Matukio kwenye Picha: BAWACHA waache sifa sasa, hii sio Sawa!

Matukio kwenye Picha: BAWACHA waache sifa sasa, hii sio Sawa!

Sijapenda kabisa, kuna umuhimu Sana WA BARAZA La WANAWAKE WA CHADEMA kupewa HESHIMA KUBWA. Nimefuatilia nikajulishwa kuwa lile kusanyiko kubwa namna Ile kwa asilimia karibia 75% ni majitoleo ya Wanawake wenyewe. Hakika nimesawajika, nimeumia na chozi la furaha limenitoka. Hongereni Sana Sana.

Huko kwa Jirani sijui hata kulikuaje, nasikia walilipwa Hadi posho ila wakagoma kuendelea kufedheheka.

View attachment 2929138View attachment 2929139View attachment 2929140View attachment 2929141View attachment 2929143View attachment 2929144View attachment 2929142
Hızı picha zimenishangaza. Zinazungumza mengi sana yanaoendelea hapa nchini.

Sasa ndo nimegunduwa kwanini kuna Samia queens ya kina Jokate.
 
Sijapenda kabisa, kuna umuhimu Sana WA BARAZA La WANAWAKE WA CHADEMA kupewa HESHIMA KUBWA. Nimefuatilia nikajulishwa kuwa lile kusanyiko kubwa namna Ile kwa asilimia karibia 75% ni majitoleo ya Wanawake wenyewe. Hakika nimesawajika, nimeumia na chozi la furaha limenitoka. Hongereni Sana Sana.

Huko kwa Jirani sijui hata kulikuaje, nasikia walilipwa Hadi posho ila wakagoma kuendelea kufedheheka.

View attachment 2929138View attachment 2929139View attachment 2929140View attachment 2929141View attachment 2929143View attachment 2929144View attachment 2929142
Huko kwa Jirani sijui hata kulikuaje, nasikia walilipwa Hadi posho ila wakagoma kuendelea kufedheheka[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Sijapenda kabisa, kuna umuhimu Sana WA BARAZA La WANAWAKE WA CHADEMA kupewa HESHIMA KUBWA. Nimefuatilia nikajulishwa kuwa lile kusanyiko kubwa namna Ile kwa asilimia karibia 75% ni majitoleo ya Wanawake wenyewe. Hakika nimesawajika, nimeumia na chozi la furaha limenitoka. Hongereni Sana Sana.

Huko kwa Jirani sijui hata kulikuaje, nasikia walilipwa Hadi posho ila wakagoma kuendelea kufedheheka.

View attachment 2929138View attachment 2929139View attachment 2929140View attachment 2929141View attachment 2929143View attachment 2929144View attachment 2929142
Aiseee BAWACHA ni taasisi mara sana, ipo organised no wonder kilitoa wagombea ubunge majimbo zaidi ya 70. Kule UWT ipo kwa ajili ya viti maalum na uDC zaidi ya hapo inakua dormant miaka 5 yote!!

Hongera sana Mhe Sharifa na secretariat yako, mmetisha sana.
 
Aiseee BAWACHA ni taasisi mara sana, ipo organised no wonder kilitoa wagombea ubunge majimbo zaidi ya 70. Kule UWT ipo kwa ajili ya viti maalum na uDC zaidi ya hapo inakua dormant miaka 5 yote!!

Hongera sana Mhe Sharifa na secretariat yako, mmetisha sana.
A very honest comment ever! Hakika hakika Ndugu yangu
 
Back
Top Bottom