Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Elezea jinsi ulivyopata hizo Trillion 3
Hivyo ndivyo nilikuwa nadhani na ndivyo inapaswa kuwa, trillion 3 kodi inakusanywa na hao mawakala lakini badala ya kuipeleka shirika la bima la taifa (NIC) wao wanabaki nazo mifukoni, halafu wanakuja kurudisha kodi yabkichwa wakati kodi kuna watu wanakaa nazo hawazifikishi serikalini, trillion 3 kila mwaka, ni pesa ya serikali hii, wao walipaswa wachukua comission tu kwa kazi ya kukusanya waliyofanya, baada ya hapo wapeleke shirika la bima la taifa!