Matrillioni ya pesa yanayokusanywa na makampuni ya Bima kupitia mawakala wao ni za serikali au ni za nani?

Matrillioni ya pesa yanayokusanywa na makampuni ya Bima kupitia mawakala wao ni za serikali au ni za nani?

1.) Na ndio maana nikasema legeza ubongo, itakusaidia. Hatukatai kwamba hiyo ndio mifumo na utaratibu iliyopo, ambayo sasa tunapendekeza ibadilike kisheria, kwamba sheria iboreshwe ili ku-accomdate mawazo mapya, this being said; unapolipa pesa dukani kwa ajili ya ‘fire extinguisher’ maana yake unapewa ‘fire extinguisher’ unaondoka nayo, na hata ukitaka unaweza ukamuuzia mtu mwingine kama bado hauja expire na ukarudisha pesa yako ukitaka.

Sasa unapolipa kodi ya ‘third parry’ ambayo wewe unaiita ni bima, ni kwamba unapata tu uhuru wa kutumia barabara bila bughudha trfiki polisi, kwa sababu mwisho wa siku hata ukamgonga mtu, haiwezekani ukakubali hii kesi ipelekwe mahakamani ili tu kampuni ya bima wamlipe huyo uliyemgonga, maana mwisho wa siku, bima watamtibia huyo uliyemgonga na kumpa fidia kwa madhara aliyopata, lakini wewe uliyefanya uzembe ni lazima uadhibiwe kidogo, maana huwezi ukawa kila siku wewe kazi yako ni kugonga watu na kuwavunja miguu na kugonga taa za barabarani na kusababisha uharibifu eti kisa umelipa kodi ya ‘third party’ hivyo itakulipia tu halafu basi, lazima pawe na consequences, kama umegonga gari ya mtu na ukavunja taa zake, basi bima italipa lakini na wewe unaweza kwenda jela, hata kama ni wiki 1 tu, ila lazima uadhibiwe, hivyo kwa madereva wenye akili timamu, huwa wanaongea na waliyemgonga, wanaenda wote dukani, anamnunulia taa mpya anamfungia mambo yanaisha. Mimi mwenyewe huwa nakata comprehensive, lakoni niliwahi kugonga gari ya mtu ila trafiki alivyokuja nikaomba nimtengenezee gari yake na tukamalizana, maana hakuna mtu anayetaka kufikishwa mahamani!!

Sasa kwa wale wachache ambao uharibifu waliofanya upo nje ya uwezo wao kulipia ndio wanajikuta kesi inaenda mahakamani na bima wanalipa (kwa barabarani hii ni asilimia ndogo sana!)

Kwahiyo mwisho wa siku, hii kodi ya ‘third pary’ inaenda tu kwenye mifuko ya watu, na kidoogo sana ndio italipa claims, watu wanaogaopa jela, nani aje adai hiyo pesa ilipe halafu yeye aende jela, huu ni uwendawazimu, hii kodi ifikishwe serikalini.

Kodi hii tunalipa kwa lazima na ni fixed price kwa mujibu wa sheria, hiyo kusema kulipa kidogo kidogo no utaratibu wa kazi tu na si ushindani, hata TRA wapo watu wanalipa kwa awamu 4 (installments), sasa TRA anashindana nani? Au kuna TRA nyingine wanashindana nayo?


2.)Wanapeleka sehemu isiyo sahihi baada ya wewe kukubali kwanza hii ni kodi na siyo bima, kubali kwanza hilo ndio utaona kwamba wanapeleka sehemu isiyo sahihi, kodi hii ifikishwe serikalini, na zile third party claims chache (kama zitakuwepo), zitalipwa na serikali kupitisha shirika la bima la taifa na mawakala watapewa comission yao kwa kazi ya kukusanya kodi ya serikali. Kodi hii ni ‘fixed amount’ , ni ‘compulsory’ na unapoilipa unapata ruhusa tu ya kutumia barabara bila bughudha, and thats it, ni kama leseni flani hivi, hivyo ni kodi, (rejea point namba 1 hapo juu).

3.) Hakuna aliyebisha juu ya hilo, kwa bima zingine ambazo sio za kulazimishana mfano za comprehensive, bima za nyumba , na za afya huo mfumo uendelee tu kutumika, lakini kwa kodi ya ‘third party’ serikali itaunda sera zake za kuisimamia kodi hii na kulipa claim( if they arise).

4.) Rejea point namba 1 na 2, hii ni kodi na ifikishwe serikalini, hakuna upatu wa kulazimishana kwenye jasho la mtu, hii ni kodi.
1) Mkuu uwe unatumia data, mbona TIRA inatoa data Kila mwaka za claims. Mfano mwaka 2020 ripoti ya TIRA inasema kampuni za bima ziliingia hasara ya Billion 30 ikiwemo uwepo wa ajali nyingi hivyo claims zilikua juu sana. Njoo na takwimu mkuu sio maneno, kama wewe haufati sheria usidhani nchi nzima hawafuati sheria. Huwezi lazimisha serikali ibadili sera ya bima eti kisa wahuni wachache mnataka shortcut za kulipana kinyume na utaratibu.

2. Ile sio Kodi ni mchango maana hakuna ajali utakayofidia 120k haipo!! Fidia ya taa tu inazidi huo mchango wako kwa mwaka mzima. Kingine Ile hulipii kuepuka bugudha Bali ni usalama barabarani maana unaweza mgonga mtu na hauna Hela so Ile itaguarantee kwamba haki itapatikana kwa madhara uliyosababisha. Nachokiona watu msiopenda compliance ndio mnaiona kama Kodi, Ile sio "stika ya Wiki ya nenda kwa usalama barabarani" Ile ni package ya kufidia majeraha ya gari na mtu. Bima wanachukua 120k ila watalipa mara 20 ya hiyo sasa unaposema ni Kodi serikali itaweza kulipa mara 20 ya mahari ya nchi nzima? Si madai yatafikia trillion 1 kwa mwaka!!!

3. Sio za kulazimishana? Kaombe mkopo benki kama nyumba Yako haina bima ya moto hupewi!! Hata ukisafirisha mzigo wa thamani huwezi pewa tender ya Lori lako kama halina bima ya kusecure mzigo Au wizi!! Sababu tu hamshikiwi fimbo haimaanishi sio lazima, tukienda kwa staili hiyo mtarudi hapa kulialia kua tozo zimezidi.

4. Mbona fire extinguisher ni lazima ila sijaona ukisema tukanunue pale OSHA? Kodi ni pesa ila Bima ni mchango maana ukiidai haupewi 120k ila utapewa Mamillioni..... So nachoshauri kaongeze Elimu ya bima kabla ya kuhalalisha uvunjifu wa sheria wa kuepuka mahakama Ili mlipane mtaani!!!
 
Swali la msingi.
Hawa jamaa hawachapishi hata hesabu zao.
Hawa jamaa wanaishi kwenye ujinga wetu na udhaifu wa sheria.

Nilitaka kufungua kampuni ya kuwasaidia wanaopata ajali haswa wa mabasi nk kwa kuzingatia uelewa wa bima uko chini...
Nilijibiwa kuwa sheria haijatoa mwanya huo ....yaani wao wanakusanya tuuuu....na madai washughulikie tena wao.????
Na usipodai kimyaaaa....


Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
 
1) Mkuu uwe unatumia data, mbona TIRA inatoa data Kila mwaka za claims. Mfano mwaka 2020 ripoti ya TIRA inasema kampuni za bima ziliingia hasara ya Billion 30 ikiwemo uwepo wa ajali nyingi hivyo claims zilikua juu sana. Njoo na takwimu mkuu sio maneno, kama wewe haufati sheria usidhani nchi nzima hawafuati sheria. Huwezi lazimisha serikali ibadili sera ya bima eti kisa wahuni wachache mnataka shortcut za kulipana kinyume na utaratibu.

2. Ile sio Kodi ni mchango maana hakuna ajali utakayofidia 120k haipo!! Fidia ya taa tu inazidi huo mchango wako kwa mwaka mzima. Kingine Ile hulipii kuepuka bugudha Bali ni usalama barabarani maana unaweza mgonga mtu na hauna Hela so Ile itaguarantee kwamba haki itapatikana kwa madhara uliyosababisha. Nachokiona watu msiopenda compliance ndio mnaiona kama Kodi, Ile sio "stika ya Wiki ya nenda kwa usalama barabarani" Ile ni package ya kufidia majeraha ya gari na mtu. Bima wanachukua 120k ila watalipa mara 20 ya hiyo sasa unaposema ni Kodi serikali itaweza kulipa mara 20 ya mahari ya nchi nzima? Si madai yatafikia trillion 1 kwa mwaka!!!

3. Sio za kulazimishana? Kaombe mkopo benki kama nyumba Yako haina bima ya moto hupewi!! Hata ukisafirisha mzigo wa thamani huwezi pewa tender ya Lori lako kama halina bima ya kusecure mzigo Au wizi!! Sababu tu hamshikiwi fimbo haimaanishi sio lazima, tukienda kwa staili hiyo mtarudi hapa kulialia kua tozo zimezidi.

4. Mbona fire extinguisher ni lazima ila sijaona ukisema tukanunue pale OSHA? Kodi ni pesa ila Bima ni mchango maana ukiidai haupewi 120k ila utapewa Mamillioni..... So nachoshauri kaongeze Elimu ya bima kabla ya kuhalalisha uvunjifu wa sheria wa kuepuka mahakama Ili mlipane mtaani!!!
1.) Na ndio maana toka mwanzo nilisisitiza, legeza ubongo, itakusaidia sana. Mimi naongelea claims toka kwa ‘thirdparty’ wewe unaleta data za claims Za bima zote. Kwa bima zote za Comprehensive za magari, bima za nyumba, bima za afya nk. nk. lazima kuna mwaka linaweza kutokea janga (mfano Corona mwaka 2020) na hizo kampuni zikafanya malipo makubwa hasa kwenye afya; hapa tunazungumzia madai / claims toka kwa ‘third party’, yaani mtu agonge gari la mtu halafu badala ya kulipa yeye mwenyewe eti aiachie bima ndio ilipe halafu yeye aende jela mwezi, hiyo itakuwa ni akili au ni uwemdawazimu. So mwisho wa siku hii kodi ya ‘third party’ ni kama tunashurutishwa tu kuwapa sadaka hawa mabeberu, ni kodi ya serikali na tutahakikisha inafika serikalini.

2.)Suala la kwamba hakuna malipo ya bima ya 120k hilo hakuna aliyebisha, tunachosema, na tunarudia kwa mara ya 10 kusema, ni kwamba hakuna dereva mwenye akili timamu ataacha kugharamikia fidia ya uharibifu aliosababisha barabarani, mfano kaginga taa ya mtu mwingine halafu aseme bima italipa kisa amekata ‘third party’ knowing dully well kwamba atapandishwa kizimbani kujibu mashitaka, then bima itanunua hiyo taa halafu yeye akatumikie kifungo, inaingia akilini hiyo kweli?! Yaani sheeianya bima na sheria ya adhabu zinafanya conspiracy ya kukwapua matrillioni ya waTz kila mwaka brutally , mercilessly, forcefully, bila huruma, halafu tukae kimya?! Sheria iboreshwe na irekebishwe kuindoa unyonyaji huu wa mabeneeu, kodi hii tunayokamuliwa ni nyingi mno, inaumiza sana, kodi hii iwasilishwe seriaklini, na kama kweli itakuwepo claim toka kwa ‘third party’, basi serikali italipa (kama itakuwepo!)

3.)Ofcourse hizo sio za kulazimishana, kwani mkpo unalazimishwa kwenda kuukopa au ni uamuzi wako mwenyewe? Na kama masharti yao ni nyumba iwe na bima basi una uamuzi wa kukopa au kutokukopa, Badala yake unaweza ukauza hata hiyo nyumba ili upate pesa unayohitaji, uamuzi ni wako. Bima ya afya ni kulazimishwa? Ulishawahi mtu kakamatwa na polisi kisa hajakata bima ya afya? Bima ya comprehensive ni lazima? Umeshawahi kusikia mtu amekamatwa kisa hajakata bima comprehensive? Hizi bima hazina tatizo na ni halali kabisa, sababu ni uamuzi wako, haushirutishwi na polisi kulipa.

4.) Huo mfano wa fire extinguisher ni tofauti na ‘thirdparty’; nimeshajibu kwenye post ya juu, nacopy na kupaste jibu nililokupa hapa chini.

1.) Na ndio maana nikasema legeza ubongo, itakusaidia. Hatukatai kwamba hiyo ndio mifumo na utaratibu iliyopo, ambayo sasa tunapendekeza ibadilike kisheria, kwamba sheria iboreshwe ili ku-accomdate mawazo mapya, this being said; unapolipa pesa dukani kwa ajili ya ‘fire extinguisher’ maana yake unapewa ‘fire extinguisher’ unaondoka nayo, na hata ukitaka unaweza ukamuuzia mtu mwingine kama bado hauja expire na ukarudisha pesa yako ukitaka.

Sasa unapolipa kodi ya ‘third parry’ ambayo wewe unaiita ni bima, ni kwamba unapata tu uhuru wa kutumia barabara bila bughudha trfiki polisi, kwa sababu mwisho wa siku hata ukamgonga mtu, haiwezekani ukakubali hii kesi ipelekwe mahakamani ili tu kampuni ya bima wamlipe huyo uliyemgonga, maana mwisho wa siku, bima watamtibia huyo uliyemgonga na kumpa fidia kwa madhara aliyopata, lakini wewe uliyefanya uzembe ni lazima uadhibiwe kidogo, maana huwezi ukawa kila siku wewe kazi yako ni kugonga watu na kuwavunja miguu na kugonga taa za barabarani na kusababisha uharibifu eti kisa umelipa kodi ya ‘third party’ hivyo itakulipia tu halafu basi, lazima pawe na consequences, kama umegonga gari ya mtu na ukavunja taa zake, basi bima italipa lakini na wewe unaweza kwenda jela, hata kama ni wiki 1 tu, ila lazima uadhibiwe, hivyo kwa madereva wenye akili timamu, huwa wanaongea na waliyemgonga, wanaenda wote dukani, anamnunulia taa mpya anamfungia mambo yanaisha. Mimi mwenyewe huwa nakata comprehensive, lakoni niliwahi kugonga gari ya mtu ila trafiki alivyokuja nikaomba nimtengenezee gari yake na tukamalizana, maana hakuna mtu anayetaka kufikishwa mahamani!!

Sasa kwa wale wachache ambao uharibifu waliofanya upo nje ya uwezo wao kulipia ndio wanajikuta kesi inaenda mahakamani na bima wanalipa (kwa barabarani hii ni asilimia ndogo sana!)

Kwahiyo mwisho wa siku, hii kodi ya ‘third pary’ inaenda tu kwenye mifuko ya watu, na kidoogo sana ndio italipa claims, watu wanaogaopa jela, nani aje adai hiyo pesa ilipe halafu yeye aende jela, huu ni uwendawazimu, hii kodi ifikishwe serikalini.

Kodi hii tunalipa kwa lazima na ni fixed price kwa mujibu wa sheria, hiyo kusema kulipa kidogo kidogo no utaratibu wa kazi tu na si ushindani, hata TRA wapo watu wanalipa kwa awamu 4 (installments), sasa TRA anashindana nani? Au kuna TRA nyingine wanashindana nayo?”
 
Nani kabisha hilo, pesa iende serikalini, huyo third party atalindwa tu na serikali, hatuwezi kushindwa kumlinda kama taifa. Kama Umeme hakuna anaeruhusiwa kusambaza, basi hata hii inapaswa iwe chini ya serikali, watu tunalazimishwa kuwalipa watu binafsi trillion 3 kila mwaka kiulaini tu bila jasho, na usipolipa polisi wanakukamata, hivi ni ubongo au makalio tunayotumia kuwaza? Seriously?! Halafu watu wanarudisha kodi ya kichwa ili kuungeza mapato, wakati tumewcha wahindi wanachota tu pesa matrillion kwa kutulazimisha?!
Biashara tangu lini ikawa ya kulazimishana? Huu si ujambazi, kama ni lazima means hii ni kodi kama kodi zingine, sasa iweje mtu binafsi anachukua kodi trillion 3 , sisi ni mataahira??!!
Hakika umesema ukweli. Wengi tunakata bima ya 3rd party hatufaidiki na bima hii ata tukipata ajali ya magari yetu. BIG UP DON.
 
FRANCIS DA DON kumbe hamtaki kufuata sheria eeh!! Mie nikadhani mkienda kudai Hela mnanyimwa kumbe uoga wa mahakama ndio unafanya msifaidike!! Sasa hapo serikali ifanye nini? Yaani ihalalishe sheria kuvunjwa kisa mnaogopa kesi ifike mahakamani!! That's BS.

2. Unahama hoja Yako, wewe ulidai pesa hazifiki mahali sahihi na kwamba matrillion yanaishia kwa mawakala. Ndio nmekuambia zinafika kwa makampuni ya Bima huku mawakala wanapata commission tu tofauti na unavyotoa povu hapa kwamba wapewe commission tu as if sahivi wanabeba mzigo wote!!

3. Nimetumia takwimu za general maana wewe unadai kampuni za bima zinaingiza faida ila ukweli ni kwamba zinaendeshwa kwa hasara sana hasa kwenye bima za vyombo vya usafiri. Nmekupa data hapo za TIRA naomba wewe uje na data za kuonyesha faida Ili tuamini haya mapovu Yako yana uhalali.

4. Narudia tena Ile sio faida ile ni mchango kama Upatu..... Yaani watu 60 mkichanga ndio inalipa fidia ya mtu mmoja!! Ko Ina maana kama 59 mtaogopa polisi akienda mtu mmoja tu anazoa michango yenu!! Sasa unadhani hiyo 120 k ndio faida?? Kodi inakatwa kwenye BENEFIT sio COST!! haya mambo lazima upite darasani ndio uelewe usichambue kama layman.

4. Nimetoa hesabu ya claims kwa ujumla sababu wewe unadhani Kila mtu anaogopa kudai na eti hawezi shinda kesi mahakamani. Ndio maana nimekupa data kuwa michango ya wananchi ilizidiwa na malipo yaliyofanywa na bima Ili uondoe huo ushamba wako wa kuogopa mahakama ukidhani watu walioenda shule watakua waoga kama wewe usiefahamu hata sheria zinakulindaje.
 
FRANCIS DA DON kumbe hamtaki kufuata sheria eeh!! Mie nikadhani mkienda kudai Hela mnanyimwa kumbe uoga wa mahakama ndio unafanya msifaidike!! Sasa hapo serikali ifanye nini? Yaani ihalalishe sheria kuvunjwa kisa mnaogopa kesi ifike mahakamani!! That's BS.

2. Unahama hoja Yako, wewe ulidai pesa hazifiki mahali sahihi na kwamba matrillion yanaishia kwa mawakala. Ndio nmekuambia zinafika kwa makampuni ya Bima huku mawakala wanapata commission tu tofauti na unavyotoa povu hapa kwamba wapewe commission tu as if sahivi wanabeba mzigo wote!!

3. Nimetumia takwimu za general maana wewe unadai kampuni za bima zinaingiza faida ila ukweli ni kwamba zinaendeshwa kwa hasara sana hasa kwenye bima za vyombo vya usafiri. Nmekupa data hapo za TIRA naomba wewe uje na data za kuonyesha faida Ili tuamini haya mapovu Yako yana uhalali.

4. Narudia tena Ile sio faida ile ni mchango kama Upatu..... Yaani watu 60 mkichanga ndio inalipa fidia ya mtu mmoja!! Ko Ina maana kama 59 mtaogopa polisi akienda mtu mmoja tu anazoa michango yenu!! Sasa unadhani hiyo 120 k ndio faida?? Kodi inakatwa kwenye BENEFIT sio COST!! haya mambo lazima upite darasani ndio uelewe usichambue kama layman.

4. Nimetoa hesabu ya claims kwa ujumla sababu wewe unadhani Kila mtu anaogopa kudai na eti hawezi shinda kesi mahakamani. Ndio maana nimekupa data kuwa michango ya wananchi ilizidiwa na malipo yaliyofanywa na bima Ili uondoe huo ushamba wako wa kuogopa mahakama ukidhani watu walioenda shule watakua waoga kama wewe usiefahamu hata sheria zinakulindaje.
1.) Tunachosema ni kwamba sheria ibadilishwe kuendana na mawazo mapya kwa manufaa ya umma. Kodi ya ‘third party’ ifikishwe serikalini ili walau ikasaidie kuongeza vitanda vya kujifungulia mahospitalini; maana uhalisia ndio huo, watu hawako tayari kufikishwa mahakamani hivyo huwa wanamalizana wenyewe kwa wenyewe, na mwisho wa siku hii kodi ni kama tunaitoa sadaka tu kwa mabeberu, sheria ya adhabu na bima inatumika na mabeberu kufanya uchotajo wa matrillion ya wananchi kil mwaka , tena bila huruma. Sheria ibadilishwe na hivyo kodi hii sasa iwasilishwe serikalini na mawakala badala ya Kupewa mabeberu.

2.)Wapi nimesema kwamba zinaishia kwa mawakala?, tumesema kodi hii ya ‘third party’ inawasilishwa mahali si sahihi, maana yake inawasilishwa kwa makampuni ya bima badala ya kuwasilishwa serikalini; regardless imepitia kwa mawakala au kwa medium nyingine (kama ipo). legeza ubongo, kuwa tayari kusoma na kuelewa, sio kupinga tu.

3.) Kama kampuni za bima zinaingiza hasara kutokana na hizo bima nyingine halali za hiari, hiyo ni juu yao katika uendeshaji wa biashara zao, sisi haituhusu, huwezi ukatulazimisha wananchi tubebe mzigo wa kufidia hasara za biashara yao kama kweli ipo (kuwapa ruzuku ya matrilioni) inayosabanishwa na wahindi na waarabu koko kama akina GSM wanaochoma moto viwanda vyao kwa makusudi ili kulipwa mabilioni ya fidia; wapambane kufanya biashara zao ziwe na faida (kama ni kweli zinapata hasara); ila muda wa waTz kukamuliwa matrillion ya kodi ambayo haifikishwi serikalini umefika mwisho.., kodi hii ifikishwe serikalini.

4.) Hicho unachosema ni sawa, ila kifanyike kwa hizo bima halali za hiari za nyumba , afya na comprehensive za magari, hizo hazina shida na ziendelee tu kwa mfumo huo. Ila kwa hii kodi ya ‘third party’ ifikishwe serikalini, huwezi kuchezea upatu kodi ya serikali iliyolipwa kwa lazima, chezeni huo upatu kwenye hizo zinazolipwa kwa hiari, hakuna upatu wa kulazimishana kwa mtutu wa bunduki.

5.) Sijasema kila mtu anaogopa kudai, ni wale tu waliosababisha madhara kwa ‘mtu wa tatu’ (third party) ndio huwa hawaoni tija kudai, kwamba bima ilipe taa niliyovunja halafu mimi niende jela wiki 2, huo utakuwa uchizi. Ila kama nilikata bima ya nyumba na ikawaka moto ni kwanini niogope kudai? Au nilikata bima ya gari comprehensive na ikaibiwa, ni kwanini niogope kudai? Au nilikata bima ya afya na nikaugua, ni kwanini niogope kutumia kadi yangu hospitali? Legeza ubongo na funua akili kwa lengo la kuelewa, sio kupinga tu.
 
Bima kuwalipa wao ni lazima ila kukulipa ww ukipata ajali ndio utakua hujui.chombo yangu ilipata ajali nilizungushwa hapo buguruni hadi nikatoa chombo kuenda kutengeneza mwenyewe. Hao bumaco insurance hawakunipa hata kumi.kuanzia hapo nikawa silipi tena bima chombo inatembea kivyake police akimkamata dereva anakula buku tano.poor kabisa.
 
Hakika umesema ukweli. Wengi tunakata bima ya 3rd party hatufaidiki na bima hii ata tukipata ajali ya magari yetu. BIG UP DON.
Unaelewa maana ya third party? Utafaidika vipi na third party insurance wakati haikulindi wewe mwenye gari? Kama unataka kufaidika kata comprehensive Mkuu.
 
Unaelewa maana ya third party? Utafaidika vipi na third party insurance wakati haikulindi wewe mwenye gari? Kama unataka kufaidika kata comprehensive Mkuu.
Ni vizuri umemwelewesha. Ila sasa, ni vyema kodi hii ya ‘third party’ ikaanza kuwasilishwa serikaloni, the earlier, the better
 
Ni vyema sasa kodi hiicya ‘third party’ ikaanza kuwasilishwa serikalini
 
Sasa kwanini serikali ishurutishe raia kuchangia watu binafsi matrilion kila mwaka ilihali yenyewe inakosa hata pesa ya kuboresha miundombinu ya barabara? Ni kwanini hii pesa ya bima isiende serikalini ili ikasaidie kuboresha huduma za kijamii, na kama mtu akihitaji kulipwa bima afuatilie moja kwa moja serikalini kupitia mawakala wa bima waliopo kila kona? Kwanini tulazimishwe na polisi kuchangia watu binafsi matrilioni kila mwaka?! Why?! Trillion 3 kila mwaka tunalizimishwa kuwalipa, kwnai nchi yao hii?!!
Kwani NIC, si ipo na ilikuwepo miaka na miaka ikashindwa jukumu hilo hadi kuamua kuwepo na watu binafsi?!!hiyo NIC nayo ni kama TTCL tu, hakuna kinachofanyika zaidi ya hasara tu.huko unakosema tulikuwa huko miaka mingi yakashindikana.
 
Kwani NIC, si ipo na ilikuwepo miaka na miaka ikashindwa jukumu hilo hadi kuamua kuwepo na watu binafsi?!!hiyo NIC nayo ni kama TTCL tu, hakuna kinachofanyika zaidi ya hasara tu.huko unakosema tulikuwa huko miaka mingi yakashindikana.
Nani kabisha juu ya hayo? Tunachosema ni kwamba hii kodi ya ‘Third party’ iende serikalini, na madai yote ya ‘third party’ (kama yatakuwepo) yalipwe na serikali kupitia shirika la bima la taifa. Kwa hizo bima zingine za hiari kwa shirika la serikali uwezekano wa kufilisika ni mkubwa ndio, ila hapa tunazungumzia hii kodi ya ‘thirdparty’ ambayo utake usitake, upende usipende, ni lazima ulipe.
 
Ni muda sahihi kwa kodi hii ya ‘thirdparty’ kuanza kuwasilishwa serikalini
 
Back
Top Bottom