Matokeo ya Kidato cha Sita kwa Mwaka 2019 yametangazwa rasmi leo

Hapana sisemei muhas hapo najua hawezi pata maana mi nlsoma miaka hyo na ilkua ni best students tu

Sema nauliza kwa vyuo vya serikali kwanza kama anaweza kupata !
 
Kwani udom mwaka jana mwisho walchukua ngapi

Na je hicho cha mbeya mwisho walchukua ngapi

Vya private si rahisi kupata au ,?
 
Kuna dogo kapata

Physics B

Chem C

Bios C

Anaweza pata chuo cha udaktari bongo ukitoa muhimbili cha serikali , sijui hata admissions zmekaaje miaka hiki

Msaada tafadhali
Hapo mzee hawez pata MD maana kwasasa vyuo karibia vyote wanatumia vigezo sawa kudahiri na pia ukizingatia na competition. But ajaribu tu hata vyuo vya nje anapata kiurahis kabisa bongo siasa nyingi
 
Ungewafungulia uzi wao special ndio ingekuwa vizuri ..huku hawawezi ona
 
Graduate wajao .. .msome kozi za kujiajiri madogo huku hali ni tete.
 
Hawa madogo nao wamalize kusoma... Dingi niko anti-book tunachanganyana akili tu.

Huyu vipi huyu... Niandae pesa au nimkabidhi mtaji.

General studies - E.
History - S
Kiswahili - D
Language - D

Ni dvsn 3 ya 14.
Huyo anaenda chuo kabisa sababu amekidhi viwango vya TCU ..kuwa na principal pass mbili(Yaani kuwa na D Mbili na kuendelea) hivyo mwambie aanze kuomba mkopo wa chuo kikuu ..maana dirisha limeshafunguliwa la kuomba mkopo
 
Pia NACTE kwa sasa bado hawajafungua dirisha la maombi. Matokeo ndio yametoka leo itabidi mifumo iwekwe sawa ili isomane ni jambo linachukua muda kidogo the same apply to vyuo chini ya TCU na HESLB
NACTE wameshafungua zamani sana fatilia mkuu
 
Huyo anaenda chuo kabisa sababu amekidhi viwango vya TCU ..kuwa na principal pass mbili(Yaani kuwa na D Mbili na kuendelea) hivyo mwambie aanze kuomba mkopo wa chuo kikuu ..maana dirisha limeshafunguliwa la kuomba mkopo
Competition hapa itamzuia japo ka'qualify.
 
Hapana sisemei muhas hapo najua hawezi pata maana mi nlsoma miaka hyo na ilkua ni best students tu

Sema nauliza kwa vyuo vya serikali kwanza kama anaweza kupata !

2012 naingia chuo, walichukua hafi washkaji zangu walikua na 2.10

Japo mwaka jana kuna dogo alikua na 1.8 alitemwa Muhas, tungoje mwaka huu

Admi ya Muhas ni 200+ kwa MD, nadhani huwa wanaangalia na background ya Olevel

Hapana, tunafanana kesi, pia dogo ana 1.8, Phys C, Bio C, Chem B
 
Ripoti ya 2019 sijaiona
Ila ya 2018 kilimanjaro tulikuwa wa 6 wakati kagera mlikuwa 14
Pia tunaongoza kwa kuwa na shule nyingi both advance na ordinary
WAITU NYEGERA View attachment 1151177
Pemba Kusini na Pemba Kaskazini masikini wana shule nne nne tu lakini ndiyo wameshika mkia dah [emoji24][emoji24]
 
Hapo mzee hawez pata MD maana kwasasa vyuo karibia vyote wanatumia vigezo sawa kudahiri na pia ukizingatia na competition. But ajaribu tu hata vyuo vya nje anapata kiurahis kabisa bongo siasa nyingi
Wanatumia vigezo vipi na kwa nini akose ?? !

Admission si eight points au

Mi sisemei muhas mzee
 
Haya wasalimie japani....tumeishajua ulipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…