enzo1988 JF-Expert Member Joined May 26, 2018 Posts 1,838 Reaction score 7,346 Feb 7, 2024 #41 GENTAMYCINE said: je, Makomandoo wa ZUZU NATION nao wanaweza kutumia Akili Kubwa kama hii iliyotumika na Wenzao wa Israeli? Click to expand... Najua unapata taarifa nyeti, fuatilia msafara wa balozi wa Tanzania wakati wa mauaji ya halaiki ya Rwanda nini makomandoo wa JWTZ walikifanya! Halafu ulizia walikuwa wangapi dhidi ya wangapi!
GENTAMYCINE said: je, Makomandoo wa ZUZU NATION nao wanaweza kutumia Akili Kubwa kama hii iliyotumika na Wenzao wa Israeli? Click to expand... Najua unapata taarifa nyeti, fuatilia msafara wa balozi wa Tanzania wakati wa mauaji ya halaiki ya Rwanda nini makomandoo wa JWTZ walikifanya! Halafu ulizia walikuwa wangapi dhidi ya wangapi!