Matrillioni ya pesa yanayokusanywa na makampuni ya Bima kupitia mawakala wao ni za serikali au ni za nani?

Matrillioni ya pesa yanayokusanywa na makampuni ya Bima kupitia mawakala wao ni za serikali au ni za nani?

Sasa kwanini serikali ishurutishe raia kuchangia watu binafsi matrilion kila mwaka ilihali yenyewe inakosa hata pesa ya kuboresha miundombinu ya barabara? Ni kwanini hii pesa ya bima isiende serikalini ili ikasaidie kuboresha huduma za kijamii, na kama mtu akihitaji kulipwa bima afuatilie moja kwa moja serikalini kupitia mawakala wa bima waliopo kila kona? Kwanini tulazimishwe na polisi kuchangia watu binafsi matrilioni kila mwaka?! Why?! Trillion 3 kila mwaka tunalizimishwa kuwalipa, kwnai nchi yao hii?!!
Zile stika wananunua serikalini kama ilivyo float na bank au mitandao ya simu
 
Zile stika wananunua serikalini kama ilivyo float na bank au mitandao ya simu
Kwani nani amebisha hilo? Kwanza watu hawabandiki stika siku hizi. Tunachosema ni kwamba kodi ya ‘Third party’ tunayoshurutishwa kulipa na polisi ipelekwe serikalini ili ikasadie walau kuongeza vitanda vya kujifungulia mahospitalini. Na madai yote ya ‘third party’ yatalipwa na serikali kupitia shirika la bima la taifa.
 
Tanzania ni nchi nzuri sana kuwekeza katika biashara ya Bima. Kwasababu huwa hatufuatilii kabisa haya masuala tunajilipiaga tu kwakuwa ni lazima. Yaani hata kama mtu gari lako likigongwa mnapatana na aliyekugonga anatengeneza mwenyewe wakati amekata bima. Yaani makampuni yanijipigia hela tu, wanaofuatiliaga labda ni wale waliokata comprehensive tu ambao sio wengi.
 
Kwani nani amebisha hilo? Kwanza watu hawabandiki stika siku hizi. Tunachosema ni kwamba kodi ya ‘Third party’ tunayoshurutishwa kulipa na polisi ipelekwe serikalini ili ikasadie walau kuongeza vitanda vya kujifungulia mahospitalini. Na madai yote ya ‘third party’ yatalipwa na serikali kupitia shirika la bima la taifa.
Sawa kwani mmiliki wa bima nchini ni nani?
 
Sawa kwani mmiliki wa bima nchini ni nani?
Unamaanisha makampuni ya bima? Yapo binafsi na lipo la serikali. Eitherway, tunachosema ni kwamba kodi yote ya ‘third party’ ifikishwe serikalini, na third party yeyote atakayekuwa na madai atayapeleka serikalini na yatalipwa na seriakali kupitia shirika la bima la taifa.
 
Tanzania ni nchi nzuri sana kuwekeza katika biashara ya Bima. Kwasababu huwa hatufuatilii kabisa haya masuala tunajilipiaga tu kwakuwa ni lazima. Yaani hata kama mtu gari lako likigongwa mnapatana na aliyekugonga anatengeneza mwenyewe wakati amekata bima. Yaani makampuni yanijipigia hela tu, wanaofuatiliaga labda ni wale waliokata comprehensive tu ambao sio wengi.
Exactly, hakuna third party anaeweza kupambana mahakamani na haya makampuni akashinda, watu humalozana wenyewe kwa wenyewe tu, ukizingatia kulipa ni lazima; sasa tunapendekeza hii kodi ya ‘third party’ ifikishwe serikalini ili ikasaidie kuongeza vitanda vya kujifungulia mahospitalini, na thirdparty yeyote akayekuwa na madai atayapeleka serikalini na atalipwa na serikali kupitisha shirika la bima la taifa
 
Hakuna aliyebisha juu ya alilosema, ila tunachopendekeza ni kwamba kodi ya ‘Third party’ tunayoshurutishwa kulipa na polisi ipelekwe serikalini ili ikasadie walau kuongeza vitanda vya kujifungulia mahospitalini. Na madai yote ya ‘third party’ yatalipwa na serikali kupitia shirika la bima la taifa.
 
Kodi ya ‘third party’ ifikishwe tu serikalini, hakuna tena mbadala..
 
Nimepiga hesabu za haraka haraka, na kugundua kwamba makampuni ya Bima hukusanya wastani wa Trilioni 3.5 kila mwaka kama malipo ya bima za aina mbali mbali, na pia malipo kwa ajili ya bima (hasa hasa kwa wahindi wanaochoma moto viwanda vyao kwa makusudi) kwa mwaka huwa hayazidi bilioni 100, na ukitoa gharama za uendeshaji utaona inabaki kama trillion 3 hivi.

Sasa najiuliza, hii pesa tunayolazimishwa na matrafiki police huku barabarani kwamba ni lazima tulipe, inaenda serikalini na makampuni kubaki na comission tu au yote inaenda kwa haya makampuni ya Bima?!

==========================

Sasa ninachopendekeza ni hiki, bima zote za third party zilipwe serikalini kupitia wakala wa bima wa taifa, na malipo yatafanywa na wakala huyo kwa hao third party. Hayo matrillion yakaboreshe huduma za elimu, afya na miundombinu. Ifike mahala tuache kukopa wakati matrilioni yanabebwa na hawa wenye makampuni ya bima tena ni wageni, wanaenda kuwekeza kwao huko. Pendekezo ni hilo, sheria husika zirekebishwe ku-accomodate mtazamo huu mpya, na radical kabisa!
Nani kasema biashara ya bima Ina faida kubwa hivyo? Unajua risk ilivyokubwa kwa hizo kampuni, kasome TIRA report ndio utaona kwamba faida sio kubwa kama unavyodhani unless Una mtaji mkubwa sana wa kuinsure multiple enterprises and assets sio hizi za motor tu!!

Alafu JPM alitaka kutumia hii approach Ili NIC iwe inatumika kuliko bima za private sector ila hakujua ndio alikua anaizila hivo financial sector maana wingi wa ushindani ndio Unaleta ufanisi ila ikibako hiyo NIC utendaji unaporomoka maana wao hawatafuti faida Wana mishahara with or without mauzo.

Kingine Kwanini private sector ndio wanaonekana wezi? Nani kasema bima zote zikiwa zinapitia NIC basi ndio kuna malaika huko? Hivi unaamini taasisi ya serikali haina ufisadi? Trust me utasikia Kila siku majengo ya waheshimiwa "yameungua" na watalipwa mara 20 ya premium zao!!

Tuache kucheza na uchumi linapokuja suala la kuingilia pirvate sector. Maadam washindani ni wengi ni jukumu la mteja kuamua nini anataka na kwa gharama gani
 
Exactly, hakuna third party anaeweza kupambana mahakamani na haya makampuni akashinda, watu humalozana wenyewe kwa wenyewe tu, ukizingatia kulipa ni lazima; sasa tunapendekeza hii kodi ya ‘third party’ ifikishwe serikalini ili ikasaidie kuongeza vitanda vya kujifungulia mahospitalini, na thirdparty yeyote akayekuwa na madai atayapeleka serikalini na atalipwa na serikali kupitisha shirika la bima la taifa
Mkuu hoja Yako kama sijaielewa hivi.
1. Kama watu hawadai 3rd party kwanini unaamini ikiwa serikalini ndio watapeleka claims?
2. Unasema hakuna mwenye uwezo wa kuwapeleka Agents/Brokers mahakamani, je utaweza kupeleka NIC mahakamani na ukaishinda??
3. Unaposema ilipwe serikalini, kama Kodi au claim hazikusanywi je ni udhaifu wa Agents/Brokers/companies/Bancassurance au ni udhaifu wa serikali/TRA? Mbona kuna taasisi za serikali hata Bill ya TANESCO au Dawasco hawajalipa kwa miaka zaidi ya 10!! Why NIC ndio unaona watakua compliant zaidi kuliko private entities!!
4. Makampuni yanalipa Kodi kibao tu ikiwemo corporate tax, income tax kwa waajiriwa wake, Capital gain kama wanauza hisa kwa investors wengine n.k why ionekane kama hawachangii kwenye kununua vitanda vya serikali?

Nachoweza kusema Elimu ya bima ni ndogo kwa raia hata hiyo ya mahari watu wanalipa sababu ni compulsory ila ukienda majumbani ni ngumu mtu kuweka cover kwa masuala ya moto/wizi. Hata mabasi tu tukipata ajali hatujawahi weka madai Ili tulipwe compensation ya matibabu!! Ila kuweka lawama kwa makampuni wakati TRA, Mahakama, au Raia tumelala sidhani kama ni suluhu
 
Nani kasema biashara ya bima Ina faida kubwa hivyo? Unajua risk ilivyokubwa kwa hizo kampuni, kasome TIRA report ndio utaona kwamba faida sio kubwa kama unavyodhani unless Una mtaji mkubwa sana wa kuinsure multiple enterprises and assets sio hizi za motor tu!!

Alafu JPM alitaka kutumia hii approach Ili NIC iwe inatumika kuliko bima za private sector ila hakujua ndio alikua anaizila hivo financial sector maana wingi wa ushindani ndio Unaleta ufanisi ila ikibako hiyo NIC utendaji unaporomoka maana wao hawatafuti faida Wana mishahara with or without mauzo.

Kingine Kwanini private sector ndio wanaonekana wezi? Nani kasema bima zote zikiwa zinapitia NIC basi ndio kuna malaika huko? Hivi unaamini taasisi ya serikali haina ufisadi? Trust me utasikia Kila siku majengo ya waheshimiwa "yameungua" na watalipwa mara 20 ya premium zao!!

Tuache kucheza na uchumi linapokuja suala la kuingilia pirvate sector. Maadam washindani ni wengi ni jukumu la mteja kuamua nini anataka na kwa gharama gani
Either hujasoma nilichoandika au una mtindio wa ubongo; tunachosema ni kwamba Bima zote za nyumba, afya nk. ambazo ni za hiari ziendelee tu kama kawaida kwa hayo makampuni ya bima, maana mtu hulazimisjwi na polisi bali ni uamuzi wako mwenyewe, hivyo hizo hazina shida yoyote. Tunachozungumzia hapa ni hii kodi ya magari ya ‘third party’ ambayo tunashurutishwa na mapolisi barabarani tulipe, na kiwango cha hii kodi ni fixed (120,000/=), kwamba tutake tusitake, tupende au tusipende, ni lazima tulipe! Kwakuwa hakuna biashara ya kulazimishana (forced purchase) Hii ndio tunazungumzia hapa. Na tuchopendekeza ni kwamba kodi hii ya lazima ipelekwe serkalini ili walau ikaongeze vitanda vya kujifungulia mahospitalini. Na third party yeyote (Kama atakuwepo) atapeleka madai seriakalino na atalipwa na serikali kupitia NIC. Na just to tip you, sera imeshaanza kuandaliwa, kwahiyo subiri hapo hapo.
 
Mkuu hoja Yako kama sijaielewa hivi.
1. Kama watu hawadai 3rd party kwanini unaamini ikiwa serikalini ndio watapeleka claims?
2. Unasema hakuna mwenye uwezo wa kuwapeleka Agents/Brokers mahakamani, je utaweza kupeleka NIC mahakamani na ukaishinda??
3. Unaposema ilipwe serikalini, kama Kodi au claim hazikusanywi je ni udhaifu wa Agents/Brokers/companies/Bancassurance au ni udhaifu wa serikali/TRA? Mbona kuna taasisi za serikali hata Bill ya TANESCO au Dawasco hawajalipa kwa miaka zaidi ya 10!! Why NIC ndio unaona watakua compliant zaidi kuliko private entities!!
4. Makampuni yanalipa Kodi kibao tu ikiwemo corporate tax, income tax kwa waajiriwa wake, Capital gain kama wanauza hisa kwa investors wengine n.k why ionekane kama hawachangii kwenye kununua vitanda vya serikali?

Nachoweza kusema Elimu ya bima ni ndogo kwa raia hata hiyo ya mahari watu wanalipa sababu ni compulsory ila ukienda majumbani ni ngumu mtu kuweka cover kwa masuala ya moto/wizi. Hata mabasi tu tukipata ajali hatujawahi weka madai Ili tulipwe compensation ya matibabu!! Ila kuweka lawama kwa makampuni wakati TRA, Mahakama, au Raia tumelala sidhani kama ni suluhu
1.) Sijasema watu hawadai thirdparty, tunachosema ni kwamba, asilimia kubwa sana ya wenye magari wanapomgonga au ukasabisha madhara kwa ‘mtu wa tatu’, hiwa wanaamua tu kumalizana wenyewe ‘On good terms’; ni kwanini hali ipo hivi!? Hii ni kwa sababu, kama msipomalizana basi itabidi traffic police aandae mchoro wa tukio na kesi ianze na ipelekwe mahakamani, wewe ilukiyefanya uzembe (iwe makusudi au bahati mbay) ni lazima utaadhibiwa lwa mujibu wa sheria, huwezi ukawa unagonga tu taa za barabarani eti kisa umekata third party ambayo itakuwa inakulipia tu uzembe wako without any consequences, no way, hivyo unaweza kwenda jela hata wiki 2 ili ushike adabu. Sasa nani yupo tayari kwenda mahakamani na kisha gerezani? Hivyo wengi huamua kukimaliza kwa kulipa wenyewe,m; ila kwa wale ambao hawana iwezo wa kulipa, then aliyesababishiwa madhara (thirdparty) atalazimika kwenda kwa insurer ili afidiwe, ila ni very few case hufikianhatua hii.

2.)Nimesema ni wachache wanauwezo wa kuwashinda makampuni ya bima mahakamni, iwe private au NIC, ni ngumu kuwashinda, sijasema itakuwa rahisi kwa NIC or otherwise.

3.) Third party claims kutokusanywa si uzembe wa yeyote ule, bali ni uhalisia wa mfumo jinsi ulivyo ‘Tricky’ kama nilivyofafanua kwenye kipengele namba 1.) hapo juu.

4.) Kulipa kodi ndio nilichokisema ni kutugawia kipande kidogo cha keki yetu wenyewe, yaani pesa ya serikali halafu umege kiasi kidogo ndio uipe serikali? Unavuta bangi? Hao bima ndio wamegewe kiasi kidogo kama commission ya lazi yao ya kukusanya kodi ya serikali, tumia ubongo kufikiri, sio mabanda ya uani.
 
Hizi akili za kimaskini kuona watu wanapata sana anyway serikali kushindwa kuboresha miundombinu ni uzembe wao tatizo sio pesa bali ni watendaji wabovu, serikali ina kampuni yake ya Bima ni wewe kuchagua kampuni gani sera zake zimekuvutia ufanye nayo biashara
 
Hizi akili za kimaskini kuona watu wanapata sana anyway serikali kushindwa kuboresha miundombinu ni uzembe wao tatizo sio pesa bali ni watendaji wabovu, serikali ina kampuni yake ya Bima ni wewe kuchagua kampuni gani sera zake zimekuvutia ufanye nayo biashara
Ni sawa, hatajubisha juu ya hayo. ila tunachosema ni kwamba, kodi hii ya ‘third party’ iwasilishwe serikalini ili walau ikaongeze vitanda vya kujifungulia, regardless; na ‘third party’ yeyote mwenye madai atayapeleka seriaklini na kulipwa kupitia shirika la bima taifa.
 
Either hujasoma nilichoandika au una mtindio wa ubongo; tunachosema ni kwamba Bima zote za nyumba, afya nk. ambazo ni za hiari ziendelee tu kama kawaida kwa hayo makampuni ya bima, maana mtu hulazimisjwi na polisi bali ni uamuzi wako mwenyewe, hivyo hizo hazina shida yoyote. Tunachozungumzia hapa ni hii kodi ya magari ya ‘third party’ ambayo tunashurutishwa na mapolisi barabarani tulipe, na kiwango cha hii kodi ni fixed (120,000/=), kwamba tutake tusitake, tupende au tusipende, ni lazima tulipe! Kwakuwa hakuna biashara ya kulazimishana (forced purchase) Hii ndio tunazungumzia hapa. Na tuchopendekeza ni kwamba kodi hii ya lazima ipelekwe serkalini ili walau ikaongeze vitanda vya kujifungulia mahospitalini. Na third party yeyote (Kama atakuwepo) atapeleka madai seriakalino na atalipwa na serikali kupitia NIC. Na just to tip you, sera imeshaanza kuandaliwa, kwahiyo subiri hapo hapo.
Ndio maana nikasema hoja Yako siielewi, Third party sio "Kodi" mkuu ni bidhaa kama zingine na hakuna mahala umelazimishwa kuinunua kwa wakala au NIC au private company kama Jubilee n.k ila uhuru ni wako uinunue wapi.

Ni kama DSTV tu Ina mawakala wakiuza ving'amuzi pesa itapelekwa tu ofisi za DSTV then wao watapewa pesa Yao. So hata mawakala wa bima say NIC au Jubilee nao wakipokea pesa huwa wanaiwasilisha kwa kampuni husika.

Kumbuka Kila kampuni/Agency ya Bima Ina deposit kwenye akaunti maalum ambapo ukitokea umekimbia na Hela ya kampuni au claim ya mtu basi wao wanachota tu kwenye Ile akaunti iliopo benki ya kiserikali possibly BOT.

Industry ya bima ni liberalized hivyo huwezi sema kampuni iwe NIC peke yake hiyo itakua Monopoly ambayo ni kinyume na sheria ya ushindani maana pia itamnyima haki mteja ya kuchagua anachopenda sokoni.

TLDR; Third Party sio Kodi ni bidhaa ya bima na malipo yakipitia kwa wakala huwa yanafikishwa kwa kampuni husika whether ni NIC or Jubilee n.k
 
Ndio maana nikasema hoja Yako siielewi, Third party sio "Kodi" mkuu ni bidhaa kama zingine na hakuna mahala umelazimishwa kuinunua kwa wakala au NIC au private company kama Jubilee n.k ila uhuru ni wako uinunue wapi.

Ni kama DSTV tu Ina mawakala wakiuza ving'amuzi pesa itapelekwa tu ofisi za DSTV then wao watapewa pesa Yao. So hata mawakala wa bima say NIC au Jubilee nao wakipokea pesa huwa wanaiwasilisha kwa kampuni husika.

Kumbuka Kila kampuni/Agency ya Bima Ina deposit kwenye akaunti maalum ambapo ukitokea umekimbia na Hela ya kampuni au claim ya mtu basi wao wanachota tu kwenye Ile akaunti iliopo benki ya kiserikali possibly BOT.

Industry ya bima ni liberalized hivyo huwezi sema kampuni iwe NIC peke yake hiyo itakua Monopoly ambayo ni kinyume na sheria ya ushindani maana pia itamnyima haki mteja ya kuchagua anachopenda sokoni.

TLDR; Third Party sio Kodi ni bidhaa ya bima na malipo yakipitia kwa wakala huwa yanafikishwa kwa kampuni husika whether ni NIC or Jubilee n.k
1.) Hiki mnachokiita bima ya ‘Third party’ ni kodi na inapaswa kufikishwa serikalini, sijasema tunalazimishwa wapi pa kuilipa kodi hii, bali tunachosema ni kwamba tunalazimishwa kuilipa, regardless tunailipia kwa wakala yupi;, kwahiyo kwanza ni lazima, pili kiwango chake ni fixed (120,000/=), hata uende kwa wakala gani, kodi hii ya ‘third party’ ni 120,000/=, lia wee, gala gala wee, ila hii 120,000/= ni lazima uilipe, kwahiyo hakuna kitu kama ushindani kwenye kitu ambacho kina fixed price, hence forth hii ni kodi iliyofichwa kwa jina ‘bima’. Ila makampuni ya bima yana uhuru wa kuendelea kushindana kwa haki kwenye bima zingine ambazo sio za kulazimishwa na polisi, mfano bima comprehnsive za magari, bima za nyumba, za afya nk, ila kwa hii compulsory ‘taxation’ ifikishwe serikalini, period!

2.) Hatujabisha kwamba hii pesa mawakala wataifikisha kwa makampuni ya bima, ila tunachosema ni kwamba hawa mawakala wanaiwasilisha kwa mtu asiye sahihi, hao mawakala wanatakiwa wawasilishe hizo pesa serikalini, maana ni pesa ya serikali iliyolipwa na wananchi tena kwa lazima, kumbuka , ni kwa lazima!! Na endapo kuna ‘third party claim’ basi italipwa na serikali kupitia shirika la bima la taifa, legeza ubongo walau kidogo, itakusaidia sana.

3.)Hapo kwenye kukimbia na pesa ya mtu kwa upande wa serikali halitakuwepo, maana serikali ni self guaranteed entity, hivi serikali inaweza kukimbia? BOT ni ya serikali, hivyo its even better, maana ni ‘a self guaranteed entity’, hivyo ‘third party’ claims zitalipwa endapo zita arise.

4.) Rejea pointa na 1 hadi 3

Hii kodi ni stahiki ya serikali, kama huamin, usilipe hii kodi halfu ingiza gari lako barabarani ndio utaelewa.
 
1.) Hiki mnachokiita bima ya ‘Third party’ ni kodi na inapaswa kufikishwa serikalini, sijasema tunalazimishwa wapi pa kuilipa kodi hii, bali tunachosema ni kwamba tunalazimishwa kuilipa, regardless tunailipia kwa wakala yupi;, kwahiyo kwanza ni lazima, pili kiwango chake ni fixed (120,000/=), hata uende kwa wakala gani, kodi hii ya ‘third party’ ni 120,000/=, lia wee, gala gala wee, ila hii 120,000/= ni lazima uilipe, kwahiyo hakuna kitu kama ushindani kwenye kitu ambacho kina fixed price, hence forth hii ni kodi iliyofichwa kwa jina ‘bima’. Ila makampuni ya bima yana uhuru wa kuendelea kushindana kwa haki kwenye bima zingine ambazo sio za kulazimishwa na polisi, mfano bima comprehnsive za magari, bima za nyumba, za afya nk, ila kwa hii compulsory ‘taxation’ ifikishwe serikalini, period!

2.) Hatujabisha kwamba hii pesa mawakala wataifikisha kwa makampuni ya bima, ila tunachosema ni kwamba hawa mawakala wanaiwasilisha kwa mtu asiye sahihi, hao mawakala wanatakiwa wawasilishe hizo pesa serikalini, maana ni pesa ya serikali iliyolipwa na wananchi tena kwa lazima, kumbuka , ni kwa lazima!! Na endapo kuna ‘third party claim’ basi italipwa na serikali kupitia shirika la bima la taifa, legeza ubongo walau kidogo, itakusaidia sana.

3.)Hapo kwenye kukimbia na pesa ya mtu kwa upande wa serikali halitakuwepo, maana serikali ni self guaranteed entity, hivi serikali inaweza kukimbia? BOT ni ya serikali, hivyo its even better, maana ni ‘a self guaranteed entity’, hivyo ‘third party’ claims zitalipwa endapo zita arise.

4.) Rejea pointa na 1 hadi 3

Hii kodi ni stahiki ya serikali, kama huamin, usilipe hii kodi halfu ingiza gari lako barabarani ndio utaelewa.
1. Mkuu kuna kitu naona hatuelewani, ulazima wa kuilipa haimaanishi ni Kodi au stahiki ya serikali kumbuka Kodi inakatwa kwenye faida sio mapato. Sasa hiyo Premium ya third party ni "income" ndio maana kuna commission ya agent. Ni sawa tu na fire extinguisher ni lazima uwe nayo ila ulazima huo haimaanishi sasa fire extinguisher tuzinunue serikalini.

NB: ushindani haupo kwenye Bei tu mkuu, mfano KCB wanatoa mkopo wa bima yaani mfano hiyo 3rd party wanakulipia yote alafu wewe unapeleka labda elfu 12 Kila mwezi mpaka mwaka unaisha ushailipa kidogo kidogo. So unaweza ona competition Bado ipo ingawa Bei ni Ile Ile. Ukienda NMB nao utasikia lipia bima kidogo kidogo yaani muamala mpaka wa Buku unapokelewa!! So compeititon is still possible kwa product zenye fixed price.

2. Hawafikishi sehemu sahihi kivipi? Kampuni ya Bima inachukua risk so unakuta imewekeza kukulipia ajali ikitokea hivyo mteja hachukui hiyo 120k Bali italingana na ajali husika sasa hiyo risk ya Kampuni ya Bima ndio Ina charge premium kama mchango wa mteja how comes hiyo 120k ni ya serikali?? Embu ondoa kwanza wazo la Kodi hii ni mchango tu kama wa Upatu au Kikoba ambacho kampuni ya Bima ndio inachanga kwa wateja Ili mmoja wenu anapoleta claim basi atalipiwa hizo gharama ambazo mara nyingi huzidi hiyo 120k so Ile sio TAX ni CONTRIBUTION/PREMIUM.

3. Ndio maana nimekwambia kwa miongozo wa TIRA Kila kampuni ya Bima au Agency Inaweka dhamana BOT ya pesa Fulani ambayo italingana na mtaji hivi. So ikitokea mchango uliopitia kwa wakala haujafika NIC au Jubilee the TIRA itaenda kunyofoa kwenye dhamana Yako hivyo si kweli kuwa michango haifiki mahali sahihi.

4. Hakuna Kodi hapo huo ni mchango tu kama wa UPATU, gharama ni ya Kampuni ya Bima ambayo ita convert hiyo 120k ifike hata million 2 ikulipie ukipata claim.


TLDR; Ulazima wa kulipa 3rd party hakuifanyi kuwa Kodi maana Ile ni revenue tu. Kodi hukatwa kwenye benefit sio cost!!
 
1. Mkuu kuna kitu naona hatuelewani, ulazima wa kuilipa haimaanishi ni Kodi au stahiki ya serikali kumbuka Kodi inakatwa kwenye faida sio mapato. Sasa hiyo Premium ya third party ni "income" ndio maana kuna commission ya agent. Ni sawa tu na fire extinguisher ni lazima uwe nayo ila ulazima huo haimaanishi sasa fire extinguisher tuzinunue serikalini.

NB: ushindani haupo kwenye Bei tu mkuu, mfano KCB wanatoa mkopo wa bima yaani mfano hiyo 3rd party wanakulipia yote alafu wewe unapeleka labda elfu 12 Kila mwezi mpaka mwaka unaisha ushailipa kidogo kidogo. So unaweza ona competition Bado ipo ingawa Bei ni Ile Ile. Ukienda NMB nao utasikia lipia bima kidogo kidogo yaani muamala mpaka wa Buku unapokelewa!! So compeititon is still possible kwa product zenye fixed price.

2. Hawafikishi sehemu sahihi kivipi? Kampuni ya Bima inachukua risk so unakuta imewekeza kukulipia ajali ikitokea hivyo mteja hachukui hiyo 120k Bali italingana na ajali husika sasa hiyo risk ya Kampuni ya Bima ndio Ina charge premium kama mchango wa mteja how comes hiyo 120k ni ya serikali?? Embu ondoa kwanza wazo la Kodi hii ni mchango tu kama wa Upatu au Kikoba ambacho kampuni ya Bima ndio inachanga kwa wateja Ili mmoja wenu anapoleta claim basi atalipiwa hizo gharama ambazo mara nyingi huzidi hiyo 120k so Ile sio TAX ni CONTRIBUTION/PREMIUM.

3. Ndio maana nimekwambia kwa miongozo wa TIRA Kila kampuni ya Bima au Agency Inaweka dhamana BOT ya pesa Fulani ambayo italingana na mtaji hivi. So ikitokea mchango uliopitia kwa wakala haujafika NIC au Jubilee the TIRA itaenda kunyofoa kwenye dhamana Yako hivyo si kweli kuwa michango haifiki mahali sahihi.

4. Hakuna Kodi hapo huo ni mchango tu kama wa UPATU, gharama ni ya Kampuni ya Bima ambayo ita convert hiyo 120k ifike hata million 2 ikulipie ukipata claim.


TLDR; Ulazima wa kulipa 3rd party hakuifanyi kuwa Kodi maana Ile ni revenue tu. Kodi hukatwa kwenye benefit sio cost!!
1.) Na ndio maana nikasema legeza ubongo, itakusaidia. Hatukatai kwamba hiyo ndio mifumo na utaratibu iliyopo, ambayo sasa tunapendekeza ibadilike kisheria, kwamba sheria iboreshwe ili ku-accomdate mawazo mapya, this being said; unapolipa pesa dukani kwa ajili ya ‘fire extinguisher’ maana yake unapewa ‘fire extinguisher’ unaondoka nayo, na hata ukitaka unaweza ukamuuzia mtu mwingine kama bado hauja expire na ukarudisha pesa yako ukitaka.

Sasa unapolipa kodi ya ‘third parry’ ambayo wewe unaiita ni bima, ni kwamba unapata tu uhuru wa kutumia barabara bila bughudha trfiki polisi, kwa sababu mwisho wa siku hata ukamgonga mtu, haiwezekani ukakubali hii kesi ipelekwe mahakamani ili tu kampuni ya bima wamlipe huyo uliyemgonga, maana mwisho wa siku, bima watamtibia huyo uliyemgonga na kumpa fidia kwa madhara aliyopata, lakini wewe uliyefanya uzembe ni lazima uadhibiwe kidogo, maana huwezi ukawa kila siku wewe kazi yako ni kugonga watu na kuwavunja miguu na kugonga taa za barabarani na kusababisha uharibifu eti kisa umelipa kodi ya ‘third party’ hivyo itakulipia tu halafu basi, lazima pawe na consequences, kama umegonga gari ya mtu na ukavunja taa zake, basi bima italipa lakini na wewe unaweza kwenda jela, hata kama ni wiki 1 tu, ila lazima uadhibiwe, hivyo kwa madereva wenye akili timamu, huwa wanaongea na waliyemgonga, wanaenda wote dukani, anamnunulia taa mpya anamfungia mambo yanaisha. Mimi mwenyewe huwa nakata comprehensive, lakoni niliwahi kugonga gari ya mtu ila trafiki alivyokuja nikaomba nimtengenezee gari yake na tukamalizana, maana hakuna mtu anayetaka kufikishwa mahamani!!

Sasa kwa wale wachache ambao uharibifu waliofanya upo nje ya uwezo wao kulipia ndio wanajikuta kesi inaenda mahakamani na bima wanalipa (kwa barabarani hii ni asilimia ndogo sana!)

Kwahiyo mwisho wa siku, hii kodi ya ‘third pary’ inaenda tu kwenye mifuko ya watu, na kidoogo sana ndio italipa claims, watu wanaogaopa jela, nani aje adai hiyo pesa ilipe halafu yeye aende jela, huu ni uwendawazimu, hii kodi ifikishwe serikalini.

Kodi hii tunalipa kwa lazima na ni fixed price kwa mujibu wa sheria, hiyo kusema kulipa kidogo kidogo no utaratibu wa kazi tu na si ushindani, hata TRA wapo watu wanalipa kwa awamu 4 (installments), sasa TRA anashindana nani? Au kuna TRA nyingine wanashindana nayo?


2.)Wanapeleka sehemu isiyo sahihi baada ya wewe kukubali kwanza hii ni kodi na siyo bima, kubali kwanza hilo ndio utaona kwamba wanapeleka sehemu isiyo sahihi, kodi hii ifikishwe serikalini, na zile third party claims chache (kama zitakuwepo), zitalipwa na serikali kupitisha shirika la bima la taifa na mawakala watapewa comission yao kwa kazi ya kukusanya kodi ya serikali. Kodi hii ni ‘fixed amount’ , ni ‘compulsory’ na unapoilipa unapata ruhusa tu ya kutumia barabara bila bughudha, and thats it, ni kama leseni flani hivi, hivyo ni kodi, (rejea point namba 1 hapo juu).

3.) Hakuna aliyebisha juu ya hilo, kwa bima zingine ambazo sio za kulazimishana mfano za comprehensive, bima za nyumba , na za afya huo mfumo uendelee tu kutumika, lakini kwa kodi ya ‘third party’ serikali itaunda sera zake za kuisimamia kodi hii na kulipa claim( if they arise).

4.) Rejea point namba 1 na 2, hii ni kodi na ifikishwe serikalini, hakuna upatu wa kulazimishana kwenye jasho la mtu, hii ni kodi.
 
Back
Top Bottom