Nani kabisha hilo, pesa iende serikalini, huyo third party atalindwa tu na serikali, hatuwezi kushindwa kumlinda kama taifa. Kama Umeme hakuna anaeruhusiwa kusambaza, basi hata hii inapaswa iwe chini ya serikali, watu tunalazimishwa kuwalipa watu binafsi trillion 3 kila mwaka kiulaini tu bila jasho, na usipolipa polisi wanakukamata, hivi ni ubongo au makalio tunayotumia kuwaza? Seriously?! Halafu watu wanarudisha kodi ya kichwa ili kuungeza mapato, wakati tumewcha wahindi wanachota tu pesa matrillion kwa kutulazimisha?!
Biashara tangu lini ikawa ya kulazimishana? Huu si ujambazi, kama ni lazima means hii ni kodi kama kodi zingine, sasa iweje mtu binafsi anachukua kodi trillion 3 , sisi ni mataahira??!!