa wakiwamo wasichana 37,948 sawa na asilimia 41.56 na wavulana 53,350 sawa na asilimia 58.44.
Amesema kati ya watahiniwa waliosajiliwa, watahiniwa wa shule walikuwa 80,216 na watahiniwa wa kujitegemea walikuwa ni 11, 082.
Katibu mtendaji huyo amesema kati ya watahiniwa 91,298 waliosajiliwa kufanya mtihani , watahiniwa 90,001 sawa na asilimia 98.58 walifanya mtihani na watahiniwa 1,297 sawa na asilimia 1.42 hawakufanya mtihani huo kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo za ugonjwa na utoro.
Dk Msonde amesema watahiniwa wa shule, kati ya watahiniwa 80,216 waliosajiliwa, watahiniwa 79,770 sawa na asilimia 99,44 walifanya mtihani ambapo wasichana walikuwa 33,883 sawa na asilimia 99.57 na wavulana 45,887 sawa asilimia 99.35. Watahiniwa 446 sawa na asilimia 0.56 hawakufanya mtihani.
Amesema watahiniwa wa kujitegemea kati ya11,082 waliosajiliwa, 10,231 sawa na asilimia 92.32 walifanya mtihani na watahiniwa 851 sawa na asilimia 7.68 hawakufanya.
“Jumla ya watahiniwa 88,069 sawa na asilimia 98.32 ya watahiniwa waliofanya mtihani wamefaulu,” amesema Msonde
Kwa serikali kwa kozi ya md hapo inakua ngumu kwa hayo matokeo.labda ajaribu kozi zingine kama hizi hapa chiniView attachment 1151234View attachment 1151235