Elections 2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

Elections 2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

Na badoooo ht wakichakachus mpk kesho. JK Mungu atamlaani

Huyo baba namchukia sana sana-amegeuza kwamba hii nchi ni ya kwake binafsi so atafanya atakalo-Anyway Mungu yupo.
 
Hiyo ni akili mbovu au uvivu wa kufikiri.

Huwezi kusema unachagua Mbunge wa UKAWA halafu Rais akawa wa CCM!!!Hii ni sera gani kama siyo ujinga??

Tunachagua SERA(POLICY) za chama na siyo mtu. Pengine hawa mnaotumabia mnachagua Mbunge wa UKAWA na Rais wa CCM mtumabie hilo Bunge litaendeshwa vipi na Serikali itakayo ongoza itakuwa ya MAGUFULI au CHADEMA/CUF under UKAWA???

Ndiyo maana sishangai kuona kuwa bado Mitanzania mingi imeipigia CCM kwa kuwa na uelewa mdogo sana wa kuchanganua mambo kwa undani na upana wake. This is absolutely nonsense.

watu kama hao sijui wanafikiria kwa kutumia nini.Haoni Joshua nassari amepitwa kwa kura za ushindi na lowassa?anadhani nini kilifanyika?
 
kawe
kibamba
ubungo

hembu tupe uhakika mkuu.maana kwa kawe kuna sintofaham kubwa sana mpaka Jana SAA 8 watu tulikuwa tunasubilia watoke huko ostybey lakini hora inamaana matokeo ndio yashatoka

Watu wa kawe wasingeweza mpa yule dogo wa Warioba
 
We hujui kilichotokea jimbo la Lembeli! Unaweza kuamini kwamba jimbo la Kahama Lembeli alikuwa na asilimia 80 za kushinda kutokana na kukubalika kwa wananchi ukilinganisha na mpinzani wake wa CCM!

Lakini mbinu iliyotumika ni zaidi ya "bao la mkono" Huwezi amini Chadema haikuchukua hata kata moja pamoja na kupigiwa kura nyingi na wafuasi wake!

Kuna mengi yaliyo nyuma ya pazia kuhusu kilichotokea ila kwa leo ngoja niishie hapa nisije kuwa kama Dr. Ulimboka"

Mliwekeza sana katika mafuriko mkasahau kumwaga sera.
 
Haya matokeo sio. Mfano kyerwa imeenda ccm. Kawe bado . Tusidanganyike
 
Ni wazi Chama Cha Mapinduzi kimejipanga katika kutoa taarifa. Tumeona J. Makamba akitaja majimbo yaliyovunwa na chama hicho.

Lakini kwa UKAWA mambo ni tofauti na ni wazi Afisa habari wa CHADEMA, Tumaini Makene, umeshindwa kazi, Makene ameshindwa hii kazi? (iwapo Makene ni wa chama sio wa UKAWA lakini kwa ukubwa wa CHADEMA ndani umoja huu, ni vema Makene akatoa idadi ya majimbo na maendeleo ya majimbo mengine ili wafuasi wao wawe updated).

Kwa sasa wafuasi wa UKAWA hawana cha kujibu kwa vile hawana taarifa za jumla iwapo vyombo vya habari vimekuwa vikiripoti, lakini sio kwa utaratibu wa kufanya watu wapate summation.
 
We hujui kilichotokea jimbo la Lembeli! Unaweza kuamini kwamba jimbo la Kahama Lembeli alikuwa na asilimia 80 za kushinda kutokana na kukubalika kwa wananchi ukilinganisha na mpinzani wake wa CCM!

Lakini mbinu iliyotumika ni zaidi ya "bao la mkono" Huwezi amini Chadema haikuchukua hata kata moja pamoja na kupigiwa kura nyingi na wafuasi wake!

Kuna mengi yaliyo nyuma ya pazia kuhusu kilichotokea ila kwa leo ngoja niishie hapa nisije kuwa kama Dr. Ulimboka"

Acha vitisho weweee. . . . .wakala wake ndio kakuambia hivyo??!
Weka tally sheet ya hizo kura nyingi. . .

Kama kashindwa kashindwa tu na kama kadhulumiwa weka tally sheet basi
 
1. Moshi Mjini -CDM
2. Moshi vijijini-CDM
3. Rombo-CDM
4. Same Mashariki- CDM
5. Hai -CDM
6. Siha- CDM
7. Vunjo -NCCR
8. Arumeri Mashariki-CDM
9. Monduli-CDM
10. Simanjiro- CDM
11.Karatu -CDM
12. Kawe-CDM
13. Ubungo- CDM
14. Kibamba- CDM
15. Mbeya Mjini- CDM
16. Iringa Mjini - CDM
17. Bunda-CDM
18. Tarime Mjini- CDM
19.Tarime Vijijini- CDM
20. Rorya -CDM
21. Serentei- CDM
22. Bukoba Mijini-CDM
23. Ukonga- CDM
24.Buyungu- CDM
25. Singida Mashariki-CDM
26. Babati- CDM
27. Momba - CDM
28. Tunduma -CDM
29. Tandahimba - CUF
30. Mlimba -CDM
31. Kilombero - CDM
32.Ifakara -CDM
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50


Ongeza kwenye List

Jimbo na Chama chake kilichoshinda

Ukerewe_Chadema
 
kweli kabisa sijui wanapokea taarifa matokeo ya uchaguzi UKAWA nn kinawasibu yaani ss hatujui kinachoendelea kama ni kweli au ni uongo maana tunajua hatuwezi kuiamini tume hii ambayo si huru.
 
Unajua mbowe alijiona mjanja sana kumuuzia lowassa Chama.ona sasa kilichotokea. Lowassa anarudi Kuchunga ng'ombe monduli.huku chadema ikiendelea kupoteza baadhi ya majimbo.
 
Wakuu naomba kuweka idadi ya majimbo yaliyoenda ukawa mpaka


1.Jimbo la Tarime mjini-Ester Matiko (CDM)

2.Jimbo la Tarime vijijini-John Heche

3.Jimbo la Arumeru Mash.-Joshua Nassari

4.Jimbo la Tunduma-Frank

5.Jimbo la Babati mjini-Pauline Gekuli

6.Jimbo la Minduli-Julius Kalanga

7.Jimbo la Serengeti-Mwalimu Ryoba

8.Jimbo la Tandahimba
- Katani Ahmed Katani wa CUF

9.Jimbo la Ndanda
- Cecil Mwambe(CDM)


10.Jimbo la Mbeya mjini-Joseph Mbilinyi

11.Jimbo la Hai-Freeman Mbowe

12.Jimbo la Moshi mjini-Jaffer
Michael

13.Jimbo la Moshi vijijini-Antony Komu

14.Jimbo la Siha
- Mollel Godwin wa Chadema

15.Jimbo la Same Mash.
- Naghenjwa Livingstone Kaboyoka(CDM)

16.Jimbo la Buyungu
- Bilago Kasuku Samson(CDM)


17.Jimbo la Tanga mjini

18.Jimbo la Momba-Ernest Silinde

19.Jimbo la Vunjo-James Mbatia

20.Jimbo Bukoba mjini-Wilfred Lwakatare

21.Jimbo la Mtwara Mjini
- Maftah Nachuma(CUF)


22.Jimbo la Mchinga
- Hassan Bobali wa CUF,



23.Jimbo la Singida Mashariki-Tundu Lissu

24.Jimbo la Rombo - Joseph Selasini (CHADEMA)

25.Jimbo la Kilombero - Lijualikali (CHADEMA)

26.Jimbo la Mlimba - Suzan Kiwanga (CHADEMA)

27.Jimbo la Ukonga- Waitara Mwita wa CHADEMA
 
Back
Top Bottom