T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Wanachuo hawajiuzi mitandao ya aina hiyo. Wanaojirahisisha wanaingia Kidimbwi (wale pisi kali) na wengine maeneo mengine ya starehe kulamba chupa moja ya bia masaa manne kama uzi mmoja wa jana ulivyosema. Kisha anakuja mwanaume anaopoa na kupewa namba baada ya hapo vizinga proportional na kutumika.
Kusema ukweli wanaojirahisisha wengi wana hali ngumu kiuchumi.
Kusema ukweli wanaojirahisisha wengi wana hali ngumu kiuchumi.