GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Hakuna kitu hapo hayo ni matokeo ya Kupikwa ili Kumridhisha ila huko hakuna mwenye Akili.Rais samia anapokea salamu za pongezi kutoka Zanzibar kwa shule aliyosomea kufanya vema ila kwa bara anaonekana hakuna kitu ila nakuhakikishia kwa Zanzibar haya ni matokeo mazuri sana ,usicheke .
Ndio Shule aliyosomea kama alivyosema mbele ya Peter Greenberg kwenye the royal tour na anafurahia matokeo haya ,labda
Happy birthday mama
USSRView attachment 2886197
Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
Aliyepata iv 29 ana mtiririko wa maisha unaoeleweka tangu mwanzo hadi sasa huku nyie mliopata I.7 mpo humu mnapiga umbea tu na majungu huku mioyo ikiwa imetawal8wa na chuki balaa. Kimsingi kufaulu na kuelimika ni vitu viwili tofauti.Alipata IV ya 29
Oh kumbe. Hongera sana wewe mwehye nazo!Hakuna kitu hapo hayo ni matokeo ya Kupikwa ili Kumridhisha ila huko hakuna mwenye Akili.
Waislamu wameonewa.kuna mzee mmoja atakuja kusema waislamu wameonewa
Magu hakuwa kilaza kama hao wengineVp na PhD ya Magu!?
div zinzsaidia nini kwenye life ishapita hio kuna mtu alipata ziro sa hiii ama mabiloni na aliyepata point 7 anauza vitabu[emoji1787] [emoji1787] Akikupa jibu nitag Mkuu
Hiyo PhD kusomea wapi?hii issue ya kuhoji elimu za viongoz ilishagharimu maisha ya watu, cha muhimu ana PHD hayo mengine mezea
KapewaHiyo PhD kusomea wapi?
😆😆😆🤪🤪🤪 Kiximkazi Dimbani 😁😁😁😁Rais samia anapokea salamu za pongezi kutoka Zanzibar kwa shule aliyosomea kufanya vema ila kwa bara anaonekana hakuna kitu ila nakuhakikishia kwa Zanzibar haya ni matokeo mazuri sana ,usicheke .
Ndio Shule aliyosomea kama alivyosema mbele ya Peter Greenberg kwenye the royal tour na anafurahia matokeo haya ,labda
Happy birthday mama
USSRView attachment 2886197
Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
We jamaa 😂🤣🤣Kwani ye alipata ngapi? Hata kwa hayo naona angalao... watakua wameengeza hadi margin zikapitiliza ndo kupata huto walitwopata. Pathetic!
Hapa anataka kusema vilaza wanaosoma hiyo shule wapasihwe kwakuwa yeye alisoma hapo...Ukisema hivi una maana sasa Mh Rais aache kushughulika na mambo ya Tanzania ashughulike na Kizimkazi? Sio sawa, na hauoneshi ukomavu wa akili kwa mleta uzi!
Kuna nyakati mtakuta mpo serious kujadili matokeo na ni kwa namna gani ifanyike wanafunzi wafaulu, Afu kuna kiande mmoja anakuja kusema dini fulani hivi inafelishwa na barazaRais samia anapokea salamu za pongezi kutoka Zanzibar kwa shule aliyosomea kufanya vema ila kwa bara anaonekana hakuna kitu ila nakuhakikishia kwa Zanzibar haya ni matokeo mazuri sana ,usicheke .
Ndio Shule aliyosomea kama alivyosema mbele ya Peter Greenberg kwenye the royal tour na anafurahia matokeo haya ,labda
Happy birthday mama
USSRView attachment 2886197
Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
Angalia filam ya the royal tourKama alisoma hapo weka evidence
Mbona povu jingi mtu kataja matokeo take tuAliyepata iv 29 ana mtiririko wa maisha unaoeleweka tangu mwanzo hadi sasa huku nyie mliopata I.7 mpo humu mnapiga umbea tu na majungu huku mioyo ikiwa imetawal8wa na chuki balaa. Kimsingi kufaulu na kuelimika ni vitu viwili tofauti.