FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
- #81
Kwani hicho unachokisema ni nani amebisha? Tunachosema ni kwamba sheria ibadilishwe ili hii kodi iliyobabatizwa jina la ‘third party’ kinyemela ifikishwe serikalini, maana ni compulsory, na ‘third party’ yeyote atapeleka claim yake serikalini kupitia shirika la bima na atalipwa, sasa sijajua kwanini unaandika vitu vingi ambavyo ni obvious na kila mtu anavifahamu.Third party insurance sio kodi Mkuu, labda mpaka Serikali ibadilishe sheria. Bima hii inamlinda mtu nje ya mkata bima na muuza Bima (ndio maana inaitwa third party). Gari linapita barabarani, kuna watumiaji wengine wa barabara kama magari mengine, waenda kwa miguu na miundombinu kama nyumba n.k. Hawa ndio wanalindwa na hiyo bima na sio mkataji bima. Kwenye situtation kama hiyo mkataji bima hana incentive ya kukata hiyo bima kwani haimlindi yeye na ndio maana ni compusory, ingekuwa ni hiari wenye magari wasingekata hiyo bima hivyo kusababisha niliowataja hapo juu (third parties) kutolindwa. Hao askari sio kwamba wanashurutisha bali wanafanya law enforcement ambalo ni jukumu lao la msingi, kuhakikisha sheria ya bima inafuatwa. Wazo lako kutaka Serikali ikusanye hiyo hela linazungumzika. Tatizo ni kwamba Serikali ina historia ya ku-mismanage biashara au aina yoyote ya makusanyo, mfano mzuri ni kwenye mifuko ya jamii. Ndio maana watu wako sceptical na hiyo idea.
Kuhusi biashara ni kama unavyoon Tanesco, japo kuna changamoto ili ni muhimu sekta flani flani nyeti zikabako serikalini., hiyo ni kodi ya serikali, Trillions and trillions kila mwaka zinaishia mifukoni mwa watu huku tukiendelea kukopa kama wendawazimu, mataahira aakubwa, wakati tuna akili timamu! Hii kodi inayoshuritishwa na jeshi l polisi si biashara, ni kodi, na ifikishwe serikalini.