Matokeo ya utafiti kuhusu madai ya wanawake wa Kitanzania kujiuza katika mitandao ya kijamii

Matokeo ya utafiti kuhusu madai ya wanawake wa Kitanzania kujiuza katika mitandao ya kijamii

Wanachuo hawajiuzi mitandao ya aina hiyo. Wanaojirahisisha wanaingia Kidimbwi (wale pisi kali) na wengine maeneo mengine ya starehe kulamba chupa moja ya bia masaa manne kama uzi mmoja wa jana ulivyosema. Kisha anakuja mwanaume anaopoa na kupewa namba baada ya hapo vizinga proportional na kutumika.

Kusema ukweli wanaojirahisisha wengi wana hali ngumu kiuchumi.
 
Hizi tafiti ziende na telegram. Kule kuna uchafu sana na lugha ya kificho ya k.toleo la pili na hakuna shoga [emoji23][emoji23]

Hii dunia ya utandawazi tujitahidi kuwapa maadili mema watoto wetu huko tuendako ni kubaya sana hasa life style ya walezi wa siku hizi.

Wazazi tuwe makini sana na mienendo ya watoto wetu na hizi smartphone.
Wanaita line two
 
Kazi nzuri mkuu na team yako, mtu anasema hiki kitu obvious lakini ukimuuliza kuhusu data hana. Hili ndo linapaswa kufanyika kwa kila kitu ilikuwa intensity ya tatizo katika jamii zetu.

Vipi wachunguzi wako hawakuliendeleza baada ya hitimisho, kwa hao waliokubali kuja eneo la tukio?. Hii nachomekea tu[emoji28]
 
Wanachuo hawajiuzi mitandao ya aina hiyo. Wanaojirahisisha wanaingia Kidimbwi (wale pisi kali) na wengine maeneo mengine ya starehe kulamba chupa moja ya bia masaa manne kama uzi mmoja wa jana ulivyosema. Kisha anakuja mwanaume anaopoa na kupewa namba baada ya hapo vizinga proportional na kutumika.

Kusema ukweli wanaojirahisisha wengi wana hali ngumu kiuchumi.
Ahsante kwa observation nzuri mkuu.
 
Kazi nzuri mkuu na team yako, mtu anasema hiki kitu obvious lakini ukimuuliza kuhusu data hana. Hili ndo linapaswa kufanyika kwa kila kitu ilikuwa intensity ya tatizo katika jamii zetu.

Vipi wachunguzi wako hawakuliendeleza baada ya hitimisho, kwa hao waliokubali kuja eneo la tukio?. Hii nachomekea tu[emoji28]
Ahsante sana mkuu kwa observation nzuri sana. Hiki kitu Wa Tanzania wengi hatuelewi bado. Mtu anakwambia, "unafanyia utafiti kitu ambacho ni kiko wazi", ukimuuliza ni asilimia ngapi ya wadada walio mitandaoni wanajiuza? Jibu lake litakua "wengi sana".

Anyways, siwalaumu.

Hahahahaha! Kuhusu wachunguzi wangu "kuliendeleza" kwa kweli tuliweka makubaliano kuwa hiyo hairuhusiwi na kwenye mikataba hao walisaini kukubali kuwa hilo halitatokea na iligundulika imetokea watapoteza kibarua, japokua siwezi kusema kwa uhakika asilimia 100 kuwa hakuna uwezekano wapo "walioliendeleza". Kama unavyoelewa kuwa ni ngumu mno kumchunga binadamu akitaka jambo lake.
 
Back
Top Bottom