Matukio kama haya ya Kimafia yenye kutumia Akili Kubwa ndiyo yananifanya nizidi tu KuwapendaWaisraeli 24/7

Matukio kama haya ya Kimafia yenye kutumia Akili Kubwa ndiyo yananifanya nizidi tu KuwapendaWaisraeli 24/7

Mzayuni anatembezewa moto na Hamas haijawahi kutokea. Qasam brigade walivyo watwanga Golan brigade mpaka Nyau akaamua kuwaondoa Gaza wasije wakamalizwa sababu ndio kikosi kinacho aminiwa cha mzayuni.
Hamas imezungukwa pande zote, haipati msaada kutoka nje kama wazayuni wanavyo pokea misaada usiku na mchana kutoka nchi zote za magharibi lakini Qasam brigade inatoa kipigo kitakatifu iliobaki kwa mzayuni ni kupiga makazi na kuuwa raia tu.

Hii vita itakua ni "Case Study" kwenye vyuo vingi vya kijeshi duniani kufundisha mbinu za Qasam brigade katika vita hii.

Wanadai Hamas wamechukua mateka, wanasau wazayuni pia wamechukua mateka wengi raia na kuwafunga bila kuwapeleka mahakamani. Mkuki kwa nguruwe kwa binaadamu mchungu.
Mpaka leo mwezi wa nne mzayuni hajaonesha hata askari mmoja wa Hamas wamemteka au kumuuwa na mateka wao ndio hawajawapata hata harufu.

Na kipigo kiendee kutolewa mpaka mazayuni na washirika wake akili iwakae sawa.

Mtumwa siku zote yuko upande wa dhalimu
 
Kwanza ile stori ya kukomboa mateka ni uongo na haipo😅😅😅utoke Israel mpaka unganda kukomboa kwa intelijensia wakata hapo jirani miezi mitatu na zaidi hujui walipo umeshindwa kukomboa...Umebaki kubahatisha .

Story nyingi ni za uongo wala hamna mnachojua zaidia ya propagandist rumours..
 
Tatizo langu la Mental Case linazidi hili lako la hapa chini kwa kujua fika kuwa hujui Kiingereza halafu unajitutumua Kukiandika halafu Unakikisea na Kukichapia?
View attachment 2895756
View attachment 2895757
Nasubiri majibu tafadhali.
Genta tafadhali bana. Hii kutuvunja mbavu ahsubuhi hivi ni hatari kwa umma 😀 😀 😀 😀

Si angeandika kwa kiswahili tu kama sisi maamuma wengine
 
Wiki iliyopita Makomandoo wa Israel ( Sayeret Matkal ) waitumia Akili Kubwa kama ile waliyoitumia kule nchini Uganda walipoenda kuokoa Mateka Wao mbele ya Idi Amini ambayo hata hivyo ilisababisha Kifo cha Komandoo mahiri aitwae Yurin ( Yuri ) Netanyahu ambaye alikuwa ni Kaka mkubwa wa Waziri Mkuu wa sasa wa Israel na Role Model wangu Tukuka aitwae Benjamin BIBI Netanyahu.

Pamoja na Wapalestina waliokuwa Wakisaidiwa na Wahuni akina HAMAS kuweka Ulinzi wa Kutosha katika moja ya Hospitali yao iliyokuwa Ikitibu Wagonjwa ( Majeruhi ) wengi ambao Wengine walikuwa ni Wanamgambo wa Wahuni HAMAS bado Waisraeli waliwaonyesha kuwa hapa duniani hakuna Wanadamu wenye Akili Kubwa na wanaojua kuzitumia vyema kama Wao.

Baada ya Makomandoo wa Israel kugundua hilo huku wakiwa na Taarifa za kutosha kuwa Magaidi Wahuni wa HAMAS wako pale Hospitalini wakipatiwa Matibabu waliamua kutua Akili Kubwa hii ifuatayo yenye Ubunifu wa Kipekee na inayofaa katika Oparesheni zozote zile dhidi ya Maadui Wapumbavu kama HAMAS na Wapalestina wanaowapa Jeuri, Kiburi na hata Hifadhi pia.

Makomandoo wa Israel waliamua Kutafuta Askari wa Kike wa Kiyahudi kisha wakavalisha Nguo waonekane kama ni Wajawazito nz wanahitaji Huduma ya haraka huku Wengine wakijifanya wamebeba Watoto na Wamejeruhiwa Vitani na baadhi yao ( wakijifanya ni Wazee. ) wakiwa katika Wheelchairs zao na wanawahishwa kuingia ndani mule Hospitalini.

Na kuonyesha kuwa Waisraeli kwa Akili Kubwa ( hasa Makomandoo wao hawa ) walihakikisha kuwa hawa Watu wote ( wa Kimkakati ) waliowaandaa wanajua Kuzungumza lugha ya Kipalestina ili Waaminkke upesi na Walinzi wa Kipalestina waliokuwepo pale Getini kwa Hospitalini nz ndani huku ndani ya Nguo zao wakiwa wameficha Silaha zao kwa ajili ya Oparesheni hiyo iliyofana / iliyofanikiwa 100%

Hili lilipofanyika Makomandoo hawa wa Kiisraeli walihakikisha pia kuwa hata Watu waliokuwa Wakiwatumia / Wakitumikia kuwasindikiza Hospitalini wale Wagonjwa ( Majeruhi ) Feki nao walikuwa ni Special Force ( Makomandoo ) hivyo walipofanikiwa tu Kuingia mule Hospitalini walianzisha Mtiti ( Mapigano ) hali iliyopelekea hadi Kuua Maadui Walengwa Wao na Kuondoka kwa haraka huku wakiwa wamevalia Kininja na Kuficha Uso / Nyuso zao.

Akili Kubwa hii ya Makomandoo wa Israeli ( Sayeret Matkal ) imenifanya GENTAMYCINE nami Nikihoji tu kimya kimya kuwa je, Makomandoo wa ZUZU NATION nao wanaweza kutumia Akili Kubwa kama hii iliyotumika na Wenzao wa Israeli?

au labda uwezo wa Kufikiri hawana kabisa zaidi ya Kujitutumua tu Viwanjani katika Maonyesho yao na kutishia kufanya Usafi siku ambayo akina GENTAMYCINE nao wameamua kufanya Maandamano ya Kupambana na Maadui wakubwa Wanne 1. Ujinga, 2. Maradhi, 3. Umasikini na 4. Upumbavu uliotukuka..

Daima huwa sipendi Vibovu Vibovu.
Aisee nimefuatilia ule mtiti nikaishia kusema, sisi tuna safari ndefu sana kufikia matumizi ya akili zetu za kuvukia barabara.
Makomando wetu wapo bize kupigapiga raia mitaani na kusaka sare zao huku wakiwashusha madereva wa daladala wakiwa kwenye mwendo mkoli..

Tuna jeshi ambalo nidhamu yake ni kwa makamanda wao na si kwa nchi yaani raia
 
Mpaka sasa Askari Wawili wa ZUZU NATION wamejeruhiwa na M23 jiandaeni kuwapokea pale Airwing Kiwalani muda wowote kuanzia sasa na mkawatibu pale Hospitalini Kwao jirani na Kawe.
Acha kuchafua jeshi linalolinda, kupata majeruhi kwenye uwanja wa vita ni kawaida
 
Acha kuchafua jeshi linalolinda, kupata majeruhi kwenye uwanja wa vita ni kawaida
Nidhamu ni msingi. Jeshi letu yes linalinda lakini halina nidhamu kwa wanaolilipa mishahara yao yaani raia...

Sisi siyo mazuzu bana
 
Mazayuni wanaandamana huko hawamtaki Netanyahu we kalia ushabiki tu,,, Hamas wapigania uhuru wanazidi kutembeza dozi wakati zayuni anapiga wagonjwa hospital
Mpaka sasa wapalestina zaidi ya elfu 30 wameshawaishwa kwenda kupokea zile bikira swafi za kiarabu 72 sheikh wangu.
 
Mental case anakwambia askari wa kike walizungumza kipalestina ili kuwahadaa walinzi, unajiuliza hivi kuna lugha ya kipalestina kweli, hajui kule zinaongelewa kugha za kiarabu na kiyahudi. Kweli ushamba mzigo.
 
Wiki iliyopita Makomandoo wa Israel ( Sayeret Matkal ) waitumia Akili Kubwa kama ile waliyoitumia kule nchini Uganda walipoenda kuokoa Mateka Wao mbele ya Idi Amini ambayo hata hivyo ilisababisha Kifo cha Komandoo mahiri aitwae Yurin ( Yuri ) Netanyahu ambaye alikuwa ni Kaka mkubwa wa Waziri Mkuu wa sasa wa Israel na Role Model wangu Tukuka aitwae Benjamin BIBI Netanyahu.

Pamoja na Wapalestina waliokuwa Wakisaidiwa na Wahuni akina HAMAS kuweka Ulinzi wa Kutosha katika moja ya Hospitali yao iliyokuwa Ikitibu Wagonjwa ( Majeruhi ) wengi ambao Wengine walikuwa ni Wanamgambo wa Wahuni HAMAS bado Waisraeli waliwaonyesha kuwa hapa duniani hakuna Wanadamu wenye Akili Kubwa na wanaojua kuzitumia vyema kama Wao.

Baada ya Makomandoo wa Israel kugundua hilo huku wakiwa na Taarifa za kutosha kuwa Magaidi Wahuni wa HAMAS wako pale Hospitalini wakipatiwa Matibabu waliamua kutua Akili Kubwa hii ifuatayo yenye Ubunifu wa Kipekee na inayofaa katika Oparesheni zozote zile dhidi ya Maadui Wapumbavu kama HAMAS na Wapalestina wanaowapa Jeuri, Kiburi na hata Hifadhi pia.

Makomandoo wa Israel waliamua Kutafuta Askari wa Kike wa Kiyahudi kisha wakavalisha Nguo waonekane kama ni Wajawazito nz wanahitaji Huduma ya haraka huku Wengine wakijifanya wamebeba Watoto na Wamejeruhiwa Vitani na baadhi yao ( wakijifanya ni Wazee. ) wakiwa katika Wheelchairs zao na wanawahishwa kuingia ndani mule Hospitalini.

Na kuonyesha kuwa Waisraeli kwa Akili Kubwa ( hasa Makomandoo wao hawa ) walihakikisha kuwa hawa Watu wote ( wa Kimkakati ) waliowaandaa wanajua Kuzungumza lugha ya Kipalestina ili Waaminkke upesi na Walinzi wa Kipalestina waliokuwepo pale Getini kwa Hospitalini nz ndani huku ndani ya Nguo zao wakiwa wameficha Silaha zao kwa ajili ya Oparesheni hiyo iliyofana / iliyofanikiwa 100%

Hili lilipofanyika Makomandoo hawa wa Kiisraeli walihakikisha pia kuwa hata Watu waliokuwa Wakiwatumia / Wakitumikia kuwasindikiza Hospitalini wale Wagonjwa ( Majeruhi ) Feki nao walikuwa ni Special Force ( Makomandoo ) hivyo walipofanikiwa tu Kuingia mule Hospitalini walianzisha Mtiti ( Mapigano ) hali iliyopelekea hadi Kuua Maadui Walengwa Wao na Kuondoka kwa haraka huku wakiwa wamevalia Kininja na Kuficha Uso / Nyuso zao.

Akili Kubwa hii ya Makomandoo wa Israeli ( Sayeret Matkal ) imenifanya GENTAMYCINE nami Nikihoji tu kimya kimya kuwa je, Makomandoo wa ZUZU NATION nao wanaweza kutumia Akili Kubwa kama hii iliyotumika na Wenzao wa Israeli?

au labda uwezo wa Kufikiri hawana kabisa zaidi ya Kujitutumua tu Viwanjani katika Maonyesho yao na kutishia kufanya Usafi siku ambayo akina GENTAMYCINE nao wameamua kufanya Maandamano ya Kupambana na Maadui wakubwa Wanne 1. Ujinga, 2. Maradhi, 3. Umasikini na 4. Upumbavu uliotukuka..

Daima huwa sipendi Vibovu Vibovu.
Hilo tukio ni la kigaidi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Wiki iliyopita Makomandoo wa Israel ( Sayeret Matkal ) waitumia Akili Kubwa kama ile waliyoitumia kule nchini Uganda walipoenda kuokoa Mateka Wao mbele ya Idi Amini ambayo hata hivyo ilisababisha Kifo cha Komandoo mahiri aitwae Yurin ( Yuri ) Netanyahu ambaye alikuwa ni Kaka mkubwa wa Waziri Mkuu wa sasa wa Israel na Role Model wangu Tukuka aitwae Benjamin BIBI Netanyahu.

Pamoja na Wapalestina waliokuwa Wakisaidiwa na Wahuni akina HAMAS kuweka Ulinzi wa Kutosha katika moja ya Hospitali yao iliyokuwa Ikitibu Wagonjwa ( Majeruhi ) wengi ambao Wengine walikuwa ni Wanamgambo wa Wahuni HAMAS bado Waisraeli waliwaonyesha kuwa hapa duniani hakuna Wanadamu wenye Akili Kubwa na wanaojua kuzitumia vyema kama Wao.

Baada ya Makomandoo wa Israel kugundua hilo huku wakiwa na Taarifa za kutosha kuwa Magaidi Wahuni wa HAMAS wako pale Hospitalini wakipatiwa Matibabu waliamua kutua Akili Kubwa hii ifuatayo yenye Ubunifu wa Kipekee na inayofaa katika Oparesheni zozote zile dhidi ya Maadui Wapumbavu kama HAMAS na Wapalestina wanaowapa Jeuri, Kiburi na hata Hifadhi pia.

Makomandoo wa Israel waliamua Kutafuta Askari wa Kike wa Kiyahudi kisha wakavalisha Nguo waonekane kama ni Wajawazito nz wanahitaji Huduma ya haraka huku Wengine wakijifanya wamebeba Watoto na Wamejeruhiwa Vitani na baadhi yao ( wakijifanya ni Wazee. ) wakiwa katika Wheelchairs zao na wanawahishwa kuingia ndani mule Hospitalini.

Na kuonyesha kuwa Waisraeli kwa Akili Kubwa ( hasa Makomandoo wao hawa ) walihakikisha kuwa hawa Watu wote ( wa Kimkakati ) waliowaandaa wanajua Kuzungumza lugha ya Kipalestina ili Waaminkke upesi na Walinzi wa Kipalestina waliokuwepo pale Getini kwa Hospitalini nz ndani huku ndani ya Nguo zao wakiwa wameficha Silaha zao kwa ajili ya Oparesheni hiyo iliyofana / iliyofanikiwa 100%

Hili lilipofanyika Makomandoo hawa wa Kiisraeli walihakikisha pia kuwa hata Watu waliokuwa Wakiwatumia / Wakitumikia kuwasindikiza Hospitalini wale Wagonjwa ( Majeruhi ) Feki nao walikuwa ni Special Force ( Makomandoo ) hivyo walipofanikiwa tu Kuingia mule Hospitalini walianzisha Mtiti ( Mapigano ) hali iliyopelekea hadi Kuua Maadui Walengwa Wao na Kuondoka kwa haraka huku wakiwa wamevalia Kininja na Kuficha Uso / Nyuso zao.

Akili Kubwa hii ya Makomandoo wa Israeli ( Sayeret Matkal ) imenifanya GENTAMYCINE nami Nikihoji tu kimya kimya kuwa je, Makomandoo wa ZUZU NATION nao wanaweza kutumia Akili Kubwa kama hii iliyotumika na Wenzao wa Israeli?

au labda uwezo wa Kufikiri hawana kabisa zaidi ya Kujitutumua tu Viwanjani katika Maonyesho yao na kutishia kufanya Usafi siku ambayo akina GENTAMYCINE nao wameamua kufanya Maandamano ya Kupambana na Maadui wakubwa Wanne 1. Ujinga, 2. Maradhi, 3. Umasikini na 4. Upumbavu uliotukuka..

Daima huwa sipendi Vibovu Vibovu.
Hili tukio lina maajabu gani

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
wameficha Silaha zao kwa ajili ya Oparesheni hiyo iliyofana / iliyofanikiwa 100%
Na hii vipi???

2 troops seriously hurt in failed Gaza hostage rescue​


Two Israel Defense Forces soldiers were seriously wounded in a failed attempt to rescue hostages held by the Hamas terror group in the Gaza Strip overnight, the army said Friday, adding that several of the hostage takers were killed.


 
Back
Top Bottom