Eti huyu naye anajinadi kuwa anachangia hoja ya msingi.Huo siyo ushahidi tosha. Documents na majina hayana uthibisho kwamba yameandikwa na PCCB, wala hamna ushahidi kwamba hayo majina hayakuwepo kwenye written interviewees' list na hayakutokea kwenye kwenye oral interviewees' list ya PCCB.
Jipange utoe maelezo ya kina kutetea tuhuma zako
😄😁😆Kama ww siyo baba kantuma huna chako
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]afsa mchunguzi ni sh 2,200,000/=
msaidi anachukua sh 1,700,000/=
unajichekesha nini[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Wadanganye watoto wenzakounajichekesha nini
sipo hapa kwaajili ya kudanganya mtu, ninacho kueleza ndio ukweli wenyeweWadanganye watoto wenzako
Kwa akili zako wewe TAKUKURU NA TISS nani hulipwa pesa NYINGI???sipo hapa kwaajili ya kudanganya mtu, ninacho kueleza ndio ukweli wenyewe
TISS amemzidi takukuru padogo sana sana mkuuKwa akili zako wewe TAKUKURU NA TISS nani hulipwa pesa NYINGI???
Kwani mtoto wa Pinda hana vigezo vya kupewa ajira?Acha kuandika usichokijua, na pia usidharau vijana wenzako ukajiona wewe bora sana eti kwa sababu umeitwa oral, wenzako hawajaitwa. Kwa taarifa yako hiyo kuitwa ni formality tu, mnasindikiza watu. Baada ya oral mafuta yatajitenga na maji. Kapige hiyo oral, kisha majina yakiachiwa rudi hapa kuleta mrejesho. Namfahamu mtoto wa waziri mkuu mstaafu Mizengo Pinda, anaitwa Chrispin Mizengo Pinda, alienda kwenye aptitude na sasa kaitwa oral, na kazi bila shaka atapata pia. Huyo katokea familia duni? Ningekupa mifano mingine mingi ya madogo nnaowafahamu. Kanywe tu mtori Dodoma, but usitegemee utakuta nyama chini. Over
Sent using Jamii Forums mobile app
Usikurupuke, angalia hayo maelezo niliyotoa yalikua yanajibu hoja gani ya CARDLESS hapo juuKwani mtoto wa Pinda hana vigezo vya kupewa ajira?
Mbona mnalalamika ubaguzi wakati acy wabaguzi ni nyie?
Kama ndio hivyo, basi TAKUKURU HAWAFIKI MSHAHARA WA MIL 1.5 kwa degree AMINI, AMINI, AMINI, AMINI, NINACHOKUAMBIA MIMI. NARUDIA TENA AMINI.TISS amemzidi takukuru padogo sana sana mkuu
Kwanini Mkuu?Nchi Ngumu Sana!
Mimi na miaka 40+ sina nguvu tena ya kupambana na SAILI.Acha kuandika usichokijua, na pia usidharau vijana wenzako ukajiona wewe bora sana eti kwa sababu umeitwa oral, wenzako hawajaitwa. Kwa taarifa yako hiyo kuitwa ni formality tu, mnasindikiza watu. Baada ya oral mafuta yatajitenga na maji. Kapige hiyo oral, kisha majina yakiachiwa rudi hapa kuleta mrejesho. Namfahamu mtoto wa waziri mkuu mstaafu Mizengo Pinda, anaitwa Chrispin Mizengo Pinda, alienda kwenye aptitude na sasa kaitwa oral, na kazi bila shaka atapata pia. Huyo katokea familia duni? Ningekupa mifano mingine mingi ya madogo nnaowafahamu. Kanywe tu mtori Dodoma, but usitegemee utakuta nyama chini. Over
Sent using Jamii Forums mobile app
acha uongo mkuu, wanafkaKama ndio hivyo, basi TAKUKURU HAWAFIKI MSHAHARA WA MIL 1.5 kwa degree AMINI, AMINI, AMINI, AMINI, NINACHOKUAMBIA MIMI. NARUDIA TENA AMINI.
Utoa Rushwa Ili Kupata Kazi Ya Kupambana Na Watoa Rushwa.Kwanini Mkuu?
Yaan natamani nikwambie ila basi tu, hao TISS mishahara yao ni midogo mno. Tofauti ya TISS na POLISI ni ndogo sana yaan ni ndogo saaaaaaaana.TISS amemzidi takukuru padogo sana sana mkuu
Mimi nakuambia, hawafiki hio mshahara, na umenihakikishia kuwa TISS wamezidi mshahara sio?? Basi TAKUKURU wanalipwa sawa na walimu tu.acha uongo mkuu, wanafka
sio kweli mkuuYaan natamani nikwambie ila basi tu, hao TISS mishahara yao ni midogo mno. Tofauti ya TISS na POLISI ni ndogo sana yaan ni ndogo saaaaaaaana.
Huo mshahara uliotaja wewe ni mkubwa sana. Hiyo 2.2 igawanye mara mbili ndio mshahara wao mzee.
Amini kwamba. Ninachokuambia ni kweli kabisa, naona kila siku. Sio nabahatisha, najua. Labda uwe kitengo cha ulinzi wa viongozi, nako ni posho ndio hukubeba na sio mshahara. Au labda uwe kwenye operesheni maalumu kama ile ya kibiti niliona kidogo kwa siku wanapata pesa kama 50k-100k kwa siku. Hapa mtandaoni mnadanganyana mno. Mishahara ya hao jamaa ni ufanano na idara zingine za ulinzi.sio kweli mkuu