Matukio ya kufurahisha ya Walevi wa Pombe!

Matukio ya kufurahisha ya Walevi wa Pombe!

Nakumbuka nililewa(nilikunywa safari 9 na bombadia mzima) na dada mmoja jirani tena alikuwa mgeni ghafla tukazoeana,ile nmeenda chooni na yeye huyu hapa!! Akaingia na yy chooni kavua suruali mara kainama anataka nimle,he!! Mzigo ukagoma kusimama! Nyonya na wewe wap!? Nilihisi kuaibika sana japo nlikuja kumla geto kwake wiki 3 baadae baada ya kumlazimisha sana japo alikuwa hataki tena ili kulinda heshima,sintokaa nisahau aibu ile!!

Hahahaha duuu ! Hukupata msongo wa mawazo mkuu ndani ya hizo week 3?
 
Tangu ile siku nilipo kata bimbadia nzima pekeyangu, na nikajikuta nasahau mlango wa kuingilia chumbani kisha nikaelekea maliwato kulala...[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Hivi hizo bombadia zikoje? Nitumie picha yake niione ili niitathmini kama naiweza au la! [emoji39]
 
Hivi hizo bombadia zikoje? Nitumie picha yake niione ili niitathmini kama naiweza au la! [emoji39]
Ni zile zenye ukitaka kumeza, lazima usikitike kwanza..... tehteehhh
 
Hahahaha duuu ! Hukupata msongo wa mawazo mkuu ndani ya hizo week 3?
Wee acha nkimwona yupo na wenzake nilikuwa nabadilisha njia au narudi nlipotoka coz nahisi atanisema ila kumbe ni bonge la mshkaji hadi leo,alikuja kuniambia nilipata shock coz skutarajia kupata mteremko kiasi kile, na aliniambia sababu ya kufanya vile alipata stori zangu kuwa mm ni malaya ila yy ananiona mpole sana hivyo akataka kuthibitisha labda watu wananionea. Dom nliiona chungu
 
Wee acha nkimwona yupo na wenzake nilikuwa nabadilisha njia au narudi nlipotoka coz nahisi atanisema ila kumbe ni bonge la mshkaji hadi leo,alikuja kuniambia nilipata shock coz skutarajia kupata mteremko kiasi kile, na aliniambia sababu ya kufanya vile alipata stori zangu kuwa mm ni malaya ila yy ananiona mpole sana hivyo akataka kuthibitisha labda watu wananionea. Dom nliiona chungu

[emoji23][emoji23][emoji23] pole mzeee hahaha!
 
b7271a45-d6f7-4526-9f49-9fa2542e875e.jpg
 
Back
Top Bottom