TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hızı picha zimenishangaza. Zinazungumza mengi sana yanaoendelea hapa nchini.Sijapenda kabisa, kuna umuhimu Sana WA BARAZA La WANAWAKE WA CHADEMA kupewa HESHIMA KUBWA. Nimefuatilia nikajulishwa kuwa lile kusanyiko kubwa namna Ile kwa asilimia karibia 75% ni majitoleo ya Wanawake wenyewe. Hakika nimesawajika, nimeumia na chozi la furaha limenitoka. Hongereni Sana Sana.
Huko kwa Jirani sijui hata kulikuaje, nasikia walilipwa Hadi posho ila wakagoma kuendelea kufedheheka.
View attachment 2929138View attachment 2929139View attachment 2929140View attachment 2929141View attachment 2929143View attachment 2929144View attachment 2929142
Bila picha mchawiWamesombwa na Coaster 800 kwa mujibu wa Mayor Mstaafu Boniyai
Nenda X kwa Boniyai kuna Picha kibaoBila picha mchawi
Unatamani upitiwe na wewe!Hivi Hawa wote mbowe si kishapitia kweli. Kama wema tu alijiunga wiki moja tu akapitiwa sembuse hawa
Huko kwa Jirani sijui hata kulikuaje, nasikia walilipwa Hadi posho ila wakagoma kuendelea kufedheheka[emoji3][emoji3][emoji3]Sijapenda kabisa, kuna umuhimu Sana WA BARAZA La WANAWAKE WA CHADEMA kupewa HESHIMA KUBWA. Nimefuatilia nikajulishwa kuwa lile kusanyiko kubwa namna Ile kwa asilimia karibia 75% ni majitoleo ya Wanawake wenyewe. Hakika nimesawajika, nimeumia na chozi la furaha limenitoka. Hongereni Sana Sana.
Huko kwa Jirani sijui hata kulikuaje, nasikia walilipwa Hadi posho ila wakagoma kuendelea kufedheheka.
View attachment 2929138View attachment 2929139View attachment 2929140View attachment 2929141View attachment 2929143View attachment 2929144View attachment 2929142
Na CHADEMA pia[emoji173][emoji173][emoji173][emoji419][emoji375]Mungu ibariki BAWACHA
Boniyai [emoji3][emoji3]Wamesombwa na Coaster 800 kwa mujibu wa Mayor Mstaafu Boniyai
CCM Ndio Tumaini la watanzania katika kuwainua kiuchumiLucas mwashambwa watanganyika tumebubujikwa na machozi ya furaha hakika tunaiona ile siku njema inakuja kwa pamoja tutasema kwa heri mkoloni mweusi.
Aiseee BAWACHA ni taasisi mara sana, ipo organised no wonder kilitoa wagombea ubunge majimbo zaidi ya 70. Kule UWT ipo kwa ajili ya viti maalum na uDC zaidi ya hapo inakua dormant miaka 5 yote!!Sijapenda kabisa, kuna umuhimu Sana WA BARAZA La WANAWAKE WA CHADEMA kupewa HESHIMA KUBWA. Nimefuatilia nikajulishwa kuwa lile kusanyiko kubwa namna Ile kwa asilimia karibia 75% ni majitoleo ya Wanawake wenyewe. Hakika nimesawajika, nimeumia na chozi la furaha limenitoka. Hongereni Sana Sana.
Huko kwa Jirani sijui hata kulikuaje, nasikia walilipwa Hadi posho ila wakagoma kuendelea kufedheheka.
View attachment 2929138View attachment 2929139View attachment 2929140View attachment 2929141View attachment 2929143View attachment 2929144View attachment 2929142
Kuna kile chama kina mijizee unakuta imetoboa pua, ina matusi na jazba za hatari.Bawacha kuna warembo hatari
Ukiongea hivyo huku niliko utapigwa mawe wewe kijana.CCM Ndio Tumaini la watanzania katika kuwainua kiuchumi
Chadema ina vyuma vikali sanaDuh palifana Sana mjomba!
Maana halisi ya mzuri mwenye akili inaonekana hapo.Chadema ina vyuma vikali sana
Hapo hapoMaana halisi ya mzuri mwenye akili inaonekana hapo.
Sijui Brigedia Mtikila, MMM anakwama wapi?Hapo hapo
Mikorogo na ma make up tuu hiyo kama ya gigi money , Kila kitu ni fakeBawacha kuna warembo hatari
A very honest comment ever! Hakika hakika Ndugu yanguAiseee BAWACHA ni taasisi mara sana, ipo organised no wonder kilitoa wagombea ubunge majimbo zaidi ya 70. Kule UWT ipo kwa ajili ya viti maalum na uDC zaidi ya hapo inakua dormant miaka 5 yote!!
Hongera sana Mhe Sharifa na secretariat yako, mmetisha sana.