Matukio ya kusikitisha katika Uongozi wa Kikwete {2010 - 2015}

Very very important thread, inabidi iwe ya njano zilee zinaitwa Sticky kama sikosei. Ili kuweka kumbukumbu sawa na sahii. Hongera TETEMA sina uwezo wa lugonga "thanks" cm haiwezi.
 
Very very important thread, inabidi iwe ya njano zilee zinaitwa Sticky kama sikosei. Ili kuweka kumbukumbu sawa na sahii. Hongera TETEMA sina uwezo wa lugonga "thanks" cm haiwezi.

Miamia Mkuu, Modes watalifanyia kazi.
 

ungekuwa wewe joseph ungemkana .....
 

uchambuzi mzuri, sio vyema tuwe watu wa kupinga kila kitu hata mazuri kama ambavyo wengine wanavyotoa amri kwa wafuasi wao kufanya hivyo. nadhani kila mtu ana macho na akili ya kuona.
 
Ukiona mtu anakuwa na mawazo ya kupinga kila kitu atakuwa na shida kwenye tafiti zake huwezi kuwa mtu mwema kwa kupinga kila kitu sijawahi kuona.

wewe ni miongoni mwa wahusika wa matukio haya.
 

Kumbuka kunamaisha zaidi ya 7000 ya anayekufanya uukane uzarendo na Utu wako.
Hawi kwenye nafasi aliyonayo sasa.
Na taifa litabaki na maumivu kwa sababu ya wapuuzi wachache kama nyie.
 
Modes naomba muunganishe hotba ya mheshmiwa.Sugu kwenye uzi huu, hasa ukurasa wake wa kwanza hadi wa 14.
Kuna maajabu mengine yaliyofanywa na Serikali hii.
Mfano mauaji ya muandishi wa habari Richard Massau.
 
Wadau hivi karibuni nitawaletea uzi unaoonesha mpaango wa Kikwete na ccm wanavyopanga kuiuza Tanzania kabisa.
Ushaidi kutoka mkutano mkuu wa Nec mwaka janna.
Stay tuned.
 
Haya ni malipo ya mhe. Kwa Nyerere.
Hii ni baada ya kukataliwa mwaka 1995 kugombea urais
 
Mh JK tumwache amalizie drama zake no wayout, tuwe makini sana na katiba wadau, anayoyaacha yatatumia mwanya huhukutulostisha zaidi, katiba katiba jamani na utekelezwaji wake pia, hatuna utawala wa sheria, nchi inaongozwa kishkaji sana na kikundi cha watu tuu, ndo maana yote haya yanatokea JK ni mwendelezo wa mwinyi kwa mengi na ya Mkapa kwa nguvu kabisa, Ya loliondo ni ya mwinyi na wizi umeendelea mpaka waliposhtukiwa kumbe mindege huwa inapaki KIA inachukua wanyama, Riz kuna tetesi za unga juu yake, mama Siti ye alisafirisha madini sina uhakika na unga Lyatonga anafull strory, Ben mishe ndani ya ikulu na jamaa nae hivyo hivyom naskia anamiliki hoteli mbugani na mengine mengi ambayo ni tetesi. Kama tutakuwa na Katiba nzuri, kelele za wananchi zitatosha kufili mafisadi wa nchi, tusisahau kufuatilia daftari la wapiga kura kuhakikisha majina na namba ni sahihi tayari kwa vita, imba wimbo wa taifa kidogo, utajua jinsi tulivyo mabwege
 
Wadau hivi karibuni nitawaletea uzi unaoonesha mpaango wa Kikwete na ccm wanavyopanga kuiuza Tanzania kabisa.
Ushaidi kutoka mkutano mkuu wa Nec mwaka janna.
Stay tuned.
ujinga huu
 
nyerere aliwahi kusema uongozi wake ulikuwa mchanga akaufanansha na mtu asiyejua kuogelea ukimtupa kwenye baharini mara ya kwanza, pia akasema alitegemea yale mazuri aliyoyafanya wangeyaiga na kuacha yale mabaya aliyoyafanya, lakini anashangaa yale mazuri wanayaacha wanafanya yale mabaya. alitaka taifa liwe lenye umoja na mshikamano, elimu kwa wote, lenye kutengeneza magari yake, na viwanda but heirs waliviua vyote.
i think, so its not about nyerere its about his predecessors
 
mkuu TETEMA umesahau kikwete apakiwa kwwnye toroli la farasi
na tarehe aliyombembea Jamaica
 
Last edited by a moderator:
mwigulu kuwa naibu katibu mkuu, na jangili la tembo kinana kuwa ka ibu mkuug
 
Usijefanya nikalia mkuu! umetiisha sana
sina comment umemaliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…