Beberu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 4,548
- 9,740
Una point sema Am sorry unaitoa wakati ambao sio sahihiEither hukusoma nilichoandika au hujaelewa nilichoandika, nimeshaeleza kwamba watafidiwa na shirika la bima la taifa, maana hiyo pesa kuna fungu watapewa kwa ajili hiyo, na kama litabaki basi litatunika kutop up fungu la mwaka unaofuata, na kama fungu litapelea (highly unlikely) basi kutawekwa mechanism ya hazina kutop up kilichopelea. Sasa iweje mimi nieleze hayo halafu uje kuuliza tena nikicho kwisha eleza, au una mtindio wa ubongo labda. Pia ni ‘thirdparty’ wangapi kwa mwaka huwa wanatoboa mahakamani na kulipwa? Ukichunguza takwimu za kiasi kinacholipwa kwa thirdparty kama fidia kwa mwaka ndio utacheka uzimie.
Sheria ibadilishwe kadri itakavyohitajika ili kodi ya ‘third party’ iende serikalini, na wenye makampuni wa bima walipwe commission kidogo kwa uwakala wao wa kukusanya kodi ya serikali. Simple and clear.
Tupo kipindi cha capitalism na hoja yako ilikuwa na mashiko kipindi cha ujamaa
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app