Matukio ya Kutisha na Habari za Ajabu na za Kushangaza Kuhusu Biblia

Matukio ya Kutisha na Habari za Ajabu na za Kushangaza Kuhusu Biblia

Nasikia kuna biblia za aina mbalimbali eti ni kweli
Utofauti upo kwenye tafsiri na aina ya karatasi au gamba la nje na size. Ila hiyo "wicked" walikosea wakati wa kuchapa au walifanya makusudi
 
Utofauti upo kwenye tafsiri na aina ya karatasi au gamba la nje na size. Ila hiyo "wicked" walikosea wakati wa kuchapa au walifanya makusudi
Nasikia kuna baadhi ya vitabu vinapatikana kwenye baadhi ya biblia tu
 
Nasikia kuna baadhi ya vitabu vinapatikana kwenye baadhi ya biblia tu
Vitabu vya Apokrifa ndivyo vinavyopatikana kwenye baadhi ya Biblia. Hivyo havitambuliwi na wengi kuwa sehemu ya Maandiko matakatifu
 
Uarabuni airport ni bora ukutwe na Bangi na sio Biblia, Somalia unahukumiwa kifo lakini kwa njia ya internet Biblia imefika kila mahali duniani
 
Back
Top Bottom