Matukio kwenye Picha: BAWACHA waache sifa sasa, hii sio Sawa!

Matukio kwenye Picha: BAWACHA waache sifa sasa, hii sio Sawa!

CCM Ndio Tumaini la watanzania katika kuwainua kiuchumi
20240210_110717.jpg
 
Sijapenda kabisa, kuna umuhimu Sana WA BARAZA La WANAWAKE WA CHADEMA kupewa HESHIMA KUBWA. Nimefuatilia nikajulishwa kuwa lile kusanyiko kubwa namna Ile kwa asilimia karibia 75% ni majitoleo ya Wanawake wenyewe. Hakika nimesawajika, nimeumia na chozi la furaha limenitoka. Hongereni Sana Sana.

Huko kwa Jirani sijui hata kulikuaje, nasikia walilipwa Hadi posho ila wakagoma kuendelea kufedheheka.

View attachment 2929138View attachment 2929139View attachment 2929140View attachment 2929141View attachment 2929143View attachment 2929144View attachment 2929142
You hiyo 25% walosalia ndo walilipwa peke yao!
Na kwa nn walipwe?
 
Back
Top Bottom