Matokeo ya Kizimkazi secondary division 3 zipo 5 four 26, ni nyumbani kwa Rais Samia na alisoma hapo

Hakuna kitu hapo hayo ni matokeo ya Kupikwa ili Kumridhisha ila huko hakuna mwenye Akili.
 
Alipata IV ya 29
Aliyepata iv 29 ana mtiririko wa maisha unaoeleweka tangu mwanzo hadi sasa huku nyie mliopata I.7 mpo humu mnapiga umbea tu na majungu huku mioyo ikiwa imetawal8wa na chuki balaa. Kimsingi kufaulu na kuelimika ni vitu viwili tofauti.
 
[emoji1787] [emoji1787] Akikupa jibu nitag Mkuu
div zinzsaidia nini kwenye life ishapita hio kuna mtu alipata ziro sa hiii ama mabiloni na aliyepata point 7 anauza vitabu
 
😆😆😆🤪🤪🤪 Kiximkazi Dimbani 😁😁😁😁
 
Kuna siku wataficha matokeo yote au hizo Div ni siri itakuwa...kumbuka zile nafasi za ufaulu ? Zilitolewa sababu hiyo mchambawima....huwa za mwishonmilele kila mara
 
Ukisema hivi una maana sasa Mh Rais aache kushughulika na mambo ya Tanzania ashughulike na Kizimkazi? Sio sawa, na hauoneshi ukomavu wa akili kwa mleta uzi!
Hapa anataka kusema vilaza wanaosoma hiyo shule wapasihwe kwakuwa yeye alisoma hapo...
 
Kuna nyakati mtakuta mpo serious kujadili matokeo na ni kwa namna gani ifanyike wanafunzi wafaulu, Afu kuna kiande mmoja anakuja kusema dini fulani hivi inafelishwa na baraza
 
kwa viwango vya kiserikali hio shule hakuna aliyetaga so ufaulu ni 100%
pongezi kwao
 
Tangu lini waswahili walibebwa wakabebeka?

Wanachojua ni ndoa na kuchezwa ngoma tu
 
Aliyepata iv 29 ana mtiririko wa maisha unaoeleweka tangu mwanzo hadi sasa huku nyie mliopata I.7 mpo humu mnapiga umbea tu na majungu huku mioyo ikiwa imetawal8wa na chuki balaa. Kimsingi kufaulu na kuelimika ni vitu viwili tofauti.
Mbona povu jingi mtu kataja matokeo take tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…