Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Washaingia ikulu hakuna tena uchaguzi!Sijapenda kabisa, kuna umuhimu Sana WA BARAZA La WANAWAKE WA CHADEMA kupewa HESHIMA KUBWA. Nimefuatilia nikajulishwa kuwa lile kusanyiko kubwa namna Ile kwa asilimia karibia 75% ni majitoleo ya Wanawake wenyewe. Hakika nimesawajika, nimeumia na chozi la furaha limenitoka. Hongereni Sana Sana.
Huko kwa Jirani sijui hata kulikuaje, nasikia walilipwa Hadi posho ila wakagoma kuendelea kufedheheka.
View attachment 2929138View attachment 2929139View attachment 2929140View attachment 2929141View attachment 2929143View attachment 2929144View attachment 2929142
Kama umenuna napost tena, naam tena napost zile za ACT wakiwa wamevaa wametokwa na misuli utadhani wamekula mihogoWashaingia ikulu hakuna tena uchaguzi!
Hivi Hawa wote mbowe si kishapitia kweli. Kama wema tu alijiunga wiki moja tu akapitiwa sembuse hawaSijapenda kabisa, kuna umuhimu Sana WA BARAZA La WANAWAKE WA CHADEMA kupewa HESHIMA KUBWA. Nimefuatilia nikajulishwa kuwa lile kusanyiko kubwa namna Ile kwa asilimia karibia 75% ni majitoleo ya Wanawake wenyewe. Hakika nimesawajika, nimeumia na chozi la furaha limenitoka. Hongereni Sana Sana.
Huko kwa Jirani sijui hata kulikuaje, nasikia walilipwa Hadi posho ila wakagoma kuendelea kufedheheka.
View attachment 2929138View attachment 2929139View attachment 2929140View attachment 2929141View attachment 2929143View attachment 2929144View attachment 2929142
Hiki Chama kwakweli hapana. Hizi sasa ni sifaSijapenda kabisa, kuna umuhimu Sana WA BARAZA La WANAWAKE WA CHADEMA kupewa HESHIMA KUBWA. Nimefuatilia nikajulishwa kuwa lile kusanyiko kubwa namna Ile kwa asilimia karibia 75% ni majitoleo ya Wanawake wenyewe. Hakika nimesawajika, nimeumia na chozi la furaha limenitoka. Hongereni Sana Sana.
Huko kwa Jirani sijui hata kulikuaje, nasikia walilipwa Hadi posho ila wakagoma kuendelea kufedheheka.
View attachment 2929138View attachment 2929139View attachment 2929140View attachment 2929141View attachment 2929143View attachment 2929144View attachment 2929142
Ona huyuWashaingia ikulu hakuna tena uchaguzi!
Hii kweli sio SawaSijapenda kabisa, kuna umuhimu Sana WA BARAZA La WANAWAKE WA CHADEMA kupewa HESHIMA KUBWA. Nimefuatilia nikajulishwa kuwa lile kusanyiko kubwa namna Ile kwa asilimia karibia 75% ni majitoleo ya Wanawake wenyewe. Hakika nimesawajika, nimeumia na chozi la furaha limenitoka. Hongereni Sana Sana.
Huko kwa Jirani sijui hata kulikuaje, nasikia walilipwa Hadi posho ila wakagoma kuendelea kufedheheka.
View attachment 2929138View attachment 2929139View attachment 2929140View attachment 2929141View attachment 2929143View attachment 2929144View attachment 2929142
Chadema kwa Pamba Kali nawakubali Sana tofauti na Mbogamboga Queens [emoji23][emoji23][emoji91]
HahaaaaChadema kwa Pamba Kali nawakubali Sana tofauti na Mbogamboga Queens 😂😂🔥
Ukweli Usemwe tuChadema kwa Pamba Kali nawakubali Sana tofauti na Mbogamboga Queens 😂😂🔥
Waooo BAWACHAAAAA!!!!Sijapenda kabisa, kuna umuhimu Sana WA BARAZA La WANAWAKE WA CHADEMA kupewa HESHIMA KUBWA. Nimefuatilia nikajulishwa kuwa lile kusanyiko kubwa namna Ile kwa asilimia karibia 75% ni majitoleo ya Wanawake wenyewe. Hakika nimesawajika, nimeumia na chozi la furaha limenitoka. Hongereni Sana Sana.
Huko kwa Jirani sijui hata kulikuaje, nasikia walilipwa Hadi posho ila wakagoma kuendelea kufedheheka.
View attachment 2929138View attachment 2929139View attachment 2929140View attachment 2929141View attachment 2929143View attachment 2929144View attachment 2929142
Masikini! Wote hawa walinyimwa haki yao ya kushiriki siasa kwenye nchi yao japo katiba inawaruhusu! Kweli CCM si riziki.Sijapenda kabisa, kuna umuhimu Sana WA BARAZA La WANAWAKE WA CHADEMA kupewa HESHIMA KUBWA. Nimefuatilia nikajulishwa kuwa lile kusanyiko kubwa namna Ile kwa asilimia karibia 75% ni majitoleo ya Wanawake wenyewe. Hakika nimesawajika, nimeumia na chozi la furaha limenitoka. Hongereni Sana Sana.
Huko kwa Jirani sijui hata kulikuaje, nasikia walilipwa Hadi posho ila wakagoma kuendelea kufedheheka.
View attachment 2929138View attachment 2929139View attachment 2929140View attachment 2929141View attachment 2929143View attachment 2929144View attachment 2929142
Wewe utafunguliwa kesi ya uchochezi, hujui baadhi ya wanaccm wakiwaona walivyopendeza watahamia Bawacha.Ukinuna napost tena
Hahahahaha Acha tuWewe utafunguliwa kesi ya uchochezi, hujui baadhi ya wanaccm wakiwaona walivyopendeza watahamia Bawacha.
Watasikia Sasa??Kwa hili la kusombana kwenye malori kama mbuzi, chama changu (CCM) tunafeli sana. Inabidi sasa tubadili mbinu, kwa hii dunia ya utandawazi ni aibu kabisa, miaka ile ya 90 hadi 2000 mwanzoni mitandao haikuwa katika level hii, wacha tutafute mbinu mbadala.
Ina Raha flani hiviHongera sana chama langu. CHADEMA till I die.
Naam Naaam wakaitwa Vibaraka WA MabeberuMasikini! Wote hawa walinyimwa haki yao ya kushiriki siasa kwenye nchi yao japo katiba inawaruhusu! Kweli CCM si riziki.
HahahahahaHalima alitumia nguvu kubwa kuijenga Bawacha atubu arudi CDM ili mradi atafakari km kweli kosa ni lake amwogope Mungu asife na dhambi sisi hatujui saa wala dakika. Tubu rudi uendelee kujenga Bawacha yako ona inavyonawili hii ni Taasisi.