Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hawajasombwa na maroli kweli hawa?Sijapenda kabisa, kuna umuhimu Sana WA BARAZA La WANAWAKE WA CHADEMA kupewa HESHIMA KUBWA. Nimefuatilia nikajulishwa kuwa lile kusanyiko kubwa namna Ile kwa asilimia karibia 75% ni majitoleo ya Wanawake wenyewe. Hakika nimesawajika, nimeumia na chozi la furaha limenitoka. Hongereni Sana Sana.
Huko kwa Jirani sijui hata kulikuaje, nasikia walilipwa Hadi posho ila wakagoma kuendelea kufedheheka.
View attachment 2929138View attachment 2929139View attachment 2929140View attachment 2929141View attachment 2929143View attachment 2929144View attachment 2929142
Wamesombwa na Coaster 800 kwa mujibu wa Mayor Mstaafu BoniyaiHawajasombwa na maroli kweli hawa?
johnthebaptist ebu njoo uweke kumbukumbu sawa huku
Chadema kwa Pamba Kali nawakubali Sana tofauti na Mbogamboga Queens 😂😂🔥Mungu ibariki BAWACHA
Achana na hilo lichawa lisilo na akili.Hawajasombwa na maroli kweli hawa?
johnthebaptist ebu njoo uweke kumbukumbu sawa huku
Naam pole sanaWamesombwa na Coaster 800 kwa mujibu wa Mayor Mstaafu Boniyai
Imwendee Boniyai 😂Naam pole sana
Inapendeza.Sijapenda kabisa, kuna umuhimu Sana WA BARAZA La WANAWAKE WA CHADEMA kupewa HESHIMA KUBWA. Nimefuatilia nikajulishwa kuwa lile kusanyiko kubwa namna Ile kwa asilimia karibia 75% ni majitoleo ya Wanawake wenyewe. Hakika nimesawajika, nimeumia na chozi la furaha limenitoka. Hongereni Sana Sana.
Huko kwa Jirani sijui hata kulikuaje, nasikia walilipwa Hadi posho ila wakagoma kuendelea kufedheheka.
View attachment 2929138View attachment 2929139View attachment 2929140View attachment 2929141View attachment 2929143View attachment 2929144View attachment 2929142
Wivu wa Kike huo manka maguduria!Achana na hilo lichawa lisilo na akili.
Chakula kitamu kimewekwa mezani, wewe unakaribisha ma inzi, wa nini?
Umetandika kitanda upate usingizi mnono, wewe unawaita chawa, wa nini?
Aaaghh subutuuu, hawezi kutia mkono wala mguuuNgoja aje mzee wa kububujikwa na machozi.
Mzee wa mama ametufikia.
Mzee wa number ya cm.
We love chadema✌️✌️✌️✌️
Wapewe maua yao..🌹 💐 🏵 🥀 🌹Sijapenda kabisa, kuna umuhimu Sana WA BARAZA La WANAWAKE WA CHADEMA kupewa HESHIMA KUBWA. Nimefuatilia nikajulishwa kuwa lile kusanyiko kubwa namna Ile kwa asilimia karibia 75% ni majitoleo ya Wanawake wenyewe. Hakika nimesawajika, nimeumia na chozi la furaha limenitoka. Hongereni Sana Sana.
Huko kwa Jirani sijui hata kulikuaje, nasikia walilipwa Hadi posho ila wakagoma kuendelea kufedheheka.
View attachment 2929138View attachment 2929139View attachment 2929140View attachment 2929141View attachment 2929143View attachment 2929144View attachment 2929142
Saaana sanaWapewe maua yao..🌹 💐 🏵 🥀 🌹